Wakristo kuna miungu mingi sana. Kusali kwa kusema Mungu badala ya Jina la Mungu unaemuabudu si sawa

Wakristo kuna miungu mingi sana. Kusali kwa kusema Mungu badala ya Jina la Mungu unaemuabudu si sawa

Yesu ukimwita nabii wangu haitoshi ?
Yesu sio nabii nenda kasome Yohana 14 yoteee ,anasema Yesu mwenyewe yy ni nani unless otherwise huamini ktk Biblia,
Ila kama una amini ktk Biblia basi pasi nashaka Yesu ni Mungu ,yaani Mungu Mwana.
 
Ni kweli. Hawana tofauti na ile miungu iliyojaa makka ambako waislam huenda kutupa mawe kwa sanamu la shetani, kuabudia makaburi na kusujudia miungu wa kiarabu akina lat al uzza na wengine wengi. Hizi dini za kishenzy za kuletwa ni ushirikina mtupu.

Kusujudia Makaburi Ni Shirki
Hakuna Sanamu la Shetani Linatupiwa Mawe Makka
Waislamu Hawaabudu Miungu Wanaabudu Mungu Mmoja(112:1-3 Quran)

Lata,Uza Na Manatt Ni Miungu Iliyokuwa ikiabudiwa na waarabu wa Zamani kabla Ya Ujio wa Mtume Muhammad(S.A.W)Na Sio Waislamu Na Kuabudu Tofauti na Mungu Mmoja Ni shirki Na malipo Yake Ni moto katika Uislamu.

Yote Uliyoongea Hayana Ukweli Katika uislamu.Umekurupuka Huelewi Chochte Kuhusu Uislamu hayo yote Umekaririshwa Na Mchungaji wako.
 
Mungu nisaidie hiki.
Mungu utukuzwe.
Mungu naomba abcd.
Mungu nisamehe dhambi.
Mungu asante.
Mungu, Mungu, Mungu.

Mungu huyo hana jina ?

Kuna miungu zaidi ya elfu 18 inaabudiwa hapa duniani. Unaposali kwa kusema Mungu kuna tofauti gani na mtu asietaka kumpa jina mtoto?


Wakristo wanayo Miungu mitatu; 1--Mungu Baba, 2--Mungu Mwana na 3--Mungu Roho mtakatifu.

Jambo likimshinda Mungu Baba wanalipekeka Kwa Mungu Mwana ambaye naye akishindwa wanalipeleka kwa Mungu Roho mtakatifu. 🤣

Pamoja na mambo ya dini tusisahau suala la Bandari tumepigwa za uso.
 
Ndio miungu ipo kibao ila tambua ukishataja Mungu, basi Mungu anajua kama umemkusudia yeye au miungu mingine.

Mungu sio kama mtu kwamba kukiwa na Juma watatu ukiita tu Juma hawatajijua ni Juma yupi unamuita.

Mungu anayejua kila kitu unafikiri ukimuita Mungu hatakuelewa hadi umpe jina?
99
 
Ndio miungu ipo kibao ila tambua ukishataja Mungu, basi Mungu anajua kama umemkusudia yeye au miungu mingine.

Mungu sio kama mtu kwamba kukiwa na Juma watatu ukiita tu Juma hawatajijua ni Juma yupi unamuita.

Mungu anayejua kila kitu unafikiri ukimuita Mungu hatakuelewa hadi umpe jina?
Umejibu kijinga kama mtu asiye na akili... kama unajua wapo Wengi kwanini anasali na asiwe specifically ili Mungu anayemsalia ajue ni yeye...!

Sababu kama Christian wengi hawajua Mungu wao anaitwa nani zaidi ya kujikinga na mgongo wa wayahudi na Mungu wao na Mkristo always hana jibu la uhakika anaweza Sema tu Mungu wa Ibrahim ambaye pia Islam wana claim anaitwa Allah (Lah ni Mungu mwezi jina ni Lah muslim wameweka neno AL kwa kiarabu ni NA so ukiongeza LAH inakuja Allah (Google neno Lah jibu litakuja ni Moon God) ni kosa kubwa wamefanya kumuunganisha Mungu wa Ibrahim na Mungu Mwezi wa Wapagani waabudu Jiwe na kulikiss na kulishika eti linasamehe dhambi huko Mecca) au Yehovah ila hawezi fuata anayotaka Yehovah mwisho atasema Yesu ndio Mungu and pia Hafuatishi ya Yesu 100% maana Yesu pia ni mfuasi wa Yehovah na Uyahudi Mkristo hapo anabaki kama mpetevu tu ndio maana kamili ya Mada husika na mletaji wake anashangaa why Mungu husika hatajwi... Wana wa Israel walikatazwa kutaja jina lake bila sababu ya maana sio mtu kasahahu hata kupiga mswaki anataja Mungu wangu nimesahahu n.k.

Ukienda maandiko ya Dini kadhaa haswa huko India Aliens Walikuwa wameclaims ni Miungu na mkubwa wao aliitwa Rama something even Egypt Pharao aliyejiita Mungu nae aliitwa Ramases walikuwa na mifumo yao ya kuabudiwa na huko India inasemekana zilianguka missiles zenye madhara kama ya Nuclear maana lile vumbi lililopatikana Hiroshima na Nagasaki lipo huko India eneo mraba kubwa sana means Miungu ilipigana angani sijui ilikuwaje ndio kukawa na ukimya wa Aliens Duniani the most powerful tawala duniani ambazo zimeacha majengo na michoro ambayo binadamu wa sasa hawatokuja kuweza labda another Aliens wafufuke huko walipo...
 
Mi nadhan bana kila mtu anaeamini uwepo wa Mungu atakua na mungu wake tu. Sababu hata mtu ikitokea mtu limemkuta jambo utasikia akisema "Mungu wangu", na sio "Mungu wetu"
 
Yesu ni Mungu mwana....tunaamini katika utatu mtakatifu
Kwahiyo unamkosoa Paulo aliyekuletea ukristo?

Maana Paulo anasema Yesu ni Mungu mkuu

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
 
Nikikumbuka dp world roho inafanya paaaaaaaaa!sijui kwa nini hata
 
Umejibu kijinga kama mtu asiye na akili... kama unajua wapo Wengi kwanini anasali na asiwe specifically ili Mungu anayemsalia ajue ni yeye...!

Sababu kama Christian wengi hawajua Mungu wao anaitwa nani zaidi ya kujikinga na mgongo wa wayahudi na Mungu wao na Mkristo always hana jibu la uhakika anaweza Sema tu Mungu wa Ibrahim ambaye pia Islam wana claim anaitwa Allah (Lah ni Mungu mwezi jina ni Lah muslim wameweka neno AL kwa kiarabu ni NA so ukiongeza LAH inakuja Allah (Google neno Lah jibu litakuja ni Moon God) ni kosa kubwa wamefanya kumuunganisha Mungu wa Ibrahim na Mungu Mwezi wa Wapagani waabudu Jiwe na kulikiss na kulishika eti linasamehe dhambi huko Mecca) au Yehovah ila hawezi fuata anayotaka Yehovah mwisho atasema Yesu ndio Mungu and pia Hafuatishi ya Yesu 100% maana Yesu pia ni mfuasi wa Yehovah na Uyahudi Mkristo hapo anabaki kama mpetevu tu ndio maana kamili ya Mada husika na mletaji wake anashangaa why Mungu husika hatajwi... Wana wa Israel walikatazwa kutaja jina lake bila sababu ya maana sio mtu kasahahu hata kupiga mswaki anataja Mungu wangu nimesahahu n.k.

Ukienda maandiko ya Dini kadhaa haswa huko India Aliens Walikuwa wameclaims ni Miungu na mkubwa wao aliitwa Rama something even Egypt Pharao aliyejiita Mungu nae aliitwa Ramases walikuwa na mifumo yao ya kuabudiwa na huko India inasemekana zilianguka missiles zenye madhara kama ya Nuclear maana lile vumbi lililopatikana Hiroshima na Nagasaki lipo huko India eneo mraba kubwa sana means Miungu ilipigana angani sijui ilikuwaje ndio kukawa na ukimya wa Aliens Duniani the most powerful tawala duniani ambazo zimeacha majengo na michoro ambayo binadamu wa sasa hawatokuja kuweza labda another Aliens wafufuke huko walipo...
Unaweza kuona nimejibu kijinga ila bado nasema tena kwamba, unapotaja tu MUNGU, Mungu muumbaji wa huu ulimwengu tayari anajua umemmaanisha yeye au miungu mingine, ila hiyo miungu mingine haijui kilicho moyoni mwako ndo itataka uitaje kwa jina.

Mungu anayejua hadi mawazo yetu atashindwa kujua pale utakapotaja "Mungu" umemaanisha yupi?
Kama asipojua hilo basi huyo sio Mungu muweza yote.
 
Back
Top Bottom