Wakristo wengi kuhudhuria Mikutano na Hafla za Waislam / Kiislam


Haya huwezi kuyaelewa klingana na roho dhaifu uliyo nayo.

Hata mbwa na paka wana roho .

Wanazaliwa wanaishi na wanakufa .
Ila hawawezi kumtawala binadamu na mazingira yanayowazunguka kwa sababu hawakupewa uwezo wa kutawala.

Kila mtu ni mtawala kuanzia mazingira yake mpaka akili yake na mwili wake mwenyewe.

Kama wewe hutawali chochote basi unamilikiwa na majini
 
" Shetwani na majini wote ni waislamu"

Nakubaliana nawe 100%
 
Je na wale rundo la waislam wanaokwenda kwa mwamposa na wengne kushuhudia waliyotendewa na YESU nao n nn knawaleta au ndo unafki wa dini ya wanafki islam? allah ndiye shetani.
 
Niwe mkweli. Msema kweli ni MPENZI wa Mungu. .Sijawahi kushuhudia ukianzisha mada ya kuukashufu Uislamu, lakini nimeshashudia michango Yako mingi sana ya kukashifu UISLAMU. Labda kama kuna mtu mnatumia ID inayofafana hapa JF.
Ndio nakuambia ndani ya Mwaka huu tafuta hizo comments uniwekee hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…