Wakristo wenye wadada wa kazi wa Kiisilamu acheni kuwanyanyasa kwasababu ya kufunga Ramadhani

Wakristo wenye wadada wa kazi wa Kiisilamu acheni kuwanyanyasa kwasababu ya kufunga Ramadhani

Mkuu stori yako ya kumkataza binti wa kiislamu kufunga imetokea wapi huko?
Lakini kwanini waislamu wanakataza kupika na kula kwenye migahawa? , tena ni ishu ya kitaifa kabisa uko visiwani na tangazo likatolewa.
 
Kama mwili tu siyo wao lakin dada zetu wakijstiri wao inawauma wanatamani watembee uchi Kama wao unafikiri kafiri anaakili?
 
Kwani wamelazimishwa kufanya Kazi katika Nyumba za wakristo?
 
Kufunga ni wewe na mungu wako maana yeye anajua yaliyo sirini mwako suala la kulazimishana linakuwa lipo kidesturi zaidi kuliko kiroho.
 
Vipi kwa wakristo wanaofanya kazi kwenye nyumba za waislam wanaruhusiwa kula mchana mwezi huu au kula kitimoto nyumbani?[emoji124]
Huo mfano wako wa kitimoto haupo relevant kabisa! Unless useme kuwa kwenye hiyo futari ya housegirl awe anapika chakula ambacho kinaendana kinyume na imani ya ukristo (na hakuna chakula chenye restriction kwenye dini yenu).
 
Fikiria kutokula au kunywa wakati wa mchana kwa siku 30 mfululizo moja kwa moja sio jambo jepesi. "Mtazamo wa mwezi huu kimsingi sio kujizuia au kufunga, bali ni mkusanyiko wa nguvu na akili ya Muislamu juu ya utambuzi wa Mwenyezi Mungu na maisha ya ibada ya uchamungu."

Haipendezi bint wako wa kazi unamkataza kufunga kwakuwa familia yako hapo ni ya kikristo, unamkataza kujistiri na kuvaa ushungi kwasababu hupendezwi na mavazi hayo, hata sehemu ya kuswalia unamkataza asifanye ibada katika nyumba yako.

Vyema kumruhusu binti wa kazi kurudi nyumbani kwao kila mwezi wa Ramadhani ikiwa unakerekwa na yeye kufunga akiwa hapo nyumbani kwako, wengine mnawalazimisha waende kanisani na kudiriki kwenye maombezi ya kukemewa, na ibada mbalimbali za Kikristo hapo nyumbani mkijua kabisa huyu ni binti wa Kiisilamu.

Imani hailazimishwi bali inatengenezwa kwa namna wewe utavyomtendea na kumpa uhuru na kuamini kile anacho kiamini, na kumfanyia wema katika mahitaji yake ya ibada ikiwemo kumnunulia nguo ya sikukuu kama unavyofanya kwa watoto wako wakati wa pasaka, kisha kazi kwako itakuwa kumshawishi kwa hoja za ki-maandiko ili aikubali imani yako nasio vinginevyo.


View attachment 2181318
Na vipi kuhusu Waislamu wanaolazimisha wasio Waislamu kufunga sababu ni mwezi wa Ramadhan wakati hauwahusu.
 
Fikiria kutokula au kunywa wakati wa mchana kwa siku 30 mfululizo moja kwa moja sio jambo jepesi. "Mtazamo wa mwezi huu kimsingi sio kujizuia au kufunga, bali ni mkusanyiko wa nguvu na akili ya Muislamu juu ya utambuzi wa Mwenyezi Mungu na maisha ya ibada ya uchamungu."

Haipendezi bint wako wa kazi unamkataza kufunga kwakuwa familia yako hapo ni ya kikristo, unamkataza kujistiri na kuvaa ushungi kwasababu hupendezwi na mavazi hayo, hata sehemu ya kuswalia unamkataza asifanye ibada katika nyumba yako.

Vyema kumruhusu binti wa kazi kurudi nyumbani kwao kila mwezi wa Ramadhani ikiwa unakerekwa na yeye kufunga akiwa hapo nyumbani kwako, wengine mnawalazimisha waende kanisani na kudiriki kwenye maombezi ya kukemewa, na ibada mbalimbali za Kikristo hapo nyumbani mkijua kabisa huyu ni binti wa Kiisilamu.

Imani hailazimishwi bali inatengenezwa kwa namna wewe utavyomtendea na kumpa uhuru na kuamini kile anacho kiamini, na kumfanyia wema katika mahitaji yake ya ibada ikiwemo kumnunulia nguo ya sikukuu kama unavyofanya kwa watoto wako wakati wa pasaka, kisha kazi kwako itakuwa kumshawishi kwa hoja za ki-maandiko ili aikubali imani yako nasio vinginevyo.


View attachment 2181318
Na nyie siku za Pasaka na Krisimasi mbona mnawafanyisha kazi wadada wakristo!
 
Fikiria kutokula au kunywa wakati wa mchana kwa siku 30 mfululizo moja kwa moja sio jambo jepesi. "Mtazamo wa mwezi huu kimsingi sio kujizuia au kufunga, bali ni mkusanyiko wa nguvu na akili ya Muislamu juu ya utambuzi wa Mwenyezi Mungu na maisha ya ibada ya uchamungu."

Haipendezi bint wako wa kazi unamkataza kufunga kwakuwa familia yako hapo ni ya kikristo, unamkataza kujistiri na kuvaa ushungi kwasababu hupendezwi na mavazi hayo, hata sehemu ya kuswalia unamkataza asifanye ibada katika nyumba yako.

Vyema kumruhusu binti wa kazi kurudi nyumbani kwao kila mwezi wa Ramadhani ikiwa unakerekwa na yeye kufunga akiwa hapo nyumbani kwako, wengine mnawalazimisha waende kanisani na kudiriki kwenye maombezi ya kukemewa, na ibada mbalimbali za Kikristo hapo nyumbani mkijua kabisa huyu ni binti wa Kiisilamu.

Imani hailazimishwi bali inatengenezwa kwa namna wewe utavyomtendea na kumpa uhuru na kuamini kile anacho kiamini, na kumfanyia wema katika mahitaji yake ya ibada ikiwemo kumnunulia nguo ya sikukuu kama unavyofanya kwa watoto wako wakati wa pasaka, kisha kazi kwako itakuwa kumshawishi kwa hoja za ki-maandiko ili aikubali imani yako nasio vinginevyo.


View attachment 2181318

Kama umekubali kufanya kazi kwa mtu unaye amini ni kafiri basi jiandae kula hata nguruwe na hakuna kufunga na kwa Mwamposa utakwenda kwa lazima! Mapepo utayafukuza na kila jioni lazima ujiandae kuongoza ibada na kukemea mapepo!
Hakuna kuvaa ushungi labda kama unataka kufukuzwa kazi![emoji16][emoji16]

Kama hutaki acha kazi nenda katafute kazi kwa waarabu au watu wa dini yako![emoji3526][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Fikiria kutokula au kunywa wakati wa mchana kwa siku 30 mfululizo moja kwa moja sio jambo jepesi. "Mtazamo wa mwezi huu kimsingi sio kujizuia au kufunga, bali ni mkusanyiko wa nguvu na akili ya Muislamu juu ya utambuzi wa Mwenyezi Mungu na maisha ya ibada ya uchamungu."

Haipendezi bint wako wa kazi unamkataza kufunga kwakuwa familia yako hapo ni ya kikristo, unamkataza kujistiri na kuvaa ushungi kwasababu hupendezwi na mavazi hayo, hata sehemu ya kuswalia unamkataza asifanye ibada katika nyumba yako.

Vyema kumruhusu binti wa kazi kurudi nyumbani kwao kila mwezi wa Ramadhani ikiwa unakerekwa na yeye kufunga akiwa hapo nyumbani kwako, wengine mnawalazimisha waende kanisani na kudiriki kwenye maombezi ya kukemewa, na ibada mbalimbali za Kikristo hapo nyumbani mkijua kabisa huyu ni binti wa Kiisilamu.

Imani hailazimishwi bali inatengenezwa kwa namna wewe utavyomtendea na kumpa uhuru na kuamini kile anacho kiamini, na kumfanyia wema katika mahitaji yake ya ibada ikiwemo kumnunulia nguo ya sikukuu kama unavyofanya kwa watoto wako wakati wa pasaka, kisha kazi kwako itakuwa kumshawishi kwa hoja za ki-maandiko ili aikubali imani yako nasio vinginevyo.


View attachment 2181318
Umeongea vyema kabisa. Na kwa upande wa pili pia, wale wanaofunga wasiingilie utaratibu wa wasiofunga. Kwa mfano kama wewe au nyie mmefunga basi msikataze wengine wasiofunga kula mchana (mfano Zanzibar)... Pia juzi nilikua kwenye basi natoka Tanga, sasa dereva aligoma kusimama sehemu ya chakula eti kwa sababu ni kipindi cha mfungo na yeye amefunga. Nilipigwa na butwaa sana na kujiuliza sana kwamba uislam ndio mgumu hivi usiojali mahitaji ya wanaokuzunguka? Nikasema itakua shida sio uislam bali ni hawa binadamu wasioelewa na kufanya tusio waislam tuwe na fikra hasi kutokana na matendo ya hivyo... Ni sawa kabisa na hao wakristo wanaowazuia wadada wa kiislam kufunga, au waislam wanaowazuia wadada wa kikristo kula mchana kwa sababu tu wao wamefunga, wanasababisha dini zao zifikiriwe kwa fikra hasi.
 
Huo mfano wako wa kitimoto haupo relevant kabisa! Unless useme kuwa kwenye hiyo futari ya housegirl awe anapika chakula ambacho kinaendana kinyume na imani ya ukristo (na hakuna chakula chenye restriction kwenye dini yenu).
Dini gani unazungumzia?
 
Japokuwa ni stori ya kubumba ikisindikizwa na picha ya kugoogle, nyani haoni kundule. Waislam wanapowazuia wakristo kula popote hususani migahawani kule Zanzibar yenyewe ni haki na hii ya kumlisha mtoto mdogo ni haramu?

Pamoja na brainwashing tuliyopitia waafrika yatupasa kutumia maarifa ya kuzaliwa nayo--- hiyo ni ajira ya mtu na iko wazi watoto kama huyo kwenye picha yako feki hawafungi, je ulitaka nani amlishe kama si huyo aliyejitoa kuifanya hiyo kazi kwa ujira anaolipwa?

Na hii akili ya kuzuia hadi mama nitilie kupika au kule hadharani kule Za
zibar imeshirikisha ubongo kweli au ndio tatizo la brainwashing in the name of religion?
Funga Kwa Ndugu zetu ni kama wanakuwa wamelazimishwa na Kama wako jela na hawataki bughudha. Eti majaribu. Sasa wao wamefunga ila jiran akipika huo mtit wake huko Zenj ni Balaa. Unatakiwa ujifiche na chakula usiweke hta vinukizi...
 
Fikiria kutokula au kunywa wakati wa mchana kwa siku 30 mfululizo moja kwa moja sio jambo jepesi. "Mtazamo wa mwezi huu kimsingi sio kujizuia au kufunga, bali ni mkusanyiko wa nguvu na akili ya Muislamu juu ya utambuzi wa Mwenyezi Mungu na maisha ya ibada ya uchamungu."

Haipendezi bint wako wa kazi unamkataza kufunga kwakuwa familia yako hapo ni ya kikristo, unamkataza kujistiri na kuvaa ushungi kwasababu hupendezwi na mavazi hayo, hata sehemu ya kuswalia unamkataza asifanye ibada katika nyumba yako.

Vyema kumruhusu binti wa kazi kurudi nyumbani kwao kila mwezi wa Ramadhani ikiwa unakerekwa na yeye kufunga akiwa hapo nyumbani kwako, wengine mnawalazimisha waende kanisani na kudiriki kwenye maombezi ya kukemewa, na ibada mbalimbali za Kikristo hapo nyumbani mkijua kabisa huyu ni binti wa Kiisilamu.

Imani hailazimishwi bali inatengenezwa kwa namna wewe utavyomtendea na kumpa uhuru na kuamini kile anacho kiamini, na kumfanyia wema katika mahitaji yake ya ibada ikiwemo kumnunulia nguo ya sikukuu kama unavyofanya kwa watoto wako wakati wa pasaka, kisha kazi kwako itakuwa kumshawishi kwa hoja za ki-maandiko ili aikubali imani yako nasio vinginevyo.


View attachment 2181318
Wakati wa ramadhani ulaji wa mtu aliyefunga huongezeka mara dufu hivyo kuongeza gharama badala ya kupunguza, hivyo usitegemee mtu asiyejitegemea aongeze matumizi ya mwajiri wake kisa "kufunga"
 
Kama umekubali kufanya kazi kwa mtu unaye amini ni kafiri basi jiandae kula hata nguruwe na hakuna kufunga na kwa Mwamposa utakwenda kwa lazima! Mapepo utayafukuza na kila jioni lazima ujiandae kuongoza ibada na kukemea mapepo!
Hakuna kuvaa ushungi labda kama unataka kufukuzwa kazi![emoji16][emoji16]

Kama hutaki acha kazi nenda katafute kazi kwa waarabu au watu wa dini yako![emoji3526][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila tuwe wakwel nyie mnabadilisha ratiba ya msosi tuu yaan unafunga afu unaamka saa 10 au 11 za asubuh kula???
 
Back
Top Bottom