Alafu nawe ulitoweka sanaHapa kuna wengine na mashada yalishaliwa mchwa
🤣🤣🤣Yupo akiibuka ye ni kumtukana Magu tu.
🤜msimamo 🤣Huyu jamaa alikua na chuki mno na jiwe, muandama bampa to bampa mpk anaingia kaburini
Labda shujaa wa kupenda chura👇😁😁😁
Vibaya ivoLabda shujaa wa kupenda chura👇😁😁😁View attachment 2392487
Nimepata taarifa kuwa na wewe unayo pia😁😁😁Vibaya ivo
Hapana mkuuNimepata taarifa kuwa na wewe unayo pia😁😁😁
Nakutaka hadi naumwa!Hapana mkuu
Izi zote Id zako tunakujua😅😅Serikali inaweza kukubana ukawa bize kulitumikia taifa na kutusahau wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita malejendari kadhaa ambao waliwika katika majukwaa mbalimbali kipindi fulani. Naanza na hawa Makamanda;
GuDume
General Galadudu
britanicca
Malaria Sugu
Baba Swalehe
@kidukulilo
@skyeclat
Zero IQ
Mmawia
BAK
Tafadhali walete wengine pia.
Shukrani sana. 🙏 Mimi ni mtu mdogo sana kulinganishwa na hao watu hapo juu. Nashukuru bado.Serikali inaweza kukubana ukawa bize kulitumikia taifa na kutusahau wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita malejendari kadhaa ambao waliwika katika majukwaa mbalimbali kipindi fulani. Naanza na hawa Makamanda;
GuDume
General Galadudu
britanicca
Malaria Sugu
Baba Swalehe
@kidukulilo
@skyeclat
Zero IQ
Mmawia
BAK
Tafadhali walete wengine pia.
Upogo wewe mtu!? Miss you sanaWale wapenzi wangu akina bwana mdogo mko wapi now days