Wakulima Manyara wamuunga mkono Rais Samia
Kaunda suit tumeiona.
Sasa mkulima havai kaunda suti ila wewe bado una unamawazo ya kizamani kwamba mkulima awe hovyohovyo lakini huu ni utawala wa Rais Samia Suluhu wakulima ndio matajiri sasa
 
Kmmk hii nchi vichekesho haviishi yaani hii yote ni kumjibu bashiru Ili wamlizishe madam president
,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣
kwa bajeti hii ya kilimo wakulima wana kila haki ya kumshukulima mama maana gharama za kilimo zimepungua hii haihusiani na Bashiru maana sisi watanzaia wazalendo hatuyumbishwi
 

Rais Samia Suluhu leo yuko ziarani mkoani Manyara na wakulima wilayani Babati mkoani Manyara wameandamana kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea.

Wakijiandaa kumpokea Rais ambaye anaanza ziara mkoani humo leo wamesema walikuwa wakinunua mbolea kwa TZS 150,000 lakini sasa wananunua kwa TZS 70,000 tu.

Sababu kubwa iliyopelekea wananchi wampongeze ni kuongeza bajeti ya Kilimo (2021/22 mpaka 2022/23) kutoka 250b hadi 950b,bajeti ya ugani kutoka 603m hadi 15b, uzalishaji mbegu kutoka 10.53 hadi 43.03b, umwagiliaji kutoka 46.5 -lhadi361.5b

Ninaona wakulima wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia Suluhu maana amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo, sasa mbolea wananunua kwa nusu bei, mama amefanikisha masoko ya mazao ya uhakika pia wakulima wanauza mazao kwa bei nzuri ukilinganisha na awali

pia Waziri wa kilimo, Mhe. Hussein Bashe anasema matatizo ya kilimo yamekua yakitatuliwa kwa matukio lakini Serikali ya awamu ya sita imeamua kutatua matatizo ya msingi kwa kuwekeza kwa muda mrefu ikiwemo uwekezaji wa mbegu na miradi ya umwagiliaji na ameongeza kua hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa serikali imetunza chakula cha kutosha

Lengo la serikali ya Rais Samia Suluhu ni kuboresha sekta ya kilimo na maslahi ya wakulima, Sekta ya kilimo imeimarika chini ya Rais Samia Suluhu
Hivi nyie machawa nani kawaroga
 
Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.

DKT BASHIRU, SONGA MBELE

Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.

Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.

Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.


😂😂😂

Maskini mama samiya, kusema kweli mimi namsikitikia sana
 
Ahsante rais mtarajiwa Ali bashiru kakulwa kwa kutusemea sisi wakukima.Endelea kutoa nondo ili chief hangaya ajirekebishe na mambo ya hovyo anayoyafanya
 
Haki ya nani hiki chama kimenishinda tabia.. Kwahiyo yote haya ni kumjibu Kakurwa?[emoji23]


Benki ya Dunia (WB) imeipatia Tanzania mikopo nafuu ya TZS trilioni 1.24 kwa ajili ya miradi miwili, mmoja wa kusambaza umeme vijiji (REA) na mwingine wa kukabiliana na mafuriko katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam.
🤣 Watu wanaishi Kwa akili ya Mwaka 1900

Akili ileile, ilotumika uchaguzii wa 2015 wakati wa Lowasa

Steve Nyerere, Anaitwa Studio,anarekodi Hotuba Kwa kuiga sauti ya Nyerere, alafu wanairusha kwenye Vyombo vya habari Maredioni

Et, 'Sikiaa Hotuba ya Baba wa TAIFA"🤣🤣🤣

Unakuta Hotuba nzima, baba wa TAIFA anamchamba Mzee Lowassa !!🤣🤣
 
Wakulima lazima tumtie moyo Rais wetu
Bei ya mbolea kwenye soko la Dunia ni kubwa kiasi kwqnba bila ruzuku wakulima wasingeweza kulama mfano DAP $1019 per ton na ikiwa CIF Dar es sa $1215 equivalent to 140 nani mkulima.angeweza

Muwe mnampa HEKO mtu akifanya vyema
Mbolea imepanda Kwa Samia, na yeye ndo katoa Ruzuku.

Hata Ivo, mwaka 2015-2020, mbolea tulinunua 45 elfu.
 
Back
Top Bottom