Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally hana jema kwa Taifa letu

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally hana jema kwa Taifa letu

Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Kasema ukweli mtupu wewe Juma Juma ndio wa kupuuza wakulima wanataabika lakini unajifanya msemaji wao wakati hujui wanapitia madhila gani kwa sasa bila kusikilizwa na kuwezeshwa
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Ucha Ujuha wako wewe. Wakulima tumepata shida sana ya mbolea kwa ajili ya Mahindi na Viazi mkoni Njombe halafu unaleta ngongera zako hapo. Tunanunua mbole kwa foleni kama Manamba
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952

Duh, Dr. Bsshiru ndio anamsema Mh. Rais moja kwa moja hivi.. Kweli hana shukrani, yaani pamoja na kupewa ubunge wa bure, aisee mimi ningefukuza mbali kabisa, huyo ni sumu kwa serikali ya Mama Samia.

Kama ulivyosema hapo juu, Dr Bashiru mnafiki na muongo sana, wakati akiwa Katibu Mkuu CCM na akiwa Katibu Mkuu Kiongozi, Tz nilipitia mateso mabaya sana, watu kuuawa, kuteswa, watu kunyang'anywa fedha zao, hofu kuu ilitawama watu Tz, sukuma gang iliharibu nchi, na wakulima walikuwa na hali mbaya na kila mmoja hata wananchi hali mbaya ilikuwa, na yeye alikuwa kazi kusifia sifia tu, leo anaongea upuuzi mtupu.
 
Bashiru kaongea kweli ila tatizo ni moja tu, kwanini awamu ya 5 nae alikuwa anasifu hadi anakufuru.

Hii nchi unafiki ni mwingi Sana.

Watu wanamshambulia Bashiru sio kwa sababu ya alichosema ila ni kwa sababu ya unafiki wake! Awamu ya 5 alikuwa analamba viatu hadi mtu unashangaa kama huyu ndo Mwl Bashiru ama mtu tofauti.

Ujinga mtupu.

Alafu mtu anatokea huko anasema watu fulani msiwachague kwa sababu watalipiza kisasi, sasa watu kama kina Bashiru unawaachaje ukichaguliwa?
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952

Shida ya watu wa mjini mnajua mambo mengi ya kwenye makaratasi

Hamjui site kuna nn na mtu akisema mnakuja na maandiko kibao

Hao wakulima si ndio kila siku wanapiga kelele?

Nenda mtwara kwenye korosho ukajionee nenda kaulize mbolea na dawa za wadudu zimeenda wakati korosho zipo hatua gani?
 
Bashiru pamoja na mapungufu yake kwenye hili kaongea ukweli Wakulima tuungane tuwaondoe watawala huyu ndo the OG karudi kwenye line kwa kasi ya 5G
Mimi mkulima wa pamba misimu wa mwaka huu 2022 nimeuza kilo moja ya pamba Shilingi 2,000/= kwa kilo tena cash wakati bei iliyopangwa ilikuwa Shilingi 1560/= kwa kilo tofauti na miaka ya nyuma bei ilikuwa inapangwa lakini ukifika wakati wa mauzo unaambiwa kilo Shilingi 500 na pamba inachukuliwa kwa mkopo. Wakulima tumenufaika kipindi cha urais wa Mama yetu Samia Suluhu Hassan. Mwenyezi Mungu ambariki Rais wetu.
 
Litakuwa wapi hilo shamba zaidi ya pale zilipo ofisi zao za Lumumba!
Bora ata angekua lumumba angekuja na hoja tu ila ni fala flani tu shabiki apo Dr bashiru so alkua anaelezea role za chama sasa Kuna baya Gani kama sio mkurupukaji tu
 
Bashiru kaongea ukweli mtupu. Safi Sana kiongozi. Kwenye ukweli lazima niponheze hata kama sio wa chama changu.
ni bashiru huyuhuyu alkuwa kiongozi mkubwa tu kwenye awamu iliyopita,historia hanionyeshi chochote kizuri alichokifanya bashiru kwa wakulima hawa,. hakuwatetea kabisa kuhusu biashara ya mazao yao, hata tu kuwatafutia soko la ndizi nje ya nchi hakuwahi. ninavyohisi anaongea kwa hila na chuki lakini hana wakulima moyoni mwake.
 
Hata hiyo mbolea ya ruzuku wanayoisema ipo mjini badala ya vijijini walipo wakulima
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Wewe ni Empty Skull Minded Person!
Ndani ya CCM hii,watu kama wewe ndio wanakula mema ya Asali.
JamiiForums896815200.jpg
JamiiForums-1072075634.jpg
 
Back
Top Bottom