Binadamu hawezi kuishi kwa Hotuba Pekee, Bali Mkate wa Kila siku, Ambao umekuwa Gharama isivyo kawaida...fuatilia hotuba ya BASHE waziri wa kilimo aliyoitoa leo, wakati Rais akiwa ziarani manyara
Sukuma Gang kazini. Yale maneno yote ya mbunge Mpina wahusika wa vita ni hawa kina Bashiru.Duh, Dr. Bsshiru ndio anamsema Mh. Rais moja kwa moja hivi.. Kweli hana shukrani, yaani pamoja na kupewa ubunge wa bure, aisee mimi ningefukuza mbali kabisa, huyo ni sumu kwa serikali ya Mama Samia.
Kama ulivyosema hapo juu, Dr Bashiru mnafiki na muongo sana, wakati akiwa Katibu Mkuu CCM na akiwa Katibu Mkuu Kiongozi, Tz nilipitia mateso mabaya sana, watu kuuawa, kuteswa, watu kunyang'anywa fedha zao, hofu kuu ilitawama watu Tz, sukuma gang iliharibu nchi, na wakulima walikuwa na hali mbaya na kila mmoja hata wananchi hali mbaya ilikuwa, na yeye alikuwa kazi kusifia sifia tu, leo anaongea upuuzi mtupu.
hahahaaa!!!!.who is affecting bei ya mkate?!!!>,wakulaumu sana ni wakulima wetu wa ngano, putin na zelenskyBinadamu hawezi kuishi kwa Hotuba Pekee, Bali Mkate wa Kila siku, Ambao umekuwa Gharama isivyo kawaida...
Tunahitaji Big Results Now na Sio Ngojera...
Shamba alitoe wapi chawa tu huyoMleta mada shamba lako unapofanyia shughuli za kilimo lipo sehemu gani?
"TUWE MACHO NA WANASIASA LANG'AI"THATS ALL.CHAMA TAWALA UNAJUA MAANA YAKE!!??!! SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI INATEKELEZA ILANI YA CHAMA TAWALA. KATIBU MKUU WA CHAMA TAWALA ANAO UWEZO WA KUTOA MAELEKEZO KWA YEYOTE NDANI YA DOLA ANAPOOONA MAHALI KUNA PWAYA. BASHIRU IS CHASING A GHOST, ARUDI KWENYE CHAKI AACHANE NA POLITIKI HANA UWEZO. NDUGU YANGU SUALA KUTAFUTA SOKO KWA AJILI YA WAKULIMA WETU SILA WAZIRI AU RAIS, NI LETU WOTE KWA SABABU NCHI HII NI YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI THEN UNAPOKUWA KIONGOZI KUFUKIA NAFASI ALIZOKUWA NAZO BASHIRU, NDIZI ZA MULEBA,KASHOZI, KARAGWE ZINGEKUWA ZINAUZWA DUBAI,UK,USA KWA WINGI. WHAT DID HE DO!!?!!. KUWA MACHO NA WANASIASA LAGHAI TYPE HII
We ndo wakuupuuzwa🚮Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.
Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).
Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.
Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.
Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.
Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?
Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.
Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.
View attachment 2420952
Bashiru anaongozwa na falsafa. Anapinga daima unyonyaji wa kitabaka na ni rafiki wa tabaka la wakulima kwa mda mrefu. Anawapa elimu kupitia makongamano yao toka kitambo. Wakulima hawawezi kamwe kumpuuza.Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.
Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).
Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.
Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.
Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.
Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?
Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.
Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.
View attachment 2420952
Kwa nini mtu akieleza maoni yake, kitu ambacho ana uhuru wa kikatiba, moja kwa moja watu wanaona ni chuki?Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.
Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).
Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.
Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.
Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.
Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?
Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.
Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.
View attachment 2420952
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.
Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).
Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.
Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.
Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.
Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?
Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.
Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.
View attachment 2420952
yah dr bashiru anatakiwa kujibiwa kwa hoja zenye mashiko na sio hoja zenye ushabiki ndani yakeDkt.Bashiru sio MTU wa kujibiwa na mtu kama wewe
wamempuuza tayariBashiru anaongozwa na falsafa. Anapinga daima unyonyaji wa kitabaka na ni rafiki wa tabaka la wakulima kwa mda mrefu. Anawapa elimu kupitia makongamano yao toka kitambo. Wakulima hawawezi kamwe kumpuuza.
wakulima wa nchi mna ujinga mwingiHali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili hali wakulima wanajua mazuri yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha muda mfupi.
Dr. Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM katika wakati wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Hayati Magufuli alikuwa akiratibu vikosi kazi vya kumsifia Hayati Magufuli kwa kazi alizofanya lakini leo anaona Dhambi wakulima wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anazowafanyia wananchi (wakulima).
Tunafahamu kwa kipindi kirefu wakulima walikuwa hawafurahii matunda ya kilimo chao, tozo zilikuwa nyingi za kuwaumiza wakulima, mazao kutokuuzwa nje ya nchi, mbolea kutopatikana kwa wakati na gharama za mbolea zilikuwa juu lakini Dr. Bashiru Ally alikuwa mstari wa mbele kuunda vikosi kazi vya kusifia ili hali mambo yalikuwa magumu sana kwa wakulima.
Leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wanafuraha kwa kuondolewa matozo yaliyokuwa yanawakandamiza, leo mbolea zinapatikana kwa wakati na bei ipo chini baada ya serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa fedha ya ruzuku katika mbolea.
Leo tunashuhudia wakulima wa Njombe kuuza maparachichi yao nje ya nchi kwa juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan. Leo tunaona Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuboresha miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji kwa kujenga mabwawa makubwa lengo likiwa kulima wakati wote.
Shida ipo wapi kwa Dr. Bashiru Ally kujipa upofu katika haya yanayofanyika kwa kuwakataza wakulima wasimsifie Rais Samia Suluhu Hassan kwa mazuri anayoyafanya kwa wakulima wa nchi hii? Ili hali Dr. Bashiru Ally alikuwa kasuku wa Hayati Magufuli katika kuyasemea anayofanya hata yale ya kuumiza kwa wakulima?
Tunatambua wakulima wa korosho walichofanyiwa lakini Dr. Bashiru aliku Ally wa mstari wa mbele kusifia machungu haya.
Wakulima tumpuuze Dr. Bashiru Ally, hanajema kwa taifa letu.
View attachment 2420952
Subiri apewe cheo tena ndio utamjua Bashiru wa ukweliHuyu ndiye bashiru ninae mjua wa kabla ya 2015.
Hana lolote na PHd yake, kelele tuu kwa sababu kakatiwa mirija yake, huyu si ndio alisema CCM lazima itawale hata kwa kutumia dolawakulima wa nchi mna ujinga mwingi
unawezaje kumpuuza mtu mwenye phd yake
jibuni hoja