Wakristo wengi kuhudhuria Mikutano na Hafla za Waislam / Kiislam

Wakristo wengi kuhudhuria Mikutano na Hafla za Waislam / Kiislam

Ibada ya "Jihad Sex" ambayo kikongwe FaizaFoxy ameenda kupambania kule kwa HAMAS inaweza kuharibika we kafiri ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜
Watubtuoo uzibwa Simba na Arsis tunasome visivyoonekana, wewe upo ushuzini.

Nenda kapate ilm ya bure huku, labda utakua na kauli safi:

 
Nimechoka kuona ndugu zangu waafrika tunaparuana juu ya dini zilizoletwa toka uarabuni na ulaya.

Kwanini hamuoni kwamba hicho tulicholetewa kinatugombanisha?

Mbona wengine waishi bila ukristo wala uislamu na wana amani tele.

Dini ni utumwa wa kitamaduni na kifikra. Tushtuke.
Nenda kwa MWAMPOSA wamejaa akina mama wa kiislam wanachukua mafuta ya upako
 
Habarini Wadau,

Hiki ninachokiandika nina uhakika na Ushahidi nacho, Juzi...kama two weeks ago au mwezi kulikuwa na Tamasha kubwa sana la Kiislam lililohusisha Watu wa jinsia zote...na Walialika Wasomi wakubwa wa Dini ya Kiislam kutoka pande mbalimbali duniani ikiwepo Europe,

Miongoni mwa Wahudhuriaji niliwaona WAKRISTO kadhaa ninaowafahamu, wakiwepo Wanachuo sio chini ya 20 wa UDSM

Hali kadhalika, leo katika Tamasha la Shindano lao la Usomaji wa Quran kwa Wanawake tu walikuwepo pia Wakristo, na nimemwona kiongozi mmoja wa Dini ya Kikristo na Notebook yake

SWALI LANGU, hivi hawa Wakristo na Ukafiri wao hauathiri chochote katika Uislam? Hawaitwi Makafiri? Waislam wakiswali au wakifanya taratibu zao...hao Wakristo wanafanya nini au wanatazama matukio kama movie tu?

Wabillah Tawfiq,
Mbona kama unakosea
 
Hakuna amani nje ya Ufalme wa Mungu.
Ni amani ya kutengeneza kwa sheria kali za kidini chini ya utawala wa shetani ambaye ni mwanzilishi wa dini na aliswali kuliko wadini wote na kuwa wa kwanza kuwa na sigda usoni.

Ukristo halisi ndio ufalme wa Mungu ulioletwa huku duniani ili binadam arejee katika utawala aliokuwa ameukabidhi kwa shetani baada ya kudanganywa na shetani.
Mpaka leo watu wengi watakosa ufalme wa Mungu kwa sababu ya kudanganywa na udini wa shetani na kumsahau Mfalme wa wafalme aliyemuumba binadam ili atawale dunia nzima na kila lilichomo akiwemo shetani.

Shetani na wafuasi wake wa dini ya kiislam aliongoza mgomo wa kukataa kumsujudia Binadam Adam Mtawala . Waislam nao wakaingizwa kwenye mtego ule ule wa kukataa kumsujudia Yeshua Masihi Mwana wa Mariam.

Hakuna ufalme wa Mungu bila kumsujudia Masihi kama Mungu alivyopanga na sio dini w
Asante sana balikiwa mtumish hakika mwanadam ndiye mtawala ndo maana analindwa na malaika ndo ulikuwa ugomvi baina ya shetani na MUNGU
 
Habarini Wadau,

Hiki ninachokiandika nina uhakika na Ushahidi nacho, Juzi...kama two weeks ago au mwezi kulikuwa na Tamasha kubwa sana la Kiislam lililohusisha Watu wa jinsia zote...na Walialika Wasomi wakubwa wa Dini ya Kiislam kutoka pande mbalimbali duniani ikiwepo Europe,

Miongoni mwa Wahudhuriaji niliwaona WAKRISTO kadhaa ninaowafahamu, wakiwepo Wanachuo sio chini ya 20 wa UDSM

Hali kadhalika, leo katika Tamasha la Shindano lao la Usomaji wa Quran kwa Wanawake tu walikuwepo pia Wakristo, na nimemwona kiongozi mmoja wa Dini ya Kikristo na Notebook yake

SWALI LANGU, hivi hawa Wakristo na Ukafiri wao hauathiri chochote katika Uislam? Hawaitwi Makafiri? Waislam wakiswali au wakifanya taratibu zao...hao Wakristo wanafanya nini au wanatazama matukio kama movie tu?

Wabillah Tawfiq,
Mbona kuna waislamu kibao wanajaa kwa kiboko ya wachawi na Husemi?
 
Wakristo ni watu wanaojitambua hawana ubaguzi, chuki, wala mihemko kama ninyi Waislamu, ni watu wanaopenda kujichanganya katika shughuli mbalimbali lengo ni kujifunza na kupata elimu, kuwepo kwao kwenye hadhara za Waislamu japo kuna (Majini Waislamu) haiathiri chochote katika dini yao japo wanajua Waislamu mna ubaguzi hamtawafanya chochote maana wana Mungu wa kweli.
 
Wakristo ni watu wanaojitambua hawana ubaguzi, chuki, wala mihemko kama ninyi Waislamu, ni watu wanaopenda kujichanganya katika shughuli mbalimbali lengo ni kujifunza na kupata elimu, kuwepo kwao kwenye hadhara za Waislamu japo kuna (Majini Waislamu) haiathiri chochote katika dini yao japo wanajua Waislamu mna ubaguzi hamtawafanya chochote maana wana Mungu wa kweli.
Azarel ni kafiri mwenzenu ameamua kuchokoza mada hapa akijua nyinyi wenzake mtaleta kashfa dhidi ya UISLAMU kwa kudhani mada imeletwa na Muislamu.
 
Azarel ni kafiri mwenzenu ameamua kuchokoza mada hapa akijua nyinyi wenzake mtaleta kashfa dhidi ya UISLAMU kwa kudhani mada imeletwa na Muislamu.
Mkuu sipo tena huko, naomba unielewe na sijafanya kwa kusudi hilo...nimeandika Ukweli

Fanya toba kwa kuongea Uongo usioujua, lini umeniona tena nikikashifu Uislam?
 
Mkuu sipo tena huko, naomba unielewe na sijafanya kwa kusudi hilo...nimeandika Ukweli

Fanya toba kwa kuongea Uongo usioujua, lini umeniona tena nikikashifu Uislam

Mkuu sipo tena huko, naomba unielewe na sijafanya kwa kusudi hilo...nimeandika Ukweli

Fanya toba kwa kuongea Uongo usioujua, lini umeniona tena nikikashifu Uislam?
Niwe mkweli. Msema kweli ni MPENZI wa Mungu. .Sijawahi kushuhudia ukianzisha mada ya kuukashufu Uislamu, lakini nimeshashudia michango Yako mingi sana ya kukashifu UISLAMU. Labda kama kuna mtu mnatumia ID inayofafana hapa JF.
 
Mungu muumbaji wa vitu vyote na asili ya vitu vyote ni mkuu mno.
Yaani mimi na Mungu baba muumba wa vyote ni sawa na Rais na mwenyekiti wa serikali za mitaa.
Mungu ana matrilion na matrilioni ya viumbe vinavyomtegemea na kumtumaini katika asili yake kama watoto wake mana yeye ni mlezi na baba wa vyote. Walioasi walelkataa Mungu kuwa yeye sio mtawala wao wala baba kwao.

Sasa sisi chini ya Mwana Masihi Yesu au Yeshua tumepata rehema tu ya kutawala kwa sehemu tu katika ufalme wake ambao ni mkubwa sana.
mfano nyie waasi mliomkata Mungu wa kweli mnatawala dunia kwa amri ya nani ?Au nani mmemrithi ?Je,Mungu hajawapa sehemu mtawale na mnakua na mamlaka na enzi kama miungu , je,mnafikiri yametikea kwa bahati mbaya? Je, haljui kuwa Mungu alimtuma Masihi ili aje aratibu upya utawala wa dunia baada ya watu waovu kujipenyeza na kuwa wanafanya kazi ya shetani kumhujumu Mungu katika mpango wa kuumba binadam .

Mungu hafi mana ndiye asili ya uhai
Mkuu hujatoa Majibu ya kueleweka Kwenye hayo Maswali ila umekuja na maneno mengi yasio na mantiki ya swali.
Umenijumuisha kwa waliomkataa Mungu, sijui unamaanisha nin? Na sijui tunatawala Dunia gan? Ukiachana na familia yangu hakuna kingine ninachotawala. Hao waislam wanatawala nin hapa duniani?
Ni porojo tu ulizomezeshwa
 
Na wale wanaojazana kwa Mwamposa hadi Shehe Mazinde akajaa upepo na kuanza kiwashambulia huwa wanafuata nini kwenhe makongamano ya Kikristo?

Mi Mkristo, niloenda uwanja wa Taifa kuona wazigua wanakariri lugha ya mnyazi mungu asiyejua ligha nyingine zaidi ya kiarabu huku hawajui kusoma na kuandika hata mama kwa kiswahili.๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜
Badala ya kujibu Hoja unakuja na Pumba!! Jibu hoja za kueleweka watu wafuate unachokiamini. Porojo nyingi kichwani empty
 
Back
Top Bottom