Wakristo wengi kuhudhuria Mikutano na Hafla za Waislam / Kiislam

Wakristo wengi kuhudhuria Mikutano na Hafla za Waislam / Kiislam

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
28,916
Reaction score
40,479
Habarini Wadau,

Hiki ninachokiandika nina uhakika na Ushahidi nacho, Juzi...kama two weeks ago au mwezi kulikuwa na Tamasha kubwa sana la Kiislam lililohusisha Watu wa jinsia zote...na Walialika Wasomi wakubwa wa Dini ya Kiislam kutoka pande mbalimbali duniani ikiwepo Europe,

Miongoni mwa Wahudhuriaji niliwaona WAKRISTO kadhaa ninaowafahamu, wakiwepo Wanachuo sio chini ya 20 wa UDSM

Hali kadhalika, leo katika Tamasha la Shindano lao la Usomaji wa Quran kwa Wanawake tu walikuwepo pia Wakristo, na nimemwona kiongozi mmoja wa Dini ya Kikristo na Notebook yake

SWALI LANGU, hivi hawa Wakristo na Ukafiri wao hauathiri chochote katika Uislam? Hawaitwi Makafiri? Waislam wakiswali au wakifanya taratibu zao...hao Wakristo wanafanya nini au wanatazama matukio kama movie tu?

Wabillah Tawfiq,
 
Uislam ni dini na taratibu za maisha ya binadamu yaliyojaa harakati za kujaribu kujizuia na chuki ,visasi, tamaa, ubinafsi ,lawama, mapigano, uzushi, unafiki, uchawi, ushirikina na mambo yote yanayofanana na hayo.

Ukristo halisi ni Kundi la watu walioitwa na Mungu Mwenyewe ili waurithi ufalme wa Mungu.

Warithi wa ufalme ni wachache mana nafasi za utawala ni chache.

Wakrsto ndio watakao pewa nafasi ya utawala siku ya mwisho na sio vinginevyo . Wote waliomwamini Masihi Yeshua au Yesu kwa Lugha ya Kiwahili kama ilivyotafsiriwa na waislam wa Zanzibar miaka hiyo Ufalme wa Mungu ulipoanza kuingia Tanganyika na kuuangusha ufalme wa shetani na mapepo wa baya.

Yesu hakuja kuanzisha Dini bali ufalme mana shetani kama walivyo wafuasi wake alikua anaswali sana na mpaka leo hakuna Muislam zliyefikia kiwango cha kuswali alichofikia shetani. Sigda ya shetani hakuna mwislam aliyefikia ya yule shetwani. Hivyo shetwani na majini yote ni waislam na yanafuata dini ya kiislam.

Ila shetani na majini yote ni wapinzani wa Yeshua Masihi mana Shetani alifikiri kuwa kwa kuswali na kushika dini ya kiislam atapewa ufalme wa Mungu . Mungu akakataa kumpa ufalme mana haukuwekwa kwa ajili yake . Ndipo bifu la waislam na Wakristo lilipoanzia tangu kule Mbinguni na shetwan akatupwa duniani. Adamu naye alipomsikiliza shetani na dini yake pia akatupwa duniani .

Yesu akaja kumkomboa binadam ili arejee kwenye ufalme wa Mungu na sio ksenye dini mana Mungu hana dini kwa sababu haabudu wala hasujudu bali ni mtawala wa viumbe vyote .

Mwenye ufahamu wa Kiroho afunguke na kumtii Masihi Yeshua ili aurithi ufalme wa Mungu.

Anayetaka dini aende akaungane na Majini na Shetwan na waumini wake
 
Hata wewe una karibishwa.
Uislam ni dini ya amani.
Ukiondoa propaganda zileee za ugaid

Hakuna amani nje ya Ufalme wa Mungu.
Ni amani ya kutengeneza kwa sheria kali za kidini chini ya utawala wa shetani ambaye ni mwanzilishi wa dini na aliswali kuliko wadini wote na kuwa wa kwanza kuwa na sigda usoni.

Ukristo halisi ndio ufalme wa Mungu ulioletwa huku duniani ili binadam arejee katika utawala aliokuwa ameukabidhi kwa shetani baada ya kudanganywa na shetani.
Mpaka leo watu wengi watakosa ufalme wa Mungu kwa sababu ya kudanganywa na udini wa shetani na kumsahau Mfalme wa wafalme aliyemuumba binadam ili atawale dunia nzima na kila lilichomo akiwemo shetani.

Shetani na wafuasi wake wa dini ya kiislam aliongoza mgomo wa kukataa kumsujudia Binadam Adam Mtawala . Waislam nao wakaingizwa kwenye mtego ule ule wa kukataa kumsujudia Yeshua Masihi Mwana wa Mariam.

Hakuna ufalme wa Mungu bila kumsujudia Masihi kama Mungu alivyopanga na sio dini w
 
Hakuna amani nje ya Ufalme wa Mungu.
Ni amani ya kutengeneza kwa sheria kali za kidini chini ya utawala wa shetani ambaye ni mwanzilishi wa dini na aliswali kuliko wadini wote na kuwa wa kwanza kuwa na sigda usoni.

Ukristo halisi ndio ufalme wa Mungu ulioletwa huku duniani ili binadam arejee katika utawala aliokuwa ameukabidhi kwa shetani baada ya kudanganywa na shetani.
Mpaka leo watu wengi watakosa ufalme wa Mungu kwa sababu ya kudanganywa na udini wa shetani na kumsahau Mfalme wa wafalme aliyemuumba binadam ili atawale dunia nzima na kila lilichomo akiwemo shetani.

Shetani na wafuasi wake wa dini ya kiislam aliongoza mgomo wa kukataa kumsujudia Binadam Adam Mtawala . Waislam nao wakaingizwa kwenye mtego ule ule wa kukataa kumsujudia Yeshua Masihi Mwana wa Mariam.

Hakuna ufalme wa Mungu bila kumsujudia Masihi kama Mungu alivyopanga na sio dini w
Yesu alikuwa dini gani? Ndugu yangu
 
Nimechoka kuona ndugu zangu waafrika tunaparuana juu ya dini zilizoletwa toka uarabuni na ulaya.

Kwanini hamuoni kwamba hicho tulicholetewa kinatugombanisha?

Mbona wengine waishi bila ukristo wala uislamu na wana amani tele.

Dini ni utumwa wa kitamaduni na kifikra. Tushtuke.
 
Uislam ni dini na taratibu za maisha ya binadamu yaliyojaa harakati za kujaribu kujizuia na chuki ,visasi, tamaa, ubinafsi ,lawama, mapigano, uzushi, unafiki, uchawi, ushirikina na mambo yote yanayofanana na hayo.

Ukristo halisi ni Kundi la watu walioitwa na Mungu Mwenyewe ili waurithi ufalme wa Mungu.

Warithi wa ufalme ni wachache mana nafasi za utawala ni chache.

Wakrsto ndio watakao pewa nafasi ya utawala siku ya mwisho na sio vinginevyo . Wote waliomwamini Masihi Yeshua au Yesu kwa Lugha ya Kiwahili kama ilivyotafsiriwa na waislam wa Zanzibar miaka hiyo Ufalme wa Mungu ulipoanza kuingia Tanganyika na kuuangusha ufalme wa shetani na mapepo wa baya.

Yesu hakuja kuanzisha Dini bali ufalme mana shetani kama walivyo wafuasi wake alikua anaswali sana na mpaka leo hakuna Muislam zliyefikia kiwango cha kuswali alichofikia shetani. Sigda ya shetani hakuna mwislam aliyefikia ya yule shetwani. Hivyo shetwani na majini yote ni waislam na yanafuata dini ya kiislam.

Ila shetani na majini yote ni wapinzani wa Yeshua Masihi mana Shetani alifikiri kuwa kwa kuswali na kushika dini ya kiislam atapewa ufalme wa Mungu . Mungu akakataa kumpa ufalme mana haukuwekwa kwa ajili yake . Ndipo bifu la waislam na Wakristo lilipoanzia tangu kule Mbinguni na shetwan akatupwa duniani. Adamu naye alipomsikiliza shetani na dini yake pia akatupwa duniani .

Yesu akaja kumkomboa binadam ili arejee kwenye ufalme wa Mungu na sio ksenye dini mana Mungu hana dini kwa sababu haabudu wala hasujudu bali ni mtawala wa viumbe vyote .

Mwenye ufahamu wa Kiroho afunguke na kumtii Masihi Yeshua ili aurithi ufalme wa Mungu.

Anayetaka dini aende akaungane na Majini na Shetwan na waumini wake
Kweli kabisa
 
Sisi maeneo yetu huku Kigoma,kwenye sherehe za Ed huwa hatupiki chakula nyumbani, waislamu majirani zetu na marafiki zetu huwa wanatupa mwaliko rasmi , tunakula vyakula na vingine tunapeleka nyumbani kwa wale walibaki nyumbani. Mimi ni mkiristo lakini 80% ya marafiki zangu ambao tunashikana mkono katika shida na raha ni waislamu.
 
Habarini Wadau,

Hiki ninachokiandika nina uhakika na Ushahidi nacho, Juzi...kama two weeks ago au mwezi kulikuwa na Tamasha kubwa sana la Kiislam lililohusisha Watu wa jinsia zote...na Walialika Wasomi wakubwa wa Dini ya Kiislam kutoka pande mbalimbali duniani ikiwepo Europe,

Miongoni mwa Wahudhuriaji niliwaona WAKRISTO kadhaa ninaowafahamu, wakiwepo Wanachuo sio chini ya 20 wa UDSM

Hali kadhalika, leo katika Tamasha la Shindano lao la Usomaji wa Quran kwa Wanawake tu walikuwepo pia Wakristo, na nimemwona kiongozi mmoja wa Dini ya Kikristo na Notebook yake

SWALI LANGU, hivi hawa Wakristo na Ukafiri wao hauathiri chochote katika Uislam? Hawaitwi Makafiri? Waislam wakiswali au wakifanya taratibu zao...hao Wakristo wanafanya nini au wanatazama matukio kama movie tu?

Wabillah Tawfiq,
Nyie ndio mnaofanya dini hii ionekane ya kigaidj,kwani huwa hamna upendo na umoja kukaribisha wengine.

Shetani ndiye alla.
 
Mwenye ufahamu wa Kiroho afunguke na kumtii Masihi Yeshua ili aurithi ufalme wa Mungu.
Naomba ufafanuzi hapa, mnaenda kurithi ufalme wa Mungu, Ina maana Mungu ataachia ufalme wake au atafariki ili muweze kurithi ufalme wa Mungu. Na pia inamaana Mungu atachoka au ataamua kuwaachia ufalme wake mtawale nyie au vipi!!!??? Na huyo ni Mungu gani atawaachia nyinyi murithi ufalme wake, aliwaahidi lini suala hili? Ni Mungu Baba, Mwana au Roho mtakatifu au ni Mungu gani atachoka au kufariki ili nyinyi muweze kurithi ufalme wake?
Nauliza haya sababu huwezi kurithi kitu, bila mwenye nacho kukuachia kwa kuchoka, muda wake wa umiliki kuisha, au kufariki. Naomba ufafanuzi 1000 digits
 
Uislam ni dini na taratibu za maisha ya binadamu yaliyojaa harakati za kujaribu kujizuia na chuki ,visasi, tamaa, ubinafsi ,lawama, mapigano, uzushi, unafiki, uchawi, ushirikina na mambo yote yanayofanana na hayo.

Ukristo halisi ni Kundi la watu walioitwa na Mungu Mwenyewe ili waurithi ufalme wa Mungu.

Warithi wa ufalme ni wachache mana nafasi za utawala ni chache.

Wakrsto ndio watakao pewa nafasi ya utawala siku ya mwisho na sio vinginevyo . Wote waliomwamini Masihi Yeshua au Yesu kwa Lugha ya Kiwahili kama ilivyotafsiriwa na waislam wa Zanzibar miaka hiyo Ufalme wa Mungu ulipoanza kuingia Tanganyika na kuuangusha ufalme wa shetani na mapepo wa baya.

Yesu hakuja kuanzisha Dini bali ufalme mana shetani kama walivyo wafuasi wake alikua anaswali sana na mpaka leo hakuna Muislam zliyefikia kiwango cha kuswali alichofikia shetani. Sigda ya shetani hakuna mwislam aliyefikia ya yule shetwani. Hivyo shetwani na majini yote ni waislam na yanafuata dini ya kiislam.

Ila shetani na majini yote ni wapinzani wa Yeshua Masihi mana Shetani alifikiri kuwa kwa kuswali na kushika dini ya kiislam atapewa ufalme wa Mungu . Mungu akakataa kumpa ufalme mana haukuwekwa kwa ajili yake . Ndipo bifu la waislam na Wakristo lilipoanzia tangu kule Mbinguni na shetwan akatupwa duniani. Adamu naye alipomsikiliza shetani na dini yake pia akatupwa duniani .

Yesu akaja kumkomboa binadam ili arejee kwenye ufalme wa Mungu na sio ksenye dini mana Mungu hana dini kwa sababu haabudu wala hasujudu bali ni mtawala wa viumbe vyote .

Mwenye ufahamu wa Kiroho afunguke na kumtii Masihi Yeshua ili aurithi ufalme wa Mungu.

Anayetaka dini aende akaungane na Majini na Shetwan na waumini wake
sisi ma Budha,Hindu,zoroaster,Jain,Tao,Shinto,Rasfa Afari,Druze tusiomjua YESU wala mtume MOHAMED tu comment wapi? maana hata sisi ni binadamu tunapumua,tuna nyama na damu na tuna maendeleo makubwa baadhi yetu.
Nimeamua kuandika hiyo mistari makusudi kabisa kuwa asa watu waache malumbano ya dini hakuna anayejua aliyesahihi zaidi ni nani?
Hii dunia yetu tunayoiita Earth dhidi ya sayari na nyota zingine ni ndogo kama kapunje ka ulezi.
Kikubwa namtambua MUNGU hizi dini ni kama vyama vya siasa CCM,CHADEMA,NCCR,CUF,NLD,ACT
 
Udini udini.piga ban huyu na fungia huu uzi chap.ikuwapedeza
 
Back
Top Bottom