Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Khee. nani tena huyo anataka kuwatenganisha majini na wapendwa wao?
 
Mimi mkristo naamini waislam wanakula ubwabwa kupindukia hasa akitegesha kibarakashia kwa upande.
 
Hizo takwimu umetoa wapi au leta mifano halisi ndio hoja yako itafikiriwa tofauti na hapo wewe ndo utaonekana una shida ya uelewa
 
Ufiadini (extremists) ndo mizinguo. wana fikra za ajabuajabu sana ao. unatakiwa uwe vuguvugu yani sio wa moto wala baridi unakuwa apo kati.
 
WAACHE HIYO TABIA SIYO NZURI
KATI YA DINI AMBAZO HUWA ZINAWAHAKIKISHIA WAKRISTO KUWA WAKO SAHIHI, NI UISLAM KUPITIA QURAN
 
Ina maana kweli hujui kama hata Qur'an imetafsiriwa kwa kiswahili pia? Labda nikuulize hivi biblia kutafsiriwa kwa kiswahili hiyo inafanya kila mwenye kujua kiswahili kuwa anaweza akajisomea tu biblia mwenyewe na ikatosha kuijua biblia?

Umeuliza swali zuri. Vizuri akawepo mtu wa kufafanua ili upate maana. Lkn pia waweza kusoma na kutafakari mwenyewe.
Kwa upande wa kuruwan, inahitaji ujifunze kwanza lugha iliyoandikwa mule ndani, yaani kiarabu. Halafu baadaye ndiyo mtu akufafanulie maana. Kusema ule ukweli, hata kama kuruwan imetasiriwa kwa kuandikwa kiarabu juu na kiswahili chini, bado haimfanyi mswahili huyu hawawezi kuelewa kiarabu. Watakuwa wanaimba yale maneno kwa kukariri kama kasuku.
 
Ikiwa umeelewa hivyo ni vizuri ndio maana dunia nzima wanasali hivyo kupitia kuruani ila bibilia imetafsiwa sana na ndio maana huwa inapitwa na wakati na kutolewa toleo jingine kwa mfano hata majina ya bibilia inabadilika utasikia hii bibilia mara agano mara agano jipya tunasubiri mafarisayo watoe agano la zamani
 

Kuna kipindi lugha nzima ya kiarabu iliyoandikwa kwenye kuruwan itakuwa obsolete.
 
Sasa hapo tofauti ya Qur'an na Biblia ni ipi kwenye kuelewa tafsiri ya maandiko? Kwa sababu hivyo vitabu vyote viwili vimetafsiri kwa kiswahili, lakini pia wote tunakubali kuwa pamoja na kutafsiriwa kwa kiswahili bado kuna somo lenye kufundisha tafsiri ya maandiko ya Biblia/Qur'an.
 
Kuna kipindi lugha nzima ya kiarabu iliyoandikwa kwenye kuruwan itakuwa obsolete.
Kwenye quran hakuna mafarisayo wenye uwezo wakuibadili ndio maana ipo hivyo hivyo nenda america mpaka china NI hiyo haibadiliki
 
Hakuna kitu kinaniuzi kama nyuzi za Dini
 
Baada ya kusoma mchango wako ...nimekumbuka Yale maandamano ya Wapemba kupinga kujengwa kwa Kanisa!
 
Kudadadeki......!
 
Usipoteshe mkuu,
Tatizo ni viongozi wenu wa dini mkuu,
Kumkuta kiongozi wa dini ya kislam sio mganga wa kienyeji ni ngumu karibu wote ni wapiga ramli.

Tena mnapogombania hizo nafasi za uongozi ukiwa mwepesi unaondoka,

Nitajie kiongpzi yeyote b.akwa..a kuanzia juu hadi chini ambae yupo salama kama utampata.

Mkiitwa washirikina mnakasirika kwanini?
 

Tabia ya lugha yoyote ile ni hii, kuna maneno yanazaliwa na kufa. Sasa mkiwa na msahafu ambao haubadiliki kisarufi na kilahaja basi kutakuwa na mpishano mkubwa sana wa kimuundo na kimaudhui na lugha hiyo hiyo ya kisasa. Mfano ukichukua mwarabu ambaye hajajifunza kuruwan. Hawezi akasoma na kuielewa kama atakavyoelewa machapisho mengine ya kiarabu. Hivyo kutokana na ugumu huo wa lugha au kiarabu cha zamani cha kwenye kiruwan, wengi wataacha kusoma. Matokeo yake wafuasi wengi wa uislam watabakia na maarifa machache sana akilini na moyoni mwao. Maarifa hayo ni yale waliyo fundishwa na walimu wao wa dini au waliyo karirishwa kama zile swala 5 zenu.
Pia kwa vile hawawezi kusoma wenyewe na kuelewa, kama nilivyosema, maarifa na ujuzi wao wa dini utakuwa haukui na hivyo kupelekea kuwa wabishi katika kujadiliana nao.
 
Ukweli mkuu,dar nzima wameiuza wakisubiri pepo ya FIRDAUS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…