Rwegoshora Kajwaula
Member
- Jul 31, 2012
- 17
- 10
Rais mstaafu wa TEC anamzika Rais mstaafu wa TanzaniaMkuu usipotoshe uma Kama huna taarifa sahihi kukaa kimya ni busara.
Mhashamu baba Askofu Ngalalekumtwa ni Askofu wa Iringa. (Rais mstaafu wa TEC)
Rais wa TEC ni Askofu Gervas Nyaisonga.
Hapana mkuu hayo huwa yanatokea sana ili kupunguza sooo, lakini hiyo haitakuwa Misa bali itakuwa ibada tu! Na hili huwa linatokea kwa mfano mtu aliyefiwa yeye ni mshiriki mzuri wa mambo ya Kanisa ila marehemu ndio hivyo alikuwa amejifungia masakramenti, sasa hapo baraza la walei linaona ni vyema ikaendeshwa ibada kwa ajili ya mfiwa. Hivyo ibada hiyo huwa fupi sana na haifuati ule utaratibu wa mazishi ya kawaida ya Kikristo.Nikusahihishe kidogo. Katekista wa Kikatoliki hawezi kwenda kuendesha ibada au misa ambayo imekosa vigezo vya kuendeshwa na Padri. Kwa ufupi Padri akiwa na ratiba ngumu, anaweza akamtuma Katekista. Kama muumini ana vikwazo, si Katekista wala Padre atakayekwenda kuendesha misa/ibada. Sana sana labda amejitokeza mtu tu kuongoza sala za mazishi, ambazo hata hivyo ni nje ya utaratibu wa Kanisa
Hajazikwa na Rais mstaagu wa TEC bali kazikwa na Askofu wa Tunduru/Masasi Askofu Filbert MuhasiRais mstaafu wa TEC anamzika Rais mstaafu wa Tanzania
Ni mgawanyo tuu..Waongoza Misa leo walikuwa maaskofu wa Iringa na sijui wapi kule kusini, hivi Dar hakuna askofu au Pengo hana msaidizi? sijui hili limekaaje, hebu tufafanulieni mnaojua ni utaratibu gani ulitumika maaskofu wa mbali hivyo kuja Dar kuongoza ibada ili hali wa Dar au Morogoro wapo
Peponi ndio wapi? Tuanzia hapo kwanza, binadamu ni kama mnyama au majani, jani likikauka na kuoza ni mbolea kwa mimea mingineyo.Askofu hawezi kukufanya uende peponi bali matendo yako ukiwa hai so hata ukizikwa na katekista kama ulikua mtenda mema utaenda peponi we fikiria watu waliokufa kabla hizi dini hazijaja Tanganyika miaka ya 1,500 huko je hawataenda peponi kisa hakukuwa na maaskofu maanake dini zimekuja juzi tu
Afadhali umesema Baraza la Walei. Uzuri katiba ya Walei (matoleo yote) imeweka wazi tafsiri ya Walei. Padri na Katekista wanaangukia katika kundi la Makleri (Clergy), hawa sio Walei (Laity) . Walei ni waumini ambao wanaongozwa na Kamati Tendaji inayoundwa na Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu, Katibu Msaidizi na Mtunza Hazina wa ngazi yoyote kuanzia Taifa, Jimbo, Parokia na JumuiyaHapana mkuu hayo huwa yanatokea sana ili kupunguza sooo, lakini hiyo haitakuwa Misa bali itakuwa ibada tu! Na hili huwa linatokea kwa mfano mtu aliyefiwa yeye ni mshiriki mzuri wa mambo ya Kanisa ila marehemu ndio hivyo alikuwa amejifungia masakramenti, sasa hapo baraza la walei linaona ni vyema ikaendeshwa ibada kwa ajili ya mfiwa. Hivyo ibada hiyo huwa fupi sana na haifuati ule utaratibu wa mazishi ya kawaida ya Kikristo.
Naomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada.
Kwanini Askofu asiendeshe hiyo misa hata angalau kwa msiba wa kapuku mmoja ili kuondoa hii hali ya kuonekana Askofu yuko kwa ajili ya watu fulani tu?
Kimsingi kama itawezekana Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa.
Karibuni tuchangie
Una hoja ya msingiNaomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada.
Kwanini Askofu asiendeshe hiyo misa hata angalau kwa msiba wa kapuku mmoja ili kuondoa hii hali ya kuonekana Askofu yuko kwa ajili ya watu fulani tu?
Kimsingi kama itawezekana Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa.
Karibuni tuchangie
Hata kwa taasisi zisizo za kidini huwa mambo yapo hivyo...Mleta Maada ana hoja ya msingi sana, Muumini wa kawaida sana akifariki hata Padri unaweza usimuone kwenye ibada, akifa muumini aliekuwa ba jina basi Padri utamuona, akifa muumini mzito kabisa utamuona askofu.
Hii ni kwa makanisa yote ukitoa Waislam
Shida yake ni kuzikosoa taratibu za kikatoliki tu... anasahau KAFA Rais tena mstaafu tumetangaza maombolezo wiki... wangapi wanakufa na tunapiga kimya kitaifa..!? Kafa Rais mstaafu wa TZ, LAKINI Kenya wamepandisha bendera nusu mlingoti....... wanasahau hata kuapishwa aliapishwa urais na askofu. Ni sawa na rais mstaafu mwislamu azikwe na shehe wa kijiji haiingii akilini. Sioni Sheikh Mkuu akikosa unless ana udhuru wa ajabu.
Madaraja katika jamii hayaepukiki ndio maana Mkapa alipigiwa mizinga 21 wakati akina sisi hata manati hairuhusiwi.
Tena wakati mwingine katekista anakatazwa...Hapana siyo kweli! Ukiona muumini umegomewa kuja kuzikwa na Padre basi ujue ulikuwa na vikwazo yaani ulikuwa umefungiwa masakramenti. Mazishi ya muumini ni kazi ya Padre na siyo ya katekista. Hao wote unaoona wanzikwa na makatekista walikuwa na matatizo kanisani!
Siyo utoaji pekee.. ni ushirili wa mambo ya kanisa.. kwa mfano, kwenye ukatoliki... mtu hushiriki jumuiya, hushiriki usafi wa kanisa wakati wa zamu yenu, hutoi zaka, hutoi sadaka, husali misa yoyote... ETC HALAFU UNATAKA UPEWE HUDUMA YA KIKANISA KAMA MSHIRIKI KAMILI...Unanikunbusha mbali kuna kipindi fln between 2006 hv kuna mtu ambae alikuwa mkurugenz wa halmashaur sas alipo fariki alikuja kuzikwa ama tuseme ibada iliendeshwa na mwinyilisiti watu wakawa wanaoji kwanin mwinyilisiti amzike mzee huyu badal ya askof Thoma laizer ..ikasemekana kwamba mkurugenzi Yule alikuwa cyo mtoaji kanisani kbsa hvyo alivyokufa wakamteuwa mwinjilist akazike. ...kwa kweli huna kitu pesa hudhaminiki hat ukiifa uwenda ukazikw na katekista
Yule Ngalekumtwa wa Iringa ndo mkuu wa Baraza la maaskofu TEC ( Sijui anaitwa Rais wa TEC/mwenyekiti)
Kwa maana hiyo ndio kiongozi wa Maaskofu wote wa Katoliki Tanzania