Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally hana jema kwa Taifa letu

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally hana jema kwa Taifa letu

Wapo binadamu vichwani kumejaa upepo. Wakati wanamsifia mungu wao hilo hakuliona?
Hizi praise and worship huzisikii hata kwa majirani zetu Kenya, Bashiru hana tofauti na CCM wote wakiwa madarakani wanajisahau Sana.
 
WENGI HAWAFURAHISHWI NA MAFANIKIO YA RAIS WETU, WENGI WALITARAJI HATA WEZA, AU ATASHINDWA, KUMBE KINACHOENDELEA SICHO, KILA MRADI UNAKWENDA VIZURI SANA NA TUNAONA WAZIWAZI.
#WATANZANIA WA LEO HAWADANGANYIKI AU HAKUNA MPUUZI ATAWEZA KUWADANGANYA, "WALIPOTOKA" WANAPAJUA NA "WANAPOELEKEA" WANAPAJUA.
Kama una V8,huwezi kujua matatizo ya wananchi, maji na umeme vinashindikana ilhali ndiyo engine ya maendeleo.Waziri anakopa kila siku,bila mradi mkakati wa kuliendeleza taifa.

Siwalaumu walioteuliwa pengine kusifu na kuabudu ni sehemu ya Job description zao.
 
Kuna mtu alishauri kutrack movement ya chakula kutoka Mkoa Mmoja Kwenda mwingine na kile kinachokwenda Nje ya Nchi na kile kilichopo kwenye ghala la Taifa. Lengo likiwa ni kujua ni eneo gani Kuna upungufu wa chakula na kujua ni wakati gani udhibiti wa chakula Kwenda Nje ufanyike kwa ajili ya kudhibiti upungufu wa chakula nchini.

Sijui wamempeleka wapi!
Nani huyo?
 
Mchele 3500/kg, maharage 3500/kg, sembe 2000/kg, mkate 3800., halafu kuna watu wanashupaza shingo eti mama anaupiga mwingi. Anaupiga mwingi kwenda wapi?
Kama hurembelei "Vieite" huwezi kuelewa, cha ajabu ni vijana wa hovyo wanaosifia upuuzi
 
BASHIRU kinachomsumbua ni Njaa tuu,angekuwa ni katib Mkuu wa chama asingethubutu kuyaongea hayo,Njaa
 
BASHIRU kinachomsumbua ni Njaa tuu,angekuwa ni katib Mkuu wa chama asingethubutu kuyaongea hayo,Njaa
Huu ni ukweli, lakini kwanini wanapokuwa madarakani wanajisahau? Wakitoka Kama Bashiru na polepole akili zinawarudi. Unakumbuka point za Nape baada ya kutenguliwa? Lakini wakipewa uwaziri wanatufokea wananchi.
 
Mleta mada ndio walewale wa kusifu na kuabudu

Hapana,wa kusifu na kuabudu ni BASHIRU,sasa alikosea wa kumuabudu,anaepaswa kuabudiwa ni Mungu pekee,na ndie wa milele...

Aliekawa anamuabudu na kumsifia hayupo Tena dunian,that's why anachukia sana anapoona Samia akisifiwa anahisi kama anaabudiwa kama alivyokawa anaabudu yeye zama zake
 
wa
Bashiru amekukata kichwa? Mbona unatapatapa hivyo?
wakulima walipo porwa korosho zao huko kusini mwa Tanzania tena kwa kutumia jeshi DR. Bashiru alikuwa wapi? alisemaje?
Tuache nongwa
 
CHAMA TAWALA UNAJUA MAANA YAKE!!??!! SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI INATEKELEZA ILANI YA CHAMA TAWALA. KATIBU MKUU WA CHAMA TAWALA ANAO UWEZO WA KUTOA MAELEKEZO KWA YEYOTE NDANI YA DOLA ANAPOOONA MAHALI KUNA PWAYA. BASHIRU IS CHASING A GHOST, ARUDI KWENYE CHAKI AACHANE NA POLITIKI HANA UWEZO. NDUGU YANGU SUALA KUTAFUTA SOKO KWA AJILI YA WAKULIMA WETU SILA WAZIRI AU RAIS, NI LETU WOTE KWA SABABU NCHI HII NI YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI THEN UNAPOKUWA KIONGOZI KUFUKIA NAFASI ALIZOKUWA NAZO BASHIRU, NDIZI ZA MULEBA,KASHOZI, KARAGWE ZINGEKUWA ZINAUZWA DUBAI,UK,USA KWA WINGI. WHAT DID HE DO!!?!!. KUWA MACHO NA WANASIASA LAGHAI TYPE HII
Tofautisha chama na Serikali inga chama ndicho kinachounda Serikali,Katibu wa chama hawezi kwenda kwenye wizara ya kilimo na kuanza kuwapangia kazi,juzi hapa Wakati wa Magufuli mlianza kulala kuwa wanasiasa wanaingilia watendaji,kisa chama kilianza kuwaoji watendaji wa wizara,Katibu wa chama anakuwa na nguvu Wakati wa chaguzi na kwenye vikao vya chama tu.Hawezi kwenda wizarani kumfukuza kazi Katibu wa wizara au kumpa mpango kazi, Sanasana anakutana na Waziri ambaye ndiye mwanasiasa na mtiifu kwa chama.
 
Tofautisha chama na Serikali inga chama ndicho kinachounda Serikali,Katibu wa chama hawezi kwenda kwenye wizara ya kilimo na kuanza kuwapangia kazi,juzi hapa Wakati wa Magufuli mlianza kulala kuwa wanasiasa wanaingilia watendaji,kisa chama kilianza kuwaoji watendaji wa wizara,Katibu wa chama anakuwa na nguvu Wakati wa chaguzi na kwenye vikao vya chama tu.Hawezi kwenda wizarani kumfukuza kazi Katibu wa wizara au kumpa mpango kazi, Sanasana anakutana na Waziri ambaye ndiye mwanasiasa na mtiifu kwa chama.
tatizo ndio liko hapo, yaani katibu mkuuwa chama tawala akalie tu politiki badala ya kuisimamia serikali. kwenye nafasi yake angeweza kwenda UAE, CHINA, MALI, MISRI akatafuta soko kwa ajili ya mazao ya mkulima wa nchii,halafu akaja kuipa serikali na wananchi wafanye ili kusecure soko alilolipata, hakuna kitu hapo ni mwanasiasa laghai tu kama walivyo wengine
 
Hii dhambi ni mbaya Sana, it is not about what he didn't do, it's more about what can be done.
atumie staili nyingine badala ya kuwachonganisha wakulima na serikali, eti kwamba waitishe serikali!!!, imewakosea nini wakulima hawa!!??!!, wako free kuuza mazao yao popote duniani wanakopata soko, ruzuku kwenye mbolea ipo, mabwawa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji yanajengwa!!! sioni ni wapi serikali imewakosea wakulima. ingekuwa kaongelea wafanyakazi wa nchi hii hasa waliopo kwenye sekta ya uma hapo kwa mbaaali ningemuelewa, lakini wakulima NO!!!.
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Hatumpuuzi ng'o.

Wewe ndo wa kupuuzwa.
 
WENGI HAWAFURAHISHWI NA MAFANIKIO YA RAIS WETU, WENGI WALITARAJI HATA WEZA, AU ATASHINDWA, KUMBE KINACHOENDELEA SICHO, KILA MRADI UNAKWENDA VIZURI SANA NA TUNAONA WAZIWAZI.
#WATANZANIA WA LEO HAWADANGANYIKI AU HAKUNA MPUUZI ATAWEZA KUWADANGANYA, "WALIPOTOKA" WANAPAJUA NA "WANAPOELEKEA" WANAPAJUA.
Yaani MITA ya LUKU Ina Salio la kutosha na umeme Amna.

Anaupiga mwingi'' kivp, Bashiru ongea tena na tena.
 
naamini mnafuatilia ziara ya rais mkoani manyara, na mmeisikia hotuba aliyoitoa waziri wa kilimo mh. BASHE, ubishi uishe sasa kila kitu kimefafanuliwa vizuri kuhusu wakulima wa nchi hii .
 
Mchele 3500/kg, maharage 3500/kg, sembe 2000/kg, mkate 3800., halafu kuna watu wanashupaza shingo eti mama anaupiga mwingi. Anaupiga mwingi kwenda wapi?
inawezekana wewe unafanya manunuzi yako kwenye mi VIP super market, kwa nini ununue mkate wa 3800/-???!!!??
 
Back
Top Bottom