Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

hacha usanii bwana mkubwa, wewe usalama wa dini au dhehebu fulani unaujuaje wakati umezaliwa dini na madhehebu ukayakuta?. Kivip utaaminika kama nawe sio hisia na itikadi ulizonazo kutoka pahali fulani au ndani ya moyo wako juu ya dhehebu au dini hiyo.
 
Acha bla blaa taja dini au dhehebu lako nikuoneshe ulipo unapelekwa jehanum

Acha bla blaa taja
 
hacha bangi wewe, yaani kwamba una mkeka wa usalama wa dini na madhehebu yote?. Wewe ni nani? alafu nawe ni mwanadamu kama mimi unionyeshe usalama wa dini au dhehebu langu??. Kawalishe Matango pori wengine. Imani ni personal issue mzee.
 
Wasabato sio wakristo, ni pure freemasons.
Ila Hawa Wala Nguruwe ,wanaocheza miziki makanisani, wanauza mafuta na chumvi, wanaokataza kuoa na kuolewa, na uchafu Mwingine ,ndio WAKRISTO?

Basi Kama ni hivyo HUUJUI UKRISTO


Taja Dhehebu lako unalodai ni la KIKRISTO

Nitakuonesha kuwa limejengwa na linaongozwa na Shetani


Najua huwez kutaja maana Sibahatishi ,

Ninayajua madhehebu Karibu yote waanzilishi had ibada zao, ninazijua dini kuu 3 vizuri UKRISTO, UYAHUDI NA UISLAMU
 
Nimeshasema nipo kwenye dhehebu la Zumaridi. Tunakula kiti moto kama hatuna akili nzuri.
 
Wewe kenge mwitu uislamu umeingiaje hapa mbona mnawashwa sana

Pambaneni wenyewe na mambo yenu mmalizane usitake kuchomekeza ya waislamu wakati ya kwenu bado yanawashinda
 
Mtumish wa MUNGU naomba uanzishe blog YAKO tunaopenda kujifunza tujifunze zaidi jins ulivYoelezea hata mtoto wa miaka mitano anaelewa ubarikiwe sanaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Nyinyi wasabato na ndugu zenu katika imaan, pigeni kelele weee! Mpaka mchoke.

Linapokuja suala la huyu mdudu πŸ– aisee siwezi kuwaelewa kamwe.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Daaah na mbingu tunaingia aseee nimecheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…