Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Bora sie tuliehalalishwa kuwa wanne muhimu heshima na uadilifu
Mungu alijua nature ya wanaume na ndo maana kwetu wakaruhusiwa wanne na hata hao wanne watu bado [emoji23][emoji23][emoji23]
Nduguzetu upande wapili dini haiwaruhusu. Hivo mjitahidi kuwa na heshima na uadilifukwa wake zenu,tunajua mnao zaidi ya mmoja lkn respect jamni msiwakwaze ukizingatia dini hairuhusu kuwa wengi...
Mungu alijua nature ya wanaume na ndo maana kwetu wakaruhusiwa wanne na hata hao wanne watu bado [emoji23][emoji23][emoji23]
Nduguzetu upande wapili dini haiwaruhusu. Hivo mjitahidi kuwa na heshima na uadilifukwa wake zenu,tunajua mnao zaidi ya mmoja lkn respect jamni msiwakwaze ukizingatia dini hairuhusu kuwa wengi...