Daah!! Njaa,Kujipendekeza kubaya sana...... Nawashauri Vijana wenzangu mkianzisha familia na kupata watoto.... Himizeni watoto wenu wafanye kazi KWa bidii na pia waaminisheni kuwa kazi ndio njia sahihi ya kupata kipato bila fedheha.....

SAsa hebu ona kama huyo mzee..... Badala atafutie watoto wake ugali.. eti ana pambana na bashilu.... Hata bashiru mwenyewe hamjui.... Hajui sababu ya KWa nini kasema hivyo BASI tu.. eti anataka aonwe na ma......ma.... Tabu sana.....
 
Msoma lisala anasemazamani walikuwa wanapata mbolea kwa laki na nusu sasa wanapata kwa sabini huyo anaye mwambia ajiulize hivi zamani zipi? Rais alikuwa nani? Si huyo huyo? Akili za kuambiwa changanya na zako
Walamba Asali wameandaa script ya chapchap yaaan wanapagawa na wamepagarika.
 
Hahahahaha huyo msoma risala anasema zamani sijui zamani gani? Hahahaha sasa sijui hajui kuwa Samia ndio alipandisha bei ya mbolea? Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]

Msoma risala lazima alisoma na Nape hahaha
Ila unaongea kwakua umepewa kusoma
 
Njaaa Mkuu..njaaaa mbaya
 
Naaam ninasonga mbere kwa mbere mkuu, asante🤣🤣
 
Msoma lisala anasemazamani walikuwa wanapata mbolea kwa laki na nusu sasa wanapata kwa sabini huyo anaye mwambia ajiulize hivi zamani zipi? Rais alikuwa nani? Si huyo huyo? Akili za kuambiwa changanya na zako
Hawa watu wa ovyo sana. Sikiwahi kumkubali Magufuli lakini wakati wake mbolea ilikua 45000 mpaka 60000 tena hapo muda wowote ukiitaka unapata sio hii ya ruzuku sijui mpaka ujiandilishe.
Hiyo ya laki na ilikua wakati wa utawala huu.

Sent
 

Huyo jamaa anaeongea anasoma kwenye karatasi anaonekana ana maisha magumu sana [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Haya mambo ni kawaida kwa CCM. Umesahau enzi za JPM yule mzee na jogoo lake, Umesahau yule rasta kwenye vijiwe vya kahawa, nk.
Yani mfumo ni ule ule sema waliokuwa wanalamba asali awamu ya tano ni tofauti na walamba asali wa awamu hii ya 6.
Overhaul ya mfumo wa utawala ndio suluhisho la hizi sinema za CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…