TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 690
- 1,060
Dr Bashiru oyeeeeeeeeeeeeeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibaka wamekusanywa kwenye mabanda ya pool table wakapewa bahasha za kaki na mabango.Hao ndo wakulima?
CCM ni ileile hakuna cha bashiru wala nini hapo ni propaganda imetengenezwa na ccm ili watutoe kwenye mjadala wa maji,umeme na gharama za maisha, fisi hajawahi aminika hata akiwa kibogoyo katikati ya mbuziSonga Mbele #Bashiru!
Bado kidogo tu na kitaeleweka!
Bashiru mmoja!
Anaitingisha CCM namna hiyo!
Hapo bado wapinzani wa nje ya CCM kina #Lissu na wengineo woote!
Jiwe la gizani limefanya kazi yake!
Limewapata wahusika na sasa tunaona Mayowe tupu!
Unatumia takwimu au sababu unapenda upinzaniWazarendo wa kweri tunamuunga mkono Bashiru, nyie endelezeni tu sanaa na hadaa zenu.
ila wengi vilaza tuMama ana watu, wengi sana
Kwani takwimu si zinapikwa tu mjomba au huelewi?Unatumia takwimu au sababu unapenda upinzani
Siyo kweli ni ulongo umeandika.Pongezi ni halali yake. Mbolea kwenye world market bei haikamatiki. Bei ya Leo UREA $980 per ton DAP $1012 per ton nani naweza ku afford io bei Kwa mkulima wa kawaida. So kwenye kilimo mpen pongezi, ni halali yake.
Mwaka huu wakulima tumeuza mazao yetu kwa bei ya juu na kupewa pesa taslimu papo hapo hakuna mkopo kama tulivyozoea kabla hajawa Rais.
Rais Samia Suluhu leo yuko ziarani mkoani Manyara na wakulima wilayani Babati mkoani Manyara wameandamana kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea.
Rais Samia Suluhu ameweza upande wa kilimoNdioooooo
Tatizo mmeshazoea mkulima mpaka awe hana nuru kwa mwonekano Rais Samia Suluhu amewasaidia wakulima kuwapunguzia gharama za kilimo mkulima wa sasa ni tajiri sio kama wale wa zamaniView attachment 2424194
Hivi kweli hapa kuna wakulima ?.
Safi sana eti kwa juhudi hizi za Rais Samia Suluhu kufanikisha kupungua kwa gharama za kilimo utaacha kusema mama anaupiga mwingiMwaka huu wakulima tumeuza mazao yetu kwa bei ya juu na kupewa pesa taslimu papo hapo hakuna mkopo kama tulivyozoea kabla hajawa Rais.
La msingi tunajua kupiga alama ya vema siku ya uchaguziila wengi vilaza tu
Kwa Nini wasimpongeze? Subilieni kunyolewa 2025
Rais Samia Suluhu leo yuko ziarani mkoani Manyara na wakulima wilayani Babati mkoani Manyara wameandamana kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea.
Wakijiandaa kumpokea Rais ambaye anaanza ziara mkoani humo leo wamesema walikuwa wakinunua mbolea kwa TZS 150,000 lakini sasa wananunua kwa TZS 70,000 tu.
Sababu kubwa iliyopelekea wananchi wampongeze ni kuongeza bajeti ya Kilimo (2021/22 mpaka 2022/23) kutoka 250b hadi 950b,bajeti ya ugani kutoka 603m hadi 15b, uzalishaji mbegu kutoka 10.53 hadi 43.03b, umwagiliaji kutoka 46.5 -lhadi361.5b
Ninaona wakulima wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia Suluhu maana amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo, sasa mbolea wananunua kwa nusu bei, mama amefanikisha masoko ya mazao ya uhakika pia wakulima wanauza mazao kwa bei nzuri ukilinganisha na awali
pia Waziri wa kilimo, Mhe. Hussein Bashe anasema matatizo ya kilimo yamekua yakitatuliwa kwa matukio lakini Serikali ya awamu ya sita imeamua kutatua matatizo ya msingi kwa kuwekeza kwa muda mrefu ikiwemo uwekezaji wa mbegu na miradi ya umwagiliaji na ameongeza kua hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa serikali imetunza chakula cha kutosha
Lengo la serikali ya Rais Samia Suluhu ni kuboresha sekta ya kilimo na maslahi ya wakulima, Sekta ya kilimo imeimarika chini ya Rais Samia Suluhu
hahhaha jamani wakulima wa sasa sio wale tuliowazoea wa njaa njaa hawa wakulima wanauza mazao yao kwa bei ya juu ni halili yao kumpongeza Rais Samia SuluhuYes hao ni wakulima!, Utii ni pamoja na kuamini kila unachoambiwa!, hata kama macho yako yanaona zaidi, usiwe doubtful kama Tomaso, ukiambiwa hawa ni wakulima, amini ni wakulima!.
P
Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.
DKT BASHIRU, SONGA MBELE
Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.
Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.
Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.
2025 Rais Samia Suluhu ataoita uchaguzi kwa kishindoKwa Nini wasimpongeze? Subilieni kunyolewa 2025
Kuna nchi gani hapa africa isiyoagiza vitu nje acheni kupinga kila kitu Rais Samia Suluhu kajitahidi sana kuwekeza katika kilimoKwamba hata mbolea mpaka tuagize ?
Na Pesa ya kununua hio Mbolea mpaka tuombe !!!, Kwa mtaji huu Matonya angekuwa Rais wetu angetufaa sababu inaonyesha qualification za hawa watawala ni kuombaomba na kutegemea vya kuagiza...
Umepigwa wapi mzee afu kumbuka hawa walikua wanampokea RaisMbona sisi Chadema tunapigwa na Polisi?