Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Ni maneno mazuri sana, ila tusaidie ushahidi tafadhali!

Maneno haya pia ni mazuri sana, ila ukitusaidia ushahidi itakuwa ni bora zaidi Mkuu, na itakuwa umetufungua wengi sana!


Na hapa pia tusaidie ushahidi tafadhali ili tuendelee kuelimishana.

Iko wazi Mohamad alisililisha majini hilo halina ubishi na ni ukweli wa kidini sio kwamba wanasingiziwa.

Shetani ni kiumbe pekee kilichosujudu na kuswali kuliko kiumbe chochote kilichowahi kukaa katika ardhi ya dunia hii .
Inyua You tube angalia kisa cha shetani kufukuzwa Peponi kimeelezwa vizuri na wanazuoni wa kiislam.
Uislamu una elimu kubwa sana ya majini kuliko dini nyingine kwa sababu majini yalipokea uislama na kusilimu ndio maana wanasema kuna majini wazuri na wabaya kama ilivyo kwa wanadamu na yale yaliyosilimu yana heri kwa sababu yamepokea dini ya Allah.
 
Nimeshawahi kumuona mmasai muislam na anatumia jina lake hilohilo la kimasai!
Ukisilimu Waislam wakupata Majina uchague yakiislamu na wanakua karibu na wewe, kuna Mwaka nilikuwa naishi Zanzibar kuna rafiki yangu alikua mkristo sasa akapendwa na demu wa kipemba kwahiyo Jamaa akaambiwa aingie kwenye Uislam ja akakubali na jina akabadili akajiita Abdul, kila wakiti wa swala walikua wanamfata kwenda kusali jamaa hayo mambo yakamshinda kwasababu ya Mazingira ya aina ya kazi aliyokua nayo.
 
Na hesabu umefunga kabisa kwamba wataenda motoni wewe nani mzee?

Ninyi walokole mmejimilikisha signature ya Mungu punguzeni mbwembwe hizo hukumu mnazotoa huku wenyewe mna dhambi zenu zitawatia matatani.
Mambo yote ni kufikirika hakuna mwenye uhakika nayo!!

Lazima Kila mtu ataandika Kwa speculation zake aonavyo!
 
Niliongea na mtu ambaye nimemuona anachochea hizo chuki. Angekuwa ni mkristu pia ningemuambia kwa sababu nachukia udini pasipo kujali ni anauanzisha

Ila ulichooona ni kile ulichotaka kutafsiri kwamba nipo kwenye mpambano wenu ilhali mimi nilicomment kwa mtu ninaemuona mara kwa mara akichochea
Kwahiyo kati ya comment zote ulizo zisoma kwenye huu uzi hiyo ndo umeiona inachochea chuki tu?

Ww kubali tu kuwa umechukia kuona upande wako umekejeliwa na sio kwamba unachukia watu wenye chuki.
 
Bro unajuaje kama wale waislam matajiri hawamo humu. Kina Elon woote wamo kwenye social media.

Kwa ujumla hoja ya msingi hapa ni uislam kuwa chini ya kivuli cha uarabu. Hakuna namna ya kutenganisha hivyo vitu viwili.
Sasa hivi mjadala ume hamia kwenye uisilam kuwa chini ya waarabu na sio waisilam kuwa masikini na kutokuwa na elimu?😃😃😃😃
 
Wachungaji wao wawape darasa kuwa waache chuki za kidini, ni nadra humu muislam kuanza mada ya dhahiri ya kushambulia ukristo. Wakristo ni watu wa matusi na dhiaka juu ya uislam, chuki za kidini na ukabila ni mbaya sana sana kama zikiachwa ziendelee, nchi kama Rwanda yalitokea mahuaji kisa chuki za kidini na ukabila, afrika ya kati pia ivyoivyo,


Tuache huu upuuzi, mitaani mbona wote tunaishi pamoja waislam na wakristo na wapagani pia.
Kweli kabisa.
 
Kama unaelewa ardhi ni mali ya Mungu then sina shaka unajua pia viumbe vyote ni vya Mungu so hakuna kiumbe chenye mamlaka ya kusema ”mkoa huu tumejazana sisi akina fulani” kama ulivyosema hapo juu kwenye bold.

Unaposema wenyeji ni waislam unataka kusema hakuna mkristo Buddha atheist etc ktk hiyo mikoa?inaweza ikawa jamii ngumu kuishi nayo (kwa mtizamo wake) kama akawa ni mmoja wa walioonja joto ya jiwe ya dini.
Kama mtu yeyote hana haki ya kijimilikisha ardhi mbona Israel inapo uwa wapalestina kwa kisingizio cha kulinda ardhi yao huwa unashangilia?

Mna wachukia waisilam lakini kutwa kuzunguka kwenye nyumba za waisilam kudoea futari zao kipindi cha mfungo.
Mna wachukia waisilam lakini CCM ikiwakatia maji mnakimbilia misikitini kwenda kuchota maji ya bure badala ya kwenda kuchota kwenye visima vya kanisa vilivyo jengwa kwa sadaka zenu.
 
Hayo ni maendelezo makubwa sana. Pengine baadaye adhana itaitwa kwa kiswahili. Endeleeni hivyo hivyo ili kuuhuisha uislam. Maana kuganda kwenye lugha moja, kutaufanya uislam kufa
Uislamu umejikita kwenye mambo ya msingi ambayo hayabadiliki!

Kama adhana,sala n.k
 
Si ndio hapo. Umaskini na kukosa kazi za kufanya. Mtu ambaye yuko busy hawezi kuja kukashfu dini ya mwenzake ili hali kila mmoja kazaliwa tu kwenye hiyo dini. Na hakuna mwenye uhakika kama anachoabudu ni bora zaidi ya mwingine.
Ngozi nyeusi itabaki kuwa ngozi nyeusi tu mkuu
 
Iko wazi Mohamad alisililisha majini hilo halina ubishi na ni ukweli wa kidini sio kwamba wanasingiziwa.

Shetani ni kiumbe pekee kilichosujudu na kuswali kuliko kiumbe chochote kilichowahi kukaa katika ardhi ya dunia hii .
Inyua You tube angalia kisa cha shetani kufukuzwa Peponi kimeelezwa vizuri na wanazuoni wa kiislam.
Uislamu una elimu kubwa sana ya majini kuliko dini nyingine kwa sababu majini yalipokea uislama na kusilimu ndio maana wanasema kuna majini wazuri na wabaya kama ilivyo kwa wanadamu na yale yaliyosilimu yana heri kwa sababu yamepokea dini ya Allah.
Mkuu, dini yoyote ina marejeo yake!

Iwe ya kibudha ina maandiko yake nayo ni marejeo kwa yeyote!

Iwe ya kihindu nayo ina marejeo yake kwenye vitabu.

Halikadhalika kwenye uislamu nao una marejeo yake!

Sasa ukiandika maelezo matupu bila ya kunukuu kutoka kwenye vifungu vyao tutakuwa hatuwatendei haki! Na sidhani kama ni jambo la busara!

Maadamu tupo kwa lengo la kuelimishana, tusaidie ushahidi tafadhali kutoka kwenye maandiko yao! Karibu.
 
Ukisilimu Waislam wakupata Majina uchague yakiislamu na wanakua karibu na wewe, kuna Mwaka nilikuwa naishi Zanzibar kuna rafiki yangu alikua mkristo sasa akapendwa na demu wa kipemba kwahiyo Jamaa akaambiwa aingie kwenye Uislam ja akakubali na jina akabadili akajiita Abdul, kila wakiti wa swala walikua wanamfata kwenda kusali jamaa hayo mambo yakamshinda kwasababu ya Mazingira ya aina ya kazi aliyokua nayo.
Mkuu, mimi ni muislam!

Mababu zangu ni waislamu!

Babu yangu wa kwanza ni muislam, babu yangu wa pili ni muislam, babu yangu wa tatu ni muislam, babu yangu wa nne ni muislam na kuendelea.

Na hao ni mtiririko wa kufika mpaka kwa baba yangu mpaka kufika mimi!

Sina haja ya kukuongopea, natokea kwenye nyama, mishipa na mifupa ya kiislam, na nimeisoma dini na bado naendelea kuisoma dini.

Ukisilimu uislamu haikulazimishi kubadilisha jina. Unaweza ukabaki na jina lako kama baadhi ya waafrika wa magharibi waliyo na majina yao ya asili.

Kubadilisha jina ni maamuzi ya mhusika na wala Sheikh hakulazimishi!
 
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah

Quran inaeleza wazi kuwa kufanya mapenzi na watumwa (unaowamiliki mkono wa kulia) inaruhusiwa. Nenda kasome Sura An Nisa 24.

Pia mfate shehe aliesoma dini vizuri akuelezee story ya Mtume Muhammad na Mariyah Mqibti na Rayhaanah bint Zayd an-Nadhwariyah. Utaona jinsi mtume alivyogongaa hao watumwa wa kike.


Tazama mwenyewe vitu wanavyofundishwa waislamu. Kwa kusoma vitabu vyao . Utaujua uislamu ulivyo na upuuzi. Soma RAHA ZA PEPONI KURASA HUU utaona wanaume wa kiislamu wanavyofundishwa kwamba peponi watapewa wanawake wasafii wawe wanawatombazzzz

View attachment 3156460
Mkuu umesahau wameahidiwa watapewa wanawake wenye mataqo makubwa huko peponi cjui wake zao watawaacha wap..pia majini pia wanaswali kwamba ile nafasi inayoachwa msikitini huwa waanchiwa hao majini wema
 
Kwetu Kuna kijana wa kikristu alimuoa binti wa kiislam Tena mtoto wa Ustaadh. Kesho yake asubuhi walumfuata binti Yao. Hawakujali Kama amevunjwa bikra na mkristu.
Ni urongo inamaana Alijioza mwenyewe?
 
Wewe tutasumbuana nakuuliza hivi unajibu vile uwe na wakati mwema kiongozi
Nimetumia lugha nyepesi sana.. "Mapepo" , (kìvumishi cha ubaya), inatokana na pepo, kuna pepo wema na wabaya. Pepo ni viumbe wasiyo na miili. Hapo kipi hakijaeleweka?
 
Hapo kwenye swala tano hapo. Binafsi naona ni kusababisha noise polution kwa wakazi wanozunguka misikiti. Wee wanaanza kuita na ma loudspeakers lugha ambayo wala jamii inayozunguka hawaijui. Wanarudia maneno yale yale kwa muda wa nusu saa. Wanaharibu usingizi wa watu. Yaani mkiwa na watoto au wazee karibu na msikiti ni janga. Wanapiga kelele muda ambao kisheria siyo reasonable hours yaani kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni.
Sijui ni aya gani ambayo inawaambia mkiwasumbua wengine kwa makelele ya kurudia rudia kwa lugha isiyoeleweka ndiyo unapata thawabu.
Tulia wewe mav uzi na sindano Uhuru wa Tanzania washukuliwe Waislam nyie makafiri Babu zenu walikuwa wAnaimba kwaya na kula nguruwe ila wazee wa Kiislam wakaingia Front leo hii unalala kwa Amani unatembea kwa Uhuru ila ndo hao hao kutwa mnawaponda humu kitabu chetu kilishasema Chuki ya Makafiri ni kubwa na wanatamani Mkufuru kama walivyofanya Wao.
 
Mimi nashukuru kwamba ni mtu ambaye naweza kusikiliza hoja za imani nyingine bila kuwa offended.
Mimi mkristo lakini 90% ya marafiki nilionao ni waislamu. Wananifunza mengi ya dini yao mengi hunivutia na pia nahisi nikioa ntaoa binti kutoka upande huo.
Badili Imani yako kwanza
 
1)Mtume Muhammad s.a.w aliishi Makka kwa miaka 40. Katika miaka yote hiyo hakuwahi kupigana na yoyote au kumpiga yoyote au kumtusi au kuutweza utu wa mtu.

2)Alipotangaza kuwa yeye ni Mtume wa Mungu watu wa Makka wakaanza kumdhihaki, wakaanza kuwapiga maswahaba zake mitaani, haikutosha wakaanza kuwavamia majumbani mwao na kuwapiga.

3)Mtume akawaagiza maswahaba zake wahame waende Ethiopia kwa Mfalme wa Kikristu ili wakae huko na awahami. Mbali na hilo hakurudisha pigo lolote kutoka kwa hao wanaodhuru maswahaba zake.

4) Walimtenga Mtume Muhammad s.a.w pamoja na familia yake na maswahaba zake na kumwekea vikwazo kwa miaka 3 vya kibiashara, hakuna kuuza wala kununua kutoka kwao. Ilifika kipindi Mtume na maswahaba zake walikuwa wanakula nyasi.

5)Baadaye watu wa Makka wakaweka mpango kabambe kwa makabila makubwa ya hapo Makka wamuue. Mtume akahama kuhamia mji mwengine, mji wa Madina.

6)Wakubwa wa Makka hawakufurahiswa na kitendo cha Mtume kuhama, wakaamua kumfuata huko huko Madina na jeshi kubwa na Mtume hakuwa na jeshi la kupigana wala vifaa vya kijeshi, ila yeye na maswahaba zake wakaamua kupigana hivyo hivyo!

7)Wakati wa vita akawaamuru watu wake wasishambulie watoto, wanawake, wazee, wasikate miti wala kuharibu vyanzo vya maji.

8)Miaka 2 mbeleni watu wa Makka wakaja na jeshi kubwa na kuuzunguka mji wa Madina na kuzuia njia zote za usafirashaji, si chakula wala chochote kikazuiliwa kuingia. Waislamu wakaamua kupigana kwa mbinu ya kuchimba mahandaki.

9)Wakati haya yanatokea, wayahudi waishio Madina ambao waliingia mkataba wa kuishi kwa amani na Mtume na waislamu kwa ujumla walikuwa wakivunja makubaliano ya mkataba pale ambapo waislamu wakivamiwa na majeshi ya nje. Mtume akaamua kupambana nao hivyo hivyo ndani ya mji pia.


Kwa ufupi historia ya Mtume ipo hivyo! Ulitaka afanyaje? Ajilinde vipi yeye na kulinda damu ya watu waliyomuamini na ya akina mama, watoto na wazee?
Mbuzi Hata kama umchukue Carlos Santana awapigie Gitaa ataumia Vidole Vyake.
 
Back
Top Bottom