Wakristo wenye wadada wa kazi wa Kiisilamu acheni kuwanyanyasa kwasababu ya kufunga Ramadhani

Wakristo wenye wadada wa kazi wa Kiisilamu acheni kuwanyanyasa kwasababu ya kufunga Ramadhani

Maisha magumu haya binti wa kazi anataka apewe bajeti ya 30K kwa ajili ya futari na daku kwa siku,wakati wa kufuturu anataka mazagazaga kama yupo Muscat,mara tende,harua na vyakula laini laini.

Waajiri wachache wa kikristu ndio wanaweza kuwapa futari ya uhakika kwa mabinti wao wa kazi.

Wengi wetu bora liende sio kwa ubaya ila mifuko iko mitupu.
Siyo lazima ile chai mnayokunywa asbh yeye share yake anafuturu jioni basi. Na daku ile share yake ya usiku ni daku kufunga siyo kuharibu bajeti ya mwenye nyumba mkuu.
 
Ndiyo kinachofanyika kwenye majumba ya waislamu?
Nenda Zanzibar tu hapo, mtu ni mkristo na ananyumba yake lakini haruhusiwi kula mchana kwa kuwa amezungukwa na waisilamu.

Hakuna muisilamu anayeweza kumruhusu hausegirl wake alete kitimoto nyumbani na apikie vyombo vya bosi wake.

Zanzibar ni nchi ya kiislamu mkuu, kwahiyo inafuata taratibu za kiislamu. Hakuna alielazimishwa kufunga, Kilichokatazwa ni kula au kuuza chakula hadharani.
 
Vipi kwa wakristo wanaofanya kazi kwenye nyumba za waislam wanaruhusiwa kula mchana mwezi huu au kula kitimoto nyumbani?[emoji124]

wewe mpumbavu sana kiti moto imekatazwa kwenye bibilia msile nyama ya nguruwe biblia imekataza wewe nikristo wa wapi?
 
Mbn nyie mnakataza watu wasiuze vyakula mchana kama vule watanzania wote tumefunga ramadhani, ilo mbona hulisemi?

wee jizi watu wanazungumzia mtu na mtu nyumbani kwake sio biashara biashara waambie serikali wafungua hayo mahotel
 
Fikiria kutokula au kunywa wakati wa mchana kwa siku 30 mfululizo moja kwa moja sio jambo jepesi. "Mtazamo wa mwezi huu kimsingi sio kujizuia au kufunga, bali ni mkusanyiko wa nguvu na akili ya Muislamu juu ya utambuzi wa Mwenyezi Mungu na maisha ya ibada ya uchamungu."

Haipendezi bint wako wa kazi unamkataza kufunga kwakuwa familia yako hapo ni ya kikristo, unamkataza kujistiri na kuvaa ushungi kwasababu hupendezwi na mavazi hayo, hata sehemu ya kuswalia unamkataza asifanye ibada katika nyumba yako.

Vyema kumruhusu binti wa kazi kurudi nyumbani kwao kila mwezi wa Ramadhani ikiwa unakerekwa na yeye kufunga akiwa hapo nyumbani kwako, wengine mnawalazimisha waende kanisani na kudiriki kwenye maombezi ya kukemewa, na ibada mbalimbali za Kikristo hapo nyumbani mkijua kabisa huyu ni binti wa Kiisilamu.

Imani hailazimishwi bali inatengenezwa kwa namna wewe utavyomtendea na kumpa uhuru na kuamini kile anacho kiamini, na kumfanyia wema katika mahitaji yake ya ibada ikiwemo kumnunulia nguo ya sikukuu kama unavyofanya kwa watoto wako wakati wa pasaka, kisha kazi kwako itakuwa kumshawishi kwa hoja za ki-maandiko ili aikubali imani yako nasio vinginevyo.


View attachment 2181318
Hii habari ni ya uongo kabisa.Katika watu wanaoheshimu imani za watu wengine kwa vitendo ni wakristu

Mkristu anampenda na anapenda kujifunza kutoka kwa watu wa imani nyingine na hawawezi kufanya supremacy imani yao

Ukiishi kwa mkristu akijua imani yako atakusisitiza kusali na kama ni mgeni atakupeka mwenyewe kwenye nyumba ya ibada ya imani yako

Atajitshidi mshitaji yote yanayobatana na imani yako kama mavazi ns vyakula

Katika hali ya kawaida Mkristu akikutana na mtu wa imani nyingine atamheshimu kwa kumsalimia salamu ya dini ya mwenzame kamwe hawezi kumsimia kwa salamu ya dini yake mtu asiye wa imsni yake

Kamwe mkristu hawezi kumuita mtu wa imani tofauti na yake majina mabaya kama makafiri

Mkristu , anaheshimu siku za ibada na sherehe za dini nyingine na kujitahindi hata kuvaa mavazi kama yao lakini kuna baadhi ya watu WATAKUDHIHAKI wakikuona na mavazi hayo utasikka " UMEPENDEZA" tafsiri ya hii ni mbaya sana kwa mtu aliyefanya kukuheshimu lakini wewe unamsifu kwa mgongo wa chupa ambayo in face of it amemaanisha...........

Wakristu wanaamini kwenye dirversity kamwe hawaamini kwamba dunia hii inawafaa wao tu lakini wanaamini kuwa tofauti zetu za lugha, mila, desturi , jinsia, rangi na dini ndio zinafanya ukuu wa Mungu uonrkane. Mungu angeamua kutuumba wote tufanane kama maharagwe kuanzia sura, jinsia, akili,lugha na imani angeweza ila sliamua hata wale mapacha ambao ni identical wanatofautina mambo mengi
 
Fikiria kutokula au kunywa wakati wa mchana kwa siku 30 mfululizo moja kwa moja sio jambo jepesi. "Mtazamo wa mwezi huu kimsingi sio kujizuia au kufunga, bali ni mkusanyiko wa nguvu na akili ya Muislamu juu ya utambuzi wa Mwenyezi Mungu na maisha ya ibada ya uchamungu."

Haipendezi bint wako wa kazi unamkataza kufunga kwakuwa familia yako hapo ni ya kikristo, unamkataza kujistiri na kuvaa ushungi kwasababu hupendezwi na mavazi hayo, hata sehemu ya kuswalia unamkataza asifanye ibada katika nyumba yako.

Vyema kumruhusu binti wa kazi kurudi nyumbani kwao kila mwezi wa Ramadhani ikiwa unakerekwa na yeye kufunga akiwa hapo nyumbani kwako, wengine mnawalazimisha waende kanisani na kudiriki kwenye maombezi ya kukemewa, na ibada mbalimbali za Kikristo hapo nyumbani mkijua kabisa huyu ni binti wa Kiisilamu.

Imani hailazimishwi bali inatengenezwa kwa namna wewe utavyomtendea na kumpa uhuru na kuamini kile anacho kiamini, na kumfanyia wema katika mahitaji yake ya ibada ikiwemo kumnunulia nguo ya sikukuu kama unavyofanya kwa watoto wako wakati wa pasaka, kisha kazi kwako itakuwa kumshawishi kwa hoja za ki-maandiko ili aikubali imani yako nasio vinginevyo.


View attachment 2181318
Tungeanza na wale wanaotandikwa fimbo kiembembuzi na viunga vyake ati wamekula mchana
 
Lakini ukikaa na mfanyakazi wako akafunga ukimuwezesha kidogo hata kwa uji na futari simpo Kwani Kuna ubaya gani ?

Mbona ni jambo jema tu?!

Daku atakula shea yake ya chakula chake cha usiku mlichokula nyie wengine.

Kuhusu mavazi ya stara nayo Kwani yana ubaya gani?

Mbona kujisitiri ni jambo jema hata Biblia imeandika na kuagiza hivyo kuwa wanawake wavae mavazi ya staha?!

Tupendane na kuishi kwa kufuata maadili mema Kwani sisi sote ni ndugu watoto wa Baba yetu Ibrahim.
 
Yani kama kuna mtu anayafanya hayo madai ya Mleta mada Naomba ayatafakali na kujirekebisha.

Kumuwezesha yaya wako kufunga ni jambo la baraka kwenye familia.

Kufunga kunaondoa makando Kando mengi ndani ya moyo wa mtu.

Hata visirani na mawazo mabaya huondoka au kupungua wakati wa kufunga.

Kuhusu mavazi msiwazuie mavazi yao ni mazuri.

Kuweni na mtazamo chanya na upendo wa Kweli.
 
Kuna Binti alikuww anafabya kazi kwa broo saizi ametoka aemeenda kwa nyumba ya kikristo aise bint amebadilika mpaka skin taiti na alikuwa anaswal saiz kawa kivingine kabisa
 
Ila tuwe wakwel nyie mnabadilisha ratiba ya msosi tuu yaan unafunga afu unaamka saa 10 au 11 za asubuh kula???
Mtu anakula SAA 10 usiku. Wengine mnaamka na njaa, yeye muda huo Ameshiba NDIII halafu anaanza kuwaigizia Swaumu Inauma.

Unafiki kabisa
 
Mwisilamu anatakiwa ampe Uhuru mkiristo ambao autoaribu mambo yake ndani mfano ampe chakula ale ila asile mbele ya waliofunga mkiristo Naye ampe chakula mwisilamu wakati wa kufungua kusiwe na vineno kote uko.
 
Japokuwa ni stori ya kubumba ikisindikizwa na picha ya kugoogle, nyani haoni kundule. Waislam wanapowazuia wakristo kula popote hususani migahawani kule Zanzibar yenyewe ni haki na hii ya kumlisha mtoto mdogo ni haramu?

Pamoja na brainwashing tuliyopitia waafrika yatupasa kutumia maarifa ya kuzaliwa nayo--- hiyo ni ajira ya mtu na iko wazi watoto kama huyo kwenye picha yako feki hawafungi, je ulitaka nani amlishe kama si huyo aliyejitoa kuifanya hiyo kazi kwa ujira anaolipwa?

Na hii akili ya kuzuia hadi mama nitilie kupika au kule hadharani kule Zanzibar imeshirikisha ubongo kweli au ndio tatizo la brainwashing in the name of religion?
Sio Zanzibar pekee Somalia Afghanistan etc zipo nchi kama ufaransa kuvaa ijabu tu imekuwa shida
 
Na pia wale ambao wanalazimisha Dada zao wa kazi nao wafunge kipindi cha Mfungo. Hii si sawa hata kidogo.
Fikiria kutokula au kunywa wakati wa mchana kwa siku 30 mfululizo moja kwa moja sio jambo jepesi. "Mtazamo wa mwezi huu kimsingi sio kujizuia au kufunga, bali ni mkusanyiko wa nguvu na akili ya Muislamu juu ya utambuzi wa Mwenyezi Mungu na maisha ya ibada ya uchamungu."

Haipendezi bint wako wa kazi unamkataza kufunga kwakuwa familia yako hapo ni ya kikristo, unamkataza kujistiri na kuvaa ushungi kwasababu hupendezwi na mavazi hayo, hata sehemu ya kuswalia unamkataza asifanye ibada katika nyumba yako.

Vyema kumruhusu binti wa kazi kurudi nyumbani kwao kila mwezi wa Ramadhani ikiwa unakerekwa na yeye kufunga akiwa hapo nyumbani kwako, wengine mnawalazimisha waende kanisani na kudiriki kwenye maombezi ya kukemewa, na ibada mbalimbali za Kikristo hapo nyumbani mkijua kabisa huyu ni binti wa Kiisilamu.

Imani hailazimishwi bali inatengenezwa kwa namna wewe utavyomtendea na kumpa uhuru na kuamini kile anacho kiamini, na kumfanyia wema katika mahitaji yake ya ibada ikiwemo kumnunulia nguo ya sikukuu kama unavyofanya kwa watoto wako wakati wa pasaka, kisha kazi kwako itakuwa kumshawishi kwa hoja za ki-maandiko ili aikubali imani yako nasio vinginevyo.


View attachment 2181318
 
Fikiria kutokula au kunywa wakati wa mchana kwa siku 30 mfululizo moja kwa moja sio jambo jepesi. "Mtazamo wa mwezi huu kimsingi sio kujizuia au kufunga, bali ni mkusanyiko wa nguvu na akili ya Muislamu juu ya utambuzi wa Mwenyezi Mungu na maisha ya ibada ya uchamungu."

Haipendezi bint wako wa kazi unamkataza kufunga kwakuwa familia yako hapo ni ya kikristo, unamkataza kujistiri na kuvaa ushungi kwasababu hupendezwi na mavazi hayo, hata sehemu ya kuswalia unamkataza asifanye ibada katika nyumba yako.

Vyema kumruhusu binti wa kazi kurudi nyumbani kwao kila mwezi wa Ramadhani ikiwa unakerekwa na yeye kufunga akiwa hapo nyumbani kwako, wengine mnawalazimisha waende kanisani na kudiriki kwenye maombezi ya kukemewa, na ibada mbalimbali za Kikristo hapo nyumbani mkijua kabisa huyu ni binti wa Kiisilamu.

Imani hailazimishwi bali inatengenezwa kwa namna wewe utavyomtendea na kumpa uhuru na kuamini kile anacho kiamini, na kumfanyia wema katika mahitaji yake ya ibada ikiwemo kumnunulia nguo ya sikukuu kama unavyofanya kwa watoto wako wakati wa pasaka, kisha kazi kwako itakuwa kumshawishi kwa hoja za ki-maandiko ili aikubali imani yako nasio vinginevyo.


View attachment 2181318
Ungesemea pande zote,binti wa kazi wa kikristo anaweza kula kitimoto kwa boss wake muisilamu?? Je binti wa kazi wa kikristo anaweza kula kipindi boss wake muisilamu kafunga Ramadan??
 
Maisha magumu haya binti wa kazi anataka apewe bajeti ya 30K kwa ajili ya futari na daku kwa siku,wakati wa kufuturu anataka mazagazaga kama yupo Muscat,mara tende,harua na vyakula laini laini.

Waajiri wachache wa kikristu ndio wanaweza kuwapa futari ya uhakika kwa mabinti wao wa kazi.

Wengi wetu bora liende sio kwa ubaya ila mifuko iko mitupu.
Umekariri mzee, watu wanafutari wali, ugali, mihogo, na hata kande, alokwambia kufutari unatakiw uwe na bajet ya elf 30 huyo haelewi anachokifanya.
Na wengine wanafanya kwa kujifurahisha ikishakua uwezo anao na ameamua mwenyew sio mbaya, lkn kufuturu sio lazima ayo mambo.
#Elimundokilakitu.
 
Back
Top Bottom