Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally hana jema kwa Taifa letu

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally hana jema kwa Taifa letu

Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Ni mtu kichaa tu au ambaye net weck haifanyi kazi utamwabia mbolea ilikuwa bei juuu atakuli
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Huna hoja hapa,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni bashiru huyuhuyu alkuwa kiongozi mkubwa tu kwenye awamu iliyopita,historia hanionyeshi chochote kizuri alichokifanya bashiru kwa wakulima hawa,. hakuwatetea kabisa kuhusu biashara ya mazao yao, hata tu kuwatafutia soko la ndizi nje ya nchi hakuwahi. ninavyohisi anaongea kwa hila na chuki lakini hana wakulima moyoni mwake.
Sasa Bashiru kuwatafutia soko wakulima yeye amewahi kuwa Waziri wa kilimo au Viwanda na masoko au Waziri wa Biashara?Yeye alikuwa kwenye chama kujenga chama na kusimamia majukumu ya chama na wanachama wa chama chake.Acheni kumtwisha Bashiru mizigo ambayo haikuwa ya kwake.
 
Sasa Bashiru kuwatafutia soko wakulima yeye amewahi kuwa Waziri wa kilimo au Viwanda na masoko au Waziri wa Biashara?Yeye alikuwa kwenye chama kujenga chama na kusimamia majukumu ya chama na wanachama wa chama chake.Acheni kumtwisha Bashiru mizigo ambayo haikuwa ya kwake.
CHAMA TAWALA UNAJUA MAANA YAKE!!??!! SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI INATEKELEZA ILANI YA CHAMA TAWALA. KATIBU MKUU WA CHAMA TAWALA ANAO UWEZO WA KUTOA MAELEKEZO KWA YEYOTE NDANI YA DOLA ANAPOOONA MAHALI KUNA PWAYA. BASHIRU IS CHASING A GHOST, ARUDI KWENYE CHAKI AACHANE NA POLITIKI HANA UWEZO. NDUGU YANGU SUALA KUTAFUTA SOKO KWA AJILI YA WAKULIMA WETU SILA WAZIRI AU RAIS, NI LETU WOTE KWA SABABU NCHI HII NI YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI THEN UNAPOKUWA KIONGOZI KUFUKIA NAFASI ALIZOKUWA NAZO BASHIRU, NDIZI ZA MULEBA,KASHOZI, KARAGWE ZINGEKUWA ZINAUZWA DUBAI,UK,USA KWA WINGI. WHAT DID HE DO!!?!!. KUWA MACHO NA WANASIASA LAGHAI TYPE HII
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
UCHAWA TU HUNA LOLOTE
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Namuunga mkono Bashiru Ally Katibu Mkuu wa Zamani
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Wakulima wapi? Acha ujinga
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Mchele 3500/kg, maharage 3500/kg, sembe 2000/kg, mkate 3800., halafu kuna watu wanashupaza shingo eti mama anaupiga mwingi. Anaupiga mwingi kwenda wapi?
 
Mchele 3500/kg, maharage 3500/kg, sembe 2000/kg, mkate 3800., halafu kuna watu wanashupaza shingo eti mama anaupiga mwingi. Anaupiga mwingi kwenda wapi?
Kuna mtu alishauri kutrack movement ya chakula kutoka Mkoa Mmoja Kwenda mwingine na kile kinachokwenda Nje ya Nchi na kile kilichopo kwenye ghala la Taifa. Lengo likiwa ni kujua ni eneo gani Kuna upungufu wa chakula na kujua ni wakati gani udhibiti wa chakula Kwenda Nje ufanyike kwa ajili ya kudhibiti upungufu wa chakula nchini.

Sijui wamempeleka wapi!
 
Amepiga kwenye mshono.

Ni Kweli ni saa mbovu, bt Leo imesema Kweli.

HOJA ya Kujadili IPO,

Nchi inafilisiwa na waizi wanaomba mapambio Eti anaupiga mwingi'' Hadi unamwagikia!!
WENGI HAWAFURAHISHWI NA MAFANIKIO YA RAIS WETU, WENGI WALITARAJI HATA WEZA, AU ATASHINDWA, KUMBE KINACHOENDELEA SICHO, KILA MRADI UNAKWENDA VIZURI SANA NA TUNAONA WAZIWAZI.
#WATANZANIA WA LEO HAWADANGANYIKI AU HAKUNA MPUUZI ATAWEZA KUWADANGANYA, "WALIPOTOKA" WANAPAJUA NA "WANAPOELEKEA" WANAPAJUA.
 
CHAMA TAWALA UNAJUA MAANA YAKE!!??!! SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI INATEKELEZA ILANI YA CHAMA TAWALA. KATIBU MKUU WA CHAMA TAWALA ANAO UWEZO WA KUTOA MAELEKEZO KWA YEYOTE NDANI YA DOLA ANAPOOONA MAHALI KUNA PWAYA. BASHIRU IS CHASING A GHOST, ARUDI KWENYE CHAKI AACHANE NA POLITIKI HANA UWEZO. NDUGU YANGU SUALA KUTAFUTA SOKO KWA AJILI YA WAKULIMA WETU SILA WAZIRI AU RAIS, NI LETU WOTE KWA SABABU NCHI HII NI YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI THEN UNAPOKUWA KIONGOZI KUFUKIA NAFASI ALIZOKUWA NAZO BASHIRU, NDIZI ZA MULEBA,KASHOZI, KARAGWE ZINGEKUWA ZINAUZWA DUBAI,UK,USA KWA WINGI. WHAT DID HE DO!!?!!. KUWA MACHO NA WANASIASA LAGHAI TYPE HII
Hii dhambi ni mbaya Sana, it is not about what he didn't do, it's more about what can be done.
 
Back
Top Bottom