Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Katika hilo la Majini Wakristo na Waislam wanafanana. Majini ni viumbe, katika viumbe kuna wema na wabaya. Hata wakristo wanahubiri kuhusu majini ila wao huwatumii jina la "majini" bali "mapepo" hata wakristo wanahubiri kuwa kuna "mapepo" wema (malaika) na mapepo wabaya.
Mungu aliumba vyote, vinavyo onekana na visivyo onekana.
Kwenye namna ya kuishi nayo na jinsi ya kuyatumikisha hapo ndiyo wanatofautiana.
Kuna utofauti kwa sababu kwenye mafundisho ya ukristo sidhani kama kumeelezwa kwamba Mungu kaumba malaika,majini na binaadamu. Mkristo anapomzungumzia jini anakusudia kiumbe malaika aliyeasi na si kwamba kuna aina nyengine ya kiumbe tofauti na malaika au binaadamu. Waislamu mafundisho yao hueleza kuwa Mungu kaumba malaika,majini na binaadamu.
 
Katika hilo la Majini Wakristo na Waislam wanafanana. Majini ni viumbe, katika viumbe kuna wema na wabaya. Hata wakristo wanahubiri kuhusu majini ila wao huwatumii jina la "majini" bali "mapepo" hata wakristo wanahubiri kuwa kuna "mapepo" wema (malaika) na mapepo wabaya.
Mungu aliumba vyote, vinavyo onekana na visivyo onekana.
Kwenye namna ya kuishi nayo na jinsi ya kuyatumikisha hapo ndiyo wanatofautiana.
Hapana kwa wakristo hakuna kitu kinaitwa mapepo wema au majini wema, unalazimishia tu, ni andiko lipi ambalo umetumia linaloonyesha mapepo ndio malaika?
 
Kinacho wasumbua sana ni chuki na wivu wamaendeleo ya uislamu na waislamu, Ushirikina ni mwingi katika ukatoliki ila hausemwi.

Kuna schoolmate wangu muislamu alimaliza form four ana elimu ya madrasa nzuri tu karibu juzu 10, kwenye kampuni yake kaajiti wakuristo 8, wenye degree mbalimbali moja ni muhasibu ana CPA na waislamu wa 3, ila wale wa kuristo wanamsema vibaya wanatamani afe, ila kila ukicha mali zake zinaongezeka. Wamefanya ushirikina mpaka basi tu.......hao watu hawapendi wsislamu hata ufanye wame kiasi gani.
Hapa kuna tatizo au wewe ni muongo. Kwanini huyo bosi asiwafukuze akajili waislam wenzake amani hawana majungu na hawamrogi?
 
Waislamu waongo. Wewe ni muongo. Mapepo/majini ni machafu hakuna wema. Ndo maana Wakristo wanawatoa.nyie waisilamu hao ni ndugu zenu. Walisilimu baada ya Muhamad. Na msikitini mnawasalimia kabla ya swala. Majini ni wachafu hakuna wema wala wazuri. Ni malaghai.
Mimi nashindwa kuelewa ni vp malaika waliyoasi wageuke majini yani wamekuwa na sifa za kimaumbile ambazo ni tofauti na malaika?
 
Uislamu ni dini yenye mafundisho ya chuki inafundisha na kueneza chuki
Hapo Zanzibar walimwangia Padri tindikali
Uganda wiki chache zilizopita wamemuua mchungaji na familia yake habari hipo huku jf
Uko India waislamu ni shida
Uko China waislamu ni shida
Uko Ulaya na Amerika waislamu ni shida

Hawawezi kukaa na watu wengine kwa amani wala wenyewe kwa wenyewe hawawezi kukaa kwa amani
Machoni kama watu wanaonekana wana hutu
Lakini ni watu hatari na tunaishi nao kwa AKILI.
 
Hapa kuna tatizo au wewe ni muongo. Kwanini huyo bosi asiwafukuze akajili waislam wenzake amani hawana majungu na hawamrogi?
Unawafukuza je wakati kazi zako wanafanya vizuri kelele za chura..........wataendelea tu na chuki zao dhidi ya waislamu ila hawatakuja kuwafikia kifedha na kimaendeleo pamoja na elimu yao.
 
Haha yani ni wazi kabisa ww mwenyewe unajua umeandika uongo juu ya Mtume
Muhammad(SAW) kutokana na chuki dhidi ya Uislam.Lakini ndivyo ulivyofundishwa kanisani so nakushauri kamsome Mtume vizuri kwa akili yako na si hii ya kushikiwa.
KANISANI HUWA QURAN HAITAMBULIWI WALA KUZUNGUMZIWA SABABU NI KITABU CHA KISHETANI. UMESOMA SATANIC VERSES CHA SALMAN RUSHDIE?

Hili neno chuki naona ndo siku hizi Sheikh Kitinku aliwafundisha kutumia kujilaghai. Hujasema uongo ni upi. Sababu hujui hata Quran yenyewe unajibishia na mistari ipo hapo. Je Muddy hakubaka katoto ka miaka 9?
 
Mkuu Ukristo na Uislamu ni Nuru na Giza! Havipatani kabisa!
Sema kwa nchi yetu hatuna budi kuwasifu Waasisi wa Taifa letu kwa jinsi walivyojitahidi kupiga vita Udini vinginevyo ingekuwa hatari.
Kwa mjibu wa Quran Waislamu mmeamrishwa msiwe na Urafiki na Wakristo na Wayahudi,Q5:51,Q9:5,29-30.
Lakini Unautenganishaje Uislam na Majini wakati ni ndugu?
Tukiona Wanawake wa kiislam wamevaa nguo nyeusi mwili mzima kasoro macho tuwaeleweje?
 

Attachments

  • VID-20230403-WA0006(1).mp4
    3.6 MB
Hapana kwa wakristo hakuna kitu kinaitwa mapepo wema au majini wema, unalazimishia tu, ni andiko lipi ambalo umetumia linaloonyesha mapepo ndio malaika?
Ipo mkuu

1. Mapepo Wabaya (Shetani na Jeshi Lake)

  • Mathayo 8:28-34
  • Yesu anakutana na watu wawili waliopagawa na mapepo katika nchi ya Wagerasi, na mapepo yanamwomba Yesu yapelekwe kwenye kundi la nguruwe.
  • Marko 5:1-13
  • Inasimulia hadithi kama hiyo ambapo Yesu anatoa pepo lililojulikana kama "Jeshi" kutoka kwa mtu aliyekuwa anateseka.
  • Luka 11:24-26
  • Yesu anaelezea jinsi pepo mchafu hutoka kwa mtu, huenda kuzurura, na baadaye hurudi pamoja na pepo wengine saba wabaya zaidi.
  • Waefeso 6:12
  • Paulo anaeleza kuwa vita ya kiroho si dhidi ya damu na nyama bali dhidi ya falme na mamlaka za giza.
  • Ufunuo 12:7-9
  • Mapepo yanahusishwa na kuanguka kwa Shetani kutoka mbinguni baada ya vita na Mikaeli na malaika wake.

2. Mapepo Wema (Malaika wa Mungu)

  • Zaburi 91:11-12
  • Mungu anaahidi kutuma malaika wake kuwalinda watu wake.

  • Luka 1:26-38
  • Malaika Gabrieli anamtembelea Maria kumtangazia kuzaliwa kwa Yesu.

  • Mathayo 4:11
  • Baada ya Yesu kushinda majaribu ya Shetani jangwani, malaika walikuja kumhudumia.

  • Waebrania 1:14
  • Malaika wanatajwa kama roho watumikao kuwatumikia wale watakaoirithi wokovu.

  • Ufunuo 5:11-12
  • Malaika wanatajwa kuwa katika idadi kubwa wakimsifu Mungu.

3. Mapambano Kati ya Mapepo Mazuri na Mabaya

  • Danieli 10:12-13
  • Malaika anamwambia Danieli kuhusu jinsi mjumbe wa Mungu alizuiliwa na mkuu wa ufalme wa Uajemi, lakini Mikaeli (mmoja wa malaika wakuu) alikuja kusaidia.

  • Marko 1:23-27
  • Yesu anamkemea pepo mchafu ndani ya sinagogi, na pepo linatii.

  • Ufunuo 12:7
  • Kuna vita mbinguni kati ya Mikaeli na malaika zake dhidi ya Shetani na mapepo wake.

4. Tahadhari Kuhusu Mapepo


  • Mathayo 12:43-45
  • Yesu anatoa maonyo kuhusu kurudi kwa pepo mchafu iwapo mtu hajajazwa na Roho wa Mungu.
 
Ukatoliki haufunzi ushirikina, Wakatoliki washirikina wamejifunzia vilingeni siyo mimbarini, hiyo ni tofauti na upande wa pili...
kuabudu masanam pia ushirikina na yalemasanam mnayoyapigia magoti na kuyaomba nyie wakatoliki si ushilikina.
 
Kijijin kwetu huku usukuman ukisema kuwa wewe ni mwisilam watakushangaa sana na mara zote watajua kuwa wewe ni mchawi au mganga wa kienyeji

Huku kwetu hakuna waislam kabisa waislam mimi nimekuja kuwakuta huku mjini
huko munakoua mpaka albino kwa tamaa ya fedha?
 
ukweli mchungu kwa hapa Tanzania uislamu ndio umewafelisha makabila ya mjini

kama wazaramo, wandengereko wasingekuwa waislamu leo hii wangekuwa hawashikiki kwa maendeleo.

ardhi yote ya dar es salaam ni mali ya babu zao. uhuru umepiganiwa mitaani kwao.

ila sababu uislamu uluwafanya wakomae na madrassa kukariri quran na kuachana na shule za formal education. wakaishia kuwa wajinga na kukosa fursa nyingi sana huku quran haijawapa fursa nyingi
Wandegereko na wazaramo ni waislam jina tu. Mila zao ndio zimewafanya wawe hivyo walivyo. Halafu sidhani kama watu maskini zaidi wanatoka Pwani. Nendeni kanda ya ziwa na Dodoma ndio mtakuta umasikini wa kweli.
Hawa wazaramo ngoma zao za asili na kutoendekeza elimu ndio vinaw1ponza. Mbona waislam wa Kilimanjaro wana maendeleo vizuri tu.
 
Kinacho wasumbua sana ni chuki na wivu wamaendeleo ya uislamu na waislamu, Ushirikina ni mwingi katika ukatoliki ila hausemwi.

Kuna schoolmate wangu muislamu alimaliza form four ana elimu ya madrasa nzuri tu karibu juzu 10, kwenye kampuni yake kaajiti wakuristo 8, wenye degree mbalimbali moja ni muhasibu ana CPA na waislamu wa 3, ila wale wa kuristo wanamsema vibaya wanatamani afe, ila kila ukicha mali zake zinaongezeka. Wamefanya ushirikina mpaka basi tu.......hao watu hawapendi wsislamu hata ufanye wame kiasi gani.
Hapa duniani kati ya Wakristo na Waislamu nanani ana roho mbaya?
Maendeleo gani Muislamu kamzidi Mkristo?
Unajua waislamu wana idadi kubwa ya wajinga duniani wewe ukiwemo?
 
Tatizo lenu baadhi yenu hamuwezi kuchangamana na jamii ya watu wengine. Mna ule-uexceptional ndio tatizo.

Na jingine waislam wengi hawajiamini, muda wote wanahisi kutengwa, wanahisi unawanyanyapaa, kitu kidogo atahisi unefanya kwakua yeye ni muislam.
Hii mentality inabidi muitoe vichwani mwenu.
Screenshot_20241120-075223.jpg
 
Nadhani wana hoja maana sijawahi kusikia jini anaitwa Eliza au Janeth, mostly majina yao ndiyo yale yale na sijawahi kuona aya za Biblia zikitumika kwaajili ya kuagua but mostly utasikia ni surat.......
Kingine sijawahi kusikia gaidi akiitwa Anthony, Erick n.k. ila majina yanayohusika ni yale yale, kwa muktadha huo nadhani unaweza ukaona wapi wanapata locus ya kuona kuwa upande huo mara nyingi unakuwa unanasubishwa na mambo meusi na ya hatari.
Kwahiyo mpaka uje umuaminishe kuwa sio wote ni wa hivyo inachukua muda kubadilisha dhana ambayo imewakuza juu ya imani hiyo.
Binafsi sikuwahi kujua kuwa kuna kitu kinaitwa kurogwa sijui kutupiwa Mnyama and the alike kabla sijaanza kuwakula mabinti wavaa hijabu maana katika story unakuta binti anakuhadithia visanga vinavyotokea kwenye familia na ukoo wao mpaka unaona hapa nimepotea njia na soon nitakuwa Zombie.
Kwanza mkuu hayo majina yanayotumika kwa majini ni binaadamu wenyewe tu ndio wamewatunga kutokana jamii husika, usidhani waarabu au wazungu hutumia majina hayo hayo yanayotumika huku bongo kuita majini.
Na huwa yanakusudia aina ya fulani ya majini na si jina la jini mwenyewe.

Mkuu nikwambie kwamba hata aya za biblia hutumika kwenye uchawi au uganga, wengi hawajui hili ila ukitaka ushahidi nakuwekea kitabu chenye kuelekeza jinsi ya kutumia aya za biblia kurogea.

Mkuu mbona mikasa hiyo ya kurogwa na kutupiwa majini tunaona kanisani wakristo wakitolewa majini na uchawi au haujawahi kutizama wanavyotoa ushuhuda?
 
Hapana kwa wakristo hakuna kitu kinaitwa mapepo wema au majini wema, unalazimishia tu, ni andiko lipi ambalo umetumia linaloonyesha mapepo ndio malaika?
Sasa ukikataa mapepo sio malaika utaweza kuleta andiko kwenye biblia kuonesha kuwa Mungu aliumba mapepo/majini?
 
Jini hana umbile moja. Can change into anything. Majini ni viumbe vya Shetani.
Ukisema majini ni viumbe vya shetani sasa huyo shetani ni kiumbe gani na majini ni viumbe gani?
Kwa mujibu wa biblia Mungu aliumba majini? Kama hajaumba hao majini walitokea wapi?
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
(Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa)
Tena cha kuaminisha watu zaidi wakristo wanajifanya wao hapa TZ kama wanahaki na nchi hii wakati wao katika kupigania UHURU walikuwa na wazungu hawakushughulika kabisa matokea yake Nyerere akawageukia kwa chuki za dini .Haya mambo hayakuanza leo hivi VITA vimeanza zamani sana na katika vita vikuwa ni kuwanyima Elimu waislamu na hao waliosoma wasipate kazi .Refer Bunge letu Waislmu wangapi na Wakristo wangapi ndio utajua ,so hii nchi kuna UDINI na UKABILA chini kwa chini sahau waislamu hata hao wakristo wenyewe wanapigana vita ktk madhehebu yao pamoja na ukabila kuna mambo yanafukuta chini kwa chini mwenye macho haambiwi tazama.Allah atusaidie lkn chuki zipo sana tena saaanaaaaa.
 
Back
Top Bottom