Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Ushahidi wa video tafadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sisi ma Budha,Hindu,zoroaster,Jain,Tao,Shinto,Rasfa Afari,Druze tusiomjua YESU wala mtume MOHAMED tu comment wapi? maana hata sisi ni binadamu tunapumua,tuna nyama na damu na tuna maendeleo makubwa baadhi yetu.
Nimeamua kuandika hiyo mistari makusudi kabisa kuwa asa watu waache malumbano ya dini hakuna anayejua aliyesahihi zaidi ni nani?
Hii dunia yetu tunayoiita Earth dhidi ya sayari na nyota zingine ni ndogo kama kapunje ka ulezi.
Kikubwa namtambua MUNGU hizi dini ni kama vyama vya siasa CCM,CHADEMA,NCCR,CUF,NLD,ACT
Naomba ufafanuzi hapa, mnaenda kurithi ufalme wa Mungu, Ina maana Mungu ataachia ufalme wake au atafariki ili muweze kurithi ufalme wa Mungu. Na pia inamaana Mungu atachoka au ataamua kuwaachia ufalme wake mtawale nyie au vipi!!!??? Na huyo ni Mungu gani atawaachia nyinyi murithi ufalme wake, aliwaahidi lini suala hili? Ni Mungu Baba, Mwana au Roho mtakatifu au ni Mungu gani atachoka au kufariki ili nyinyi muweze kurithi ufalme wake?
Nauliza haya sababu huwezi kurithi kitu, bila mwenye nacho kukuachia kwa kuchoka, muda wake wa umiliki kuisha, au kufariki. Naomba ufafanuzi 1000 digits
Naomba ufafanuzi hapa, mnaenda kurithi ufalme wa Mungu, Ina maana Mungu ataachia ufalme wake au atafariki ili muweze kurithi ufalme wa Mungu. Na pia inamaana Mungu atachoka au ataamua kuwaachia ufalme wake mtawale nyie au vipi!!!??? Na huyo ni Mungu gani atawaachia nyinyi murithi ufalme wake, aliwaahidi lini suala hili? Ni Mungu Baba, Mwana au Roho mtakatifu au ni Mungu gani atachoka au kufariki ili nyinyi muweze kurithi ufalme wake?
Nauliza haya sababu huwezi kurithi kitu, bila mwenye nacho kukuachia kwa kuchoka, muda wake wa umiliki kuisha, au kufariki. Naomba ufafanuzi 1000 digits
Na wale wanaojazana kwa Mwamposa hadi Shehe Mazinde akajaa upepo na kuanza kiwashambulia huwa wanafuata nini kwenhe makongamano ya Kikristo?Habarini Wadau,
Hiki ninachokiandika nina uhakika na Ushahidi nacho, Juzi...kama two weeks ago au mwezi kulikuwa na Tamasha kubwa sana la Kiislam lililohusisha Watu wa jinsia zote...na Walialika Wasomi wakubwa wa Dini ya Kiislam kutoka pande mbalimbali duniani ikiwepo Europe,
Miongoni mwa Wahudhuriaji niliwaona WAKRISTO kadhaa ninaowafahamu, wakiwepo Wanachuo sio chini ya 20 wa UDSM
Hali kadhalika, leo katika Tamasha la Shindano lao la Usomaji wa Quran kwa Wanawake tu walikuwepo pia Wakristo, na nimemwona kiongozi mmoja wa Dini ya Kikristo na Notebook yake
SWALI LANGU, hivi hawa Wakristo na Ukafiri wao hauathiri chochote katika Uislam? Hawaitwi Makafiri? Waislam wakiswali au wakifanya taratibu zao...hao Wakristo wanafanya nini au wanatazama matukio kama movie tu?
Wabillah Tawfiq,
Kabla ya ufafanuzi kwa maswali hayo ya madrasa ambayo hata mwanangu wa Kindergarten 1 hawezi uliza swali kama hili?Naomba ufafanuzi hapa, mnaenda kurithi ufalme wa Mungu, Ina maana Mungu ataachia ufalme wake au atafariki ili muweze kurithi ufalme wa Mungu. Na pia inamaana Mungu atachoka au ataamua kuwaachia ufalme wake mtawale nyie au vipi!!!??? Na huyo ni Mungu gani atawaachia nyinyi murithi ufalme wake, aliwaahidi lini suala hili? Ni Mungu Baba, Mwana au Roho mtakatifu au ni Mungu gani atachoka au kufariki ili nyinyi muweze kurithi ufalme wake?
Nauliza haya sababu huwezi kurithi kitu, bila mwenye nacho kukuachia kwa kuchoka, muda wake wa umiliki kuisha, au kufariki. Naomba ufafanuzi 1000 digits
Ibada ya "Jihad Sex" ambayo kikongwe FaizaFoxy ameenda kupambania kule kwa HAMAS inaweza kuharibika we kafiri 😀😃😄😁Asiekua muislam haathiri chochote pindi anaposhiriki katika shughuli za waislam na inapendeza kuona wakishiriki.
Wala hakuna ibada yoyote inayoharibika kwa kuwepo kwao, labda ungetolea mfano ibada gani unazohisi zinaweza kuharibika
Mimi siwezi kuwa kafiri maana naamini Mungu ni mmoja ambae ni muumba wa kila kitu hajazaa wala hajazaliwa na hakuna anaefanana nae.Ibada ya "Jihad Sex" ambayo kikongwe FaizaFoxy ameenda kupambania kule kwa HAMAS inaweza kuharibika we kafiri 😀😃😄😁
Itakuwa wanafuata pisi kali, si unajua hayo maeneo ndiyo huwepi wale watoto geti kali wa kiarabu ambao mtaani kuwaona ni nadraHabarini Wadau,
Hiki ninachokiandika nina uhakika na Ushahidi nacho, Juzi...kama two weeks ago au mwezi kulikuwa na Tamasha kubwa sana la Kiislam lililohusisha Watu wa jinsia zote...na Walialika Wasomi wakubwa wa Dini ya Kiislam kutoka pande mbalimbali duniani ikiwepo Europe,
Miongoni mwa Wahudhuriaji niliwaona WAKRISTO kadhaa ninaowafahamu, wakiwepo Wanachuo sio chini ya 20 wa UDSM
Hali kadhalika, leo katika Tamasha la Shindano lao la Usomaji wa Quran kwa Wanawake tu walikuwepo pia Wakristo, na nimemwona kiongozi mmoja wa Dini ya Kikristo na Notebook yake
SWALI LANGU, hivi hawa Wakristo na Ukafiri wao hauathiri chochote katika Uislam? Hawaitwi Makafiri? Waislam wakiswali au wakifanya taratibu zao...hao Wakristo wanafanya nini au wanatazama matukio kama movie tu?
Wabillah Tawfiq,
Unaposema hivyo, swali shetani anaswali na kumsujudu nani kwa ajili ya nini? Ufafanuzi tafadhaliShetani ndiye aliyekua ana dini yake ya kusujudu kila saa mpaka akawa na sigda usoni .
Kwahiyo Mungu hafanani na kitu chochote? Quran inasemaje kuhusu allah kufanana na mwanadamu na kuwa na mguu mmoja na mikono miwili?Mimi siwezi kuwa kafiri maana naamini Mungu ni mmoja ambae ni muumba wa kila kitu hajazaa wala hajazaliwa na hakuna anaefanana nae.
Kafiri ni wale wasioamini hayo.
Sijasoma uliyoandika ni kupoteza muda kubishana na mtu aliekufuru(kafiri)Kwahiyo Mungu hafanani na kitu chochote? Quran inasemaje kuhusu allah kufanana na mwanadamu na kuwa na mguu mmoja na mikono miwili?
Acha kudanganya we kafiri au husomi quran na Hadithi?
Kutafuta hivyo vifungu uone vinasema kuhusu muonekano wa allah.
View attachment 3084056
Kuwa Alshabab ,Alkaida ,Boko Haram sio waislamu na sio magaidi?Hata wewe una karibishwa.
Uislam ni dini ya amani.
Ukiondoa propaganda zileee za ugaid
kwani ukiwa mkristo una ruhusiwa kuua?Kuwa Alshabab ,Alkaida ,Boko Haram sio waislamu na sio magaidi?
Nenda AfghanistanHata wewe una karibishwa.
Uislam ni dini ya amani.
Ukiondoa propaganda zileee za ugaid
وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ فَيَسُبُّوا اللَّـهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ ۗ كَذَٰلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَىٰ رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿١٠٨﴾Nawe pia ni tatizo.
Kasome quran 6:108
kwa sasa huo ndio uislamu tunaotakiwa kuuishi!