Wakristo wengi kuhudhuria Mikutano na Hafla za Waislam / Kiislam

Ibada ya "Jihad Sex" ambayo kikongwe FaizaFoxy ameenda kupambania kule kwa HAMAS inaweza kuharibika we kafiri πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜
Watubtuoo uzibwa Simba na Arsis tunasome visivyoonekana, wewe upo ushuzini.

Nenda kapate ilm ya bure huku, labda utakua na kauli safi:

 
Nenda kwa MWAMPOSA wamejaa akina mama wa kiislam wanachukua mafuta ya upako
 
Mbona kama unakosea
 
Asante sana balikiwa mtumish hakika mwanadam ndiye mtawala ndo maana analindwa na malaika ndo ulikuwa ugomvi baina ya shetani na MUNGU
 
Mbona kuna waislamu kibao wanajaa kwa kiboko ya wachawi na Husemi?
 
Wakristo ni watu wanaojitambua hawana ubaguzi, chuki, wala mihemko kama ninyi Waislamu, ni watu wanaopenda kujichanganya katika shughuli mbalimbali lengo ni kujifunza na kupata elimu, kuwepo kwao kwenye hadhara za Waislamu japo kuna (Majini Waislamu) haiathiri chochote katika dini yao japo wanajua Waislamu mna ubaguzi hamtawafanya chochote maana wana Mungu wa kweli.
 
Azarel ni kafiri mwenzenu ameamua kuchokoza mada hapa akijua nyinyi wenzake mtaleta kashfa dhidi ya UISLAMU kwa kudhani mada imeletwa na Muislamu.
 
Azarel ni kafiri mwenzenu ameamua kuchokoza mada hapa akijua nyinyi wenzake mtaleta kashfa dhidi ya UISLAMU kwa kudhani mada imeletwa na Muislamu.
Mkuu sipo tena huko, naomba unielewe na sijafanya kwa kusudi hilo...nimeandika Ukweli

Fanya toba kwa kuongea Uongo usioujua, lini umeniona tena nikikashifu Uislam?
 
Mkuu sipo tena huko, naomba unielewe na sijafanya kwa kusudi hilo...nimeandika Ukweli

Fanya toba kwa kuongea Uongo usioujua, lini umeniona tena nikikashifu Uislam

Mkuu sipo tena huko, naomba unielewe na sijafanya kwa kusudi hilo...nimeandika Ukweli

Fanya toba kwa kuongea Uongo usioujua, lini umeniona tena nikikashifu Uislam?
Niwe mkweli. Msema kweli ni MPENZI wa Mungu. .Sijawahi kushuhudia ukianzisha mada ya kuukashufu Uislamu, lakini nimeshashudia michango Yako mingi sana ya kukashifu UISLAMU. Labda kama kuna mtu mnatumia ID inayofafana hapa JF.
 
Mkuu hujatoa Majibu ya kueleweka Kwenye hayo Maswali ila umekuja na maneno mengi yasio na mantiki ya swali.
Umenijumuisha kwa waliomkataa Mungu, sijui unamaanisha nin? Na sijui tunatawala Dunia gan? Ukiachana na familia yangu hakuna kingine ninachotawala. Hao waislam wanatawala nin hapa duniani?
Ni porojo tu ulizomezeshwa
 
Badala ya kujibu Hoja unakuja na Pumba!! Jibu hoja za kueleweka watu wafuate unachokiamini. Porojo nyingi kichwani empty
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…