Nani ameokotwa hapo wote hao watu wazima ingekua ni watoto ungesema ivyo then Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi sekta ya kilimoUkiwaangalia tu unaona wameokotezwa......!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani ameokotwa hapo wote hao watu wazima ingekua ni watoto ungesema ivyo then Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi sekta ya kilimoUkiwaangalia tu unaona wameokotezwa......!
Sasa mkulima havai kaunda suti ila wewe bado una unamawazo ya kizamani kwamba mkulima awe hovyohovyo lakini huu ni utawala wa Rais Samia Suluhu wakulima ndio matajiri sasaKaunda suit tumeiona.
kwa bajeti hii ya kilimo wakulima wana kila haki ya kumshukulima mama maana gharama za kilimo zimepungua hii haihusiani na Bashiru maana sisi watanzaia wazalendo hatuyumbishwiKmmk hii nchi vichekesho haviishi yaani hii yote ni kumjibu bashiru Ili wamlizishe madam president
,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣
Hivi nyie machawa nani kawaroga
Rais Samia Suluhu leo yuko ziarani mkoani Manyara na wakulima wilayani Babati mkoani Manyara wameandamana kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea.
Wakijiandaa kumpokea Rais ambaye anaanza ziara mkoani humo leo wamesema walikuwa wakinunua mbolea kwa TZS 150,000 lakini sasa wananunua kwa TZS 70,000 tu.
Sababu kubwa iliyopelekea wananchi wampongeze ni kuongeza bajeti ya Kilimo (2021/22 mpaka 2022/23) kutoka 250b hadi 950b,bajeti ya ugani kutoka 603m hadi 15b, uzalishaji mbegu kutoka 10.53 hadi 43.03b, umwagiliaji kutoka 46.5 -lhadi361.5b
Ninaona wakulima wana kila sababu ya kumpongeza Rais Samia Suluhu maana amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo, sasa mbolea wananunua kwa nusu bei, mama amefanikisha masoko ya mazao ya uhakika pia wakulima wanauza mazao kwa bei nzuri ukilinganisha na awali
pia Waziri wa kilimo, Mhe. Hussein Bashe anasema matatizo ya kilimo yamekua yakitatuliwa kwa matukio lakini Serikali ya awamu ya sita imeamua kutatua matatizo ya msingi kwa kuwekeza kwa muda mrefu ikiwemo uwekezaji wa mbegu na miradi ya umwagiliaji na ameongeza kua hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa serikali imetunza chakula cha kutosha
Lengo la serikali ya Rais Samia Suluhu ni kuboresha sekta ya kilimo na maslahi ya wakulima, Sekta ya kilimo imeimarika chini ya Rais Samia Suluhu
Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.
DKT BASHIRU, SONGA MBELE
Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.
Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.
Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.
BASHIRU FOR PRESIDENT 2025.Tuendelee kumtia Nguvu Huyu Kiongozi wetu.
Kwahiyo hatujapigwa unataka kubisha?Umepigwa wapi mzee afu kumbuka hawa walikua wanampokea Rais
Swali ni Chama kipi ?.Vyama vya upinzani taarifa iwafikie kuwa Maandamano yanaruhusiwa.
KAZI kwenu.
🤣 Watu wanaishi Kwa akili ya Mwaka 1900Haki ya nani hiki chama kimenishinda tabia.. Kwahiyo yote haya ni kumjibu Kakurwa?[emoji23]
Benki ya Dunia (WB) imeipatia Tanzania mikopo nafuu ya TZS trilioni 1.24 kwa ajili ya miradi miwili, mmoja wa kusambaza umeme vijiji (REA) na mwingine wa kukabiliana na mafuriko katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam.
Mbolea imepanda Kwa Samia, na yeye ndo katoa Ruzuku.Wakulima lazima tumtie moyo Rais wetu
Bei ya mbolea kwenye soko la Dunia ni kubwa kiasi kwqnba bila ruzuku wakulima wasingeweza kulama mfano DAP $1019 per ton na ikiwa CIF Dar es sa $1215 equivalent to 140 nani mkulima.angeweza
Muwe mnampa HEKO mtu akifanya vyema
Wananchi sisi ndo tunaowachekeaKazi ipo.tuko kama mazombie.
Kwa hakika MkuuWazarendo wa kweri tunamuunga mkono Bashiru, nyie endelezeni tu sanaa na hadaa zenu.