Wakristo wanatakiwa kuombea amani Mashariki ya Kati

 

Attachments

  • C335FF84-E49E-438B-A599-11FF9F9A5FA7.jpeg
    197.1 KB · Views: 4
Kaka una kipaji cha kugombeza, hadi baàassssss
 
Ni sahihi. Kwanza ni kujipendekeza.
Wakristo watanakiwa kuwaombea waisrael imjue Yesu, watapotea wakiendelea kuamini Yesu hajaja.
Mkuu Yani wewe upo bongo hapa umuombee myahudi amjue yesu hebu acheni ukanjanja jamani
 
Kaka una kipaji cha kugombeza, hadi baàassssss
Simba wa Mwituni Bujibuji Simba Nyamaume si kama nina kipaji cha kugombeza wehu ila nimesoma historia na hizi dini za kutungwa na watu nimesoma mwanzo wake mpaka kufikia sisi Waafrika kuwa watumwa wa imani isiyo sahihi kwetu nimesoma, so ninapokutana na mtu gaidi kama FaizaFoxy na wafuasi wake wasiojitambua akili ndipo napatwa na hasira na kutaka kuwaelimisha ndugu zangu wasijilipue mabomu na kwenda motoni bure kwani hao mabikra 72 walioahidiwa hawapo huko, watakutana na shangazi yao Faiza tu akiwapokea na kuwapa pole kwa kuingia motoni kwa ujinga wao wa kujitakia. Ni hiyo tu, zaidi ya hapo sina tatizo na mtu.
 
Kwa hiyo umeniita nibishane na Jamaa_Mbishi?
 
FaizaFoxy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…