Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Ndio ndio mkuu
Kwahiyo tatizo ni tafsiri ya ugaidi ndio imebadilika huko zamani hadi Mandela ambaye hakuwa muislamu ila aliwahi kuitwa gaidi, ila siku hizi ugaidi imekuwa ni neno ambalo hutumika kwa uhalifu ambao unafanywa na muislamu tu na kama si muislamu basi uhalifu huo utaitwa kwa jina lengine.
 
"Wapo wanaosema huwezi kutenganisha uislam na majini".

Likitokea tukio la mauzauza utasikia "tulikutana na mtu mreefu kavaa kanzu" huu msemo hauko kwa bahati mbaya.
Wakristo wa jamii zengine huko mfano wazungu wao hawana sana stori za majini wao ni habari za Aliens, hata wakiona mauzauza kuona kiumbe cha ajabu huita alien hukuti wanahusisha waislamu na majini. Sasa sijui labda majini wa ulaya huko sio waislamu.
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Hebu iongelee pemba unguja na lindi tupate kujua kuhusu waislamu wa huko na maoni yao kuhusu ukristo?
 
Kijijin kwetu huku usukuman ukisema kuwa wewe ni mwisilam watakushangaa sana na mara zote watajua kuwa wewe ni mchawi au mganga wa kienyeji

Huku kwetu hakuna waislam kabisa waislam mimi nimekuja kuwakuta huku mjini
Ni mji uliopo wewe,au kijiji gani ulichopo wewe ambacho hakuna waislamu kabisa?
 
wewe unawezaje kuutenganisha uislamu na majini? wakati mnahubiri kuwa kuna majini wema na wabaya, na kuna namna ya kuwaita hao majini mkaishi nao
Katika hilo la Majini Wakristo na Waislam wanafanana. Majini ni viumbe, katika viumbe kuna wema na wabaya. Hata wakristo wanahubiri kuhusu majini ila wao huwatumii jina la "majini" bali "mapepo" hata wakristo wanahubiri kuwa kuna "mapepo" wema (malaika) na mapepo wabaya.
Mungu aliumba vyote, vinavyo onekana na visivyo onekana.
Kwenye namna ya kuishi nayo na jinsi ya kuyatumikisha hapo ndiyo wanatofautiana.
 
Nimeamini watu ni waongo na hizo ndio mada mnadanganyana huko,
Kwa mfani, maria qibtiyyah alikua mie wa Mtume, na walipata mtoto mmoja,
Si mchepuko kama unavyotaka kuaminisha watu,
Jidanganye wewe na maamuma wenzio. Huyu alikuwa mtumwa
Mary the Copt (Arabic: مارية القبطية Mariyah Al-Qibtiyah‎), also known as Maria Qubtiyya, was one of the concubines/sex slaves of the prophet Muhammad. Although she is considered an umm al-mu'minin أم ألمؤمنين (Mother of the Believers) she was never actually the wife of the prophet according to the accepted historical sources by orthodox Sunni Islam.[1][2] The Muslim academic scholar Jonathan Brown has examined in detail the evidences cited by modern writers who believe Muhammad married Mariyah, but found in each case that the source was "both extremely rare and unreliable, or it is ambiguous"
 
Kwahiyo tatizo ni tafsiri ya ugaidi ndio imebadilika huko zamani hadi Mandela ambaye hakuwa muislamu ila aliwahi kuitwa gaidi, ila siku hizi ugaidi imekuwa ni neno ambalo hutumika kwa uhalifu ambao unafanywa na muislamu tu na kama si muislamu basi uhalifu huo utaitwa kwa jina lengine.
Inasikitisha sana mkuu
 
Katika hilo la Majini Wakristo na Waislam wanafanana. Majini ni viumbe, katika viumbe kuna wema na wabaya. Hata wakristo wanahubiri kuhusu majini ila wao huwatumii jina la "majini" bali mapepo hata wakristo wanahubiri kuwa kuna "mapepo" wema na wabaya.
Mungu aliumba vyote, vinavyo onekana na visivyo onekana.
Kwenye namna ya kuishi nayo na jinsi ya kuyatumikisha hapo ndiyo wanatofautiana.
Waislamu waongo. Wewe ni muongo. Mapepo/majini ni machafu hakuna wema. Ndo maana Wakristo wanawatoa.nyie waisilamu hao ni ndugu zenu. Walisilimu baada ya Muhamad. Na msikitini mnawasalimia kabla ya swala. Majini ni wachafu hakuna wema wala wazuri. Ni malaghai.
 
Muhamad alihalalishiwa Kutumia aina mbalimbali ya wanawake kingono na allah. Aliruhusiwa na alipenda sana ngono.

Suratul Al Ah'Zab 50: Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia katika alio kupa Mwenyezi Mungu, na mabinti ami zako, na mabinti wa shangazi zako, na mabinti wa wajomba zako, na mabinti wa dada za mama yako walio hama pamoja nawe; na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii, kama mwenyewe Nabii akitaka kumwoa. Ni halali kwako wewe tu, si kwa Waumini wengine. Sisi tunajua tuliyo wafaridhia wao katika wake zao na wanawake ilio wamiliki mikono yao ya kulia. Ili isiwe dhiki kwao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
 
Katika hilo la Majini Wakristo na Waislam wanafanana. Majini ni viumbe, katika viumbe kuna wema na wabaya. Hata wakristo wanahubiri kuhusu majini ila wao huwatumii jina la "majini" bali "mapepo" hata wakristo wanahubiri kuwa kuna "mapepo" wema (malaika) na mapepo wabaya.
Mungu aliumba vyote, vinavyo onekana na visivyo onekana.
Kwenye namna ya kuishi nayo na jinsi ya kuyatumikisha hapo ndiyo wanatofautiana.
Suratul Al Ah'Zab 50: Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia katika alio kupa Mwenyezi Mungu, na mabinti ami zako, na mabinti wa shangazi zako, na mabinti wa wajomba zako, na mabinti wa dada za mama yako walio hama pamoja nawe; na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii, kama mwenyewe Nabii akitaka kumwoa. Ni halali kwako wewe tu, si kwa Waumini wengine. Sisi tunajua tuliyo wafaridhia wao katika wake zao na wanawake ilio wamiliki mikono yao ya kulia. Ili isiwe dhiki kwao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
 
Mimi naona kwamba wakristo hawana elimu kuhusu hao viumbe majini, mengi wanayoyajua kuhusu majini ni yale ambayo yanaelezwa na waislamu. Sasa mkristo anachukua maelezo yenye kueleza sifa za viumbe majini anaenda kumpa sifa hizo wale malaika waovu hapo ndio lilipo tatizo.
Suratul Al Ah'Zab 50: Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia katika alio kupa Mwenyezi Mungu, na mabinti ami zako, na mabinti wa shangazi zako, na mabinti wa wajomba zako, na mabinti wa dada za mama yako walio hama pamoja nawe; na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii, kama mwenyewe Nabii akitaka kumwoa. Ni halali kwako wewe tu, si kwa Waumini wengine. Sisi tunajua tuliyo wafaridhia wao katika wake zao na wanawake ilio wamiliki mikono yao ya kulia. Ili isiwe dhiki kwao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Nadhani wana hoja maana sijawahi kusikia jini anaitwa Eliza au Janeth, mostly majina yao ndiyo yale yale na sijawahi kuona aya za Biblia zikitumika kwaajili ya kuagua but mostly utasikia ni surat.......
Kingine sijawahi kusikia gaidi akiitwa Anthony, Erick n.k. ila majina yanayohusika ni yale yale, kwa muktadha huo nadhani unaweza ukaona wapi wanapata locus ya kuona kuwa upande huo mara nyingi unakuwa unanasubishwa na mambo meusi na ya hatari.
Kwahiyo mpaka uje umuaminishe kuwa sio wote ni wa hivyo inachukua muda kubadilisha dhana ambayo imewakuza juu ya imani hiyo.
Binafsi sikuwahi kujua kuwa kuna kitu kinaitwa kurogwa sijui kutupiwa Mnyama and the alike kabla sijaanza kuwakula mabinti wavaa hijabu maana katika story unakuta binti anakuhadithia visanga vinavyotokea kwenye familia na ukoo wao mpaka unaona hapa nimepotea njia na soon nitakuwa Zombie.
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Waislami hata wakisoma hawaelimiki hawastaarabiki sijui ni kwa Nini?

Hawezi kujudge mambo kwa logic
Dini yao Haiwafundishwi Upendo
Wao ni kuuana tu na ugaidi
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
What funny is watz wanatambiana dini walizoletewa na wakoloni wao. Lini mtaamka kutoka huko?
 
Huyu ndiye mtume wa Waislamu na Uislamu wenyewe.
Muhammad alizini na kijakazi
2. Muhammad alikuwa na changu doa
3. Muhammad alinyonya ulimi wa mwenzake
4. Muhammad alikuwa Mlevi
5. Muhammad alikuwa amerogwa
Wengi wenu labda hamkuwa mnazifahamu hizi siri ambazo Waislam wanazificha kila siku. Naam, naziita siri kwasababu huwa hawasemi huu ukweli wa Muhammad Mtume wa Allah.
MTUME MUHAMMAD ALIFUMANIWA NA KIJAKAZI WA MKEWE
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Je, huku kufumaniwa ndio sifa za kitume?
MTUME MUHAMAMD ALIKUWA NA CHANGU DOA
Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN
Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Je, Muhammad kunyonya ulimi watu wa jinsia yake, ni sifa ya kitume?
MTUME MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, UNATAKA KUNYWA MVINYO? Mtume Muhammad akasema: NDIO. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete MVINYO ULIO MKALI ILI NINYWE; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule MVINYO MKALI ALILEWA
Je, kula ulabu ni sifa ya kitume?
MTUME MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA
Pia, kwa mujibu wa Sahih Bukhari juzuu ya 4, Kitabu cha 54, Hadithi namba 490 na Sahih Bukhari, juzuu ya 7, kitabu cha 71, hadithi namba 658; Muhammad alirogwa na akazurika na uchawi. Kisa cha mtume kurogwa na kuzurika na uchawi pia kinasimuliwa katika quran Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy ukurasa wa 977 na 978.
Je, kurogwa ni sifa ya utume?
MASWALI:
(a) Ikiwa uchawi ni ukafiri, kuna uhusiano gani kati ya Allah na ukafiri mpaka atelemshe uchawi?
(b)Mtume Muhammad alirogwa na wachawi wa kiislam au wachawi wengine?
(c) Mtume Muhammad alirogwa na uchawi ulioteremshwa na malaika wa Allah au uchawi mwingine?
(d) Mtume au nabii gani mwingine alirogwa na akaathirika na uchawi?
Kama Muhamamd alikuwa Mtume wa Mungu, mbona tabia zake si za kitume na hazifanani na mitume walio tangulia kAbla yake.
Haha yani ni wazi kabisa ww mwenyewe unajua umeandika uongo juu ya Mtume
Muhammad(SAW) kutokana na chuki dhidi ya Uislam.Lakini ndivyo ulivyofundishwa kanisani so nakushauri kamsome Mtume vizuri kwa akili yako na si hii ya kushikiwa.
 
Back
Top Bottom