Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally hana jema kwa Taifa letu

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally hana jema kwa Taifa letu

Bashiru Apuuzwe au Maneno yake au vyote ?

Sababu kuna Tofauti katika hayo matatu..., Binafsi naona sio vema kumfuata mtu kama mtu (fuata akili / fikra zako) ila maneno yoyote yabebe kwa uzito wake, sababu hata Saa Mbovu huwa Sahihi mara mbili kwa Siku
 
fuatilia hotuba ya BASHE waziri wa kilimo aliyoitoa leo, wakati Rais akiwa ziarani manyara
Binadamu hawezi kuishi kwa Hotuba Pekee, Bali Mkate wa Kila siku, Ambao umekuwa Gharama isivyo kawaida...

Tunahitaji Big Results Now na Sio Ngojera...
 
Ni mpuuzi tu Kama ataona aliyoongea Bashiri yana maana!!, Alikuwa wapi kipindi wabunge na wanaccm wenzake wanamuita, kumfananisha magufuli na Mungu?. Mbona kipindi Cha magufuli hakupinga kusifia huko?, Huyu ni takataka Kama takataka zingine. Muda wake umeisha mshenzi na mnafiki huyu!!
 
Teh
JamiiForums361211417.jpg
 
Duh, Dr. Bsshiru ndio anamsema Mh. Rais moja kwa moja hivi.. Kweli hana shukrani, yaani pamoja na kupewa ubunge wa bure, aisee mimi ningefukuza mbali kabisa, huyo ni sumu kwa serikali ya Mama Samia.

Kama ulivyosema hapo juu, Dr Bashiru mnafiki na muongo sana, wakati akiwa Katibu Mkuu CCM na akiwa Katibu Mkuu Kiongozi, Tz nilipitia mateso mabaya sana, watu kuuawa, kuteswa, watu kunyang'anywa fedha zao, hofu kuu ilitawama watu Tz, sukuma gang iliharibu nchi, na wakulima walikuwa na hali mbaya na kila mmoja hata wananchi hali mbaya ilikuwa, na yeye alikuwa kazi kusifia sifia tu, leo anaongea upuuzi mtupu.
Sukuma Gang kazini. Yale maneno yote ya mbunge Mpina wahusika wa vita ni hawa kina Bashiru.
 
Binadamu hawezi kuishi kwa Hotuba Pekee, Bali Mkate wa Kila siku, Ambao umekuwa Gharama isivyo kawaida...

Tunahitaji Big Results Now na Sio Ngojera...
hahahaaa!!!!.who is affecting bei ya mkate?!!!>,wakulaumu sana ni wakulima wetu wa ngano, putin na zelensky
 


Hiyo ndio halisi ya upatinaji wa mbolea ya ruzuku inabidi wakulima wadogo waifungie safari kweli kweli za gharama.



Na haya ndio madhara yake adhabu mpaka watu wanakufa kwenye kuitafuta hiyo mbolea.

Sasa tatizo sio Samia alietoa hela, ila ni strategic planning ya kufanya hiyo mbolea iwe accessed kirahisi.

Samia mwenyewe hajui uozo unao endelea huko chini anachojua katoa hela na kujitapa

Hawa ndio watu Dr Bashiru anao waongelea mnasifia nini badala ya kudai haki zenu.
 
CHAMA TAWALA UNAJUA MAANA YAKE!!??!! SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI INATEKELEZA ILANI YA CHAMA TAWALA. KATIBU MKUU WA CHAMA TAWALA ANAO UWEZO WA KUTOA MAELEKEZO KWA YEYOTE NDANI YA DOLA ANAPOOONA MAHALI KUNA PWAYA. BASHIRU IS CHASING A GHOST, ARUDI KWENYE CHAKI AACHANE NA POLITIKI HANA UWEZO. NDUGU YANGU SUALA KUTAFUTA SOKO KWA AJILI YA WAKULIMA WETU SILA WAZIRI AU RAIS, NI LETU WOTE KWA SABABU NCHI HII NI YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI THEN UNAPOKUWA KIONGOZI KUFUKIA NAFASI ALIZOKUWA NAZO BASHIRU, NDIZI ZA MULEBA,KASHOZI, KARAGWE ZINGEKUWA ZINAUZWA DUBAI,UK,USA KWA WINGI. WHAT DID HE DO!!?!!. KUWA MACHO NA WANASIASA LAGHAI TYPE HII
"TUWE MACHO NA WANASIASA LANG'AI"THATS ALL.
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
We ndo wakuupuuzwa🚮
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Bashiru anaongozwa na falsafa. Anapinga daima unyonyaji wa kitabaka na ni rafiki wa tabaka la wakulima kwa mda mrefu. Anawapa elimu kupitia makongamano yao toka kitambo. Wakulima hawawezi kamwe kumpuuza.
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
Kwa nini mtu akieleza maoni yake, kitu ambacho ana uhuru wa kikatiba, moja kwa moja watu wanaona ni chuki?

Kwa nini tunapenda sana hagiography?

Fine, Bashiru landa hana credibility, tuachane naye.

Je, hana uhuru wa kueleza maoni yake bila wingu la kuhusishwa na chuki?

Pinga hoja za Bashiru kwa hoja.

Onesha kazi kubwa anazofanya Rais Samia.

Madai ya "chuki" si hoja. Hiyo ni mipasho ya taarab zisizo na viwango.
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952

Jibu hoja zake

Je ni halali kumsifia boss wako Kwa kukulipa salary?

Au ni halali kuisifia NSSF Kwa kukupa pension yako?
 
Bashiru anaongozwa na falsafa. Anapinga daima unyonyaji wa kitabaka na ni rafiki wa tabaka la wakulima kwa mda mrefu. Anawapa elimu kupitia makongamano yao toka kitambo. Wakulima hawawezi kamwe kumpuuza.
wamempuuza tayari
 
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.

Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).

Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.

Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.

Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.

Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?

Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.

Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.

View attachment 2420952
wakulima wa nchi mna ujinga mwingi
unawezaje kumpuuza mtu mwenye phd yake
jibuni hoja
 
Back
Top Bottom