Pole sana kiongozi, hata mimi nimeishia kusoma tu hayo mavitu ila sijui yanatumikaje.mimi natumia kuni za kutoka pori la mlima kitonga au mara mojamoja mkaa, maisha ndio haya haya
Ndio mkuu kujipa sifa vitu sijawahi kuviona hua siwezi,Pole sana kiongozi, hata mimi nimeishia kusoma tu hayo mavitu ila sijui yanatumikaje.
Nishati yangu kuu ni gas na mkaa, kwa hiyo tuishi tunavyoweza siyo tunavyotamani au kusoma.
Kweli kabisa kiongozi.Ndio mkuu kujipa sifa vitu sijawahi kuviona hua siwezi,
Mimi hapa sina sababu ya kudanganya, hata chai nakunywa mara mojamoja sana, maana nakula ugali asubuhi mapema, naondoka kuhangaika ili mambo yasogeeKweli kabisa kiongozi.
Ila ninaamini asilimia kubwa humu tuko kwenye matumizi ya kuni, mkaa na kidogo gas ingawa wengi wanaigiza ili waonekane sio wanyonge kama sisi tulivyo.
Ukweli unatuweka huruMimi hapa sina sababu ya kudanganya, hata chai nakunywa mara mojamoja sana, maana nakula ugali asubuhi mapema, naondoka kuhangaika ili mambo yasogee
Bei gani hii ndugu kiduku jrWabongo acheni kuishi miaka 4000 nyuma ..
Dunia ni Kijiji agizeni hizi sufuria Kwa matumizi ya hizo induction cooker.
Both induction na multi cooker ni mkombozi kwa mapishi ya umeme. Tofauti kati ya induction cooker na multi cooker ipo katika matumizi na namna vifaa hivyo vinavyofanya kazi.Wakuu kama thread inavojieleza either kulingana na uzoefu wako au umeskia ndugu jamaa wanasema tupate, mkombozi wa mapishi kwa umeme.
Induction cooker
View attachment 2905663
Multi Cooker
View attachment 2905665
Hapo kwenye bold ndipo ulipokosea, induction cooker zinatumia technology ya usumaku, na infrared cooker zinatumia hiyo mionzi ya infrared.Induction cooker jiko kama yalivyo majiko mengine ya umeme uliyozoea kuyaona mtaani. Tofauti ya induction na majiko ya kawaida ya umeme, ni teknolojia. Induction cooker inatumia teknolojia ya infrared ambayo inafanya chakula kiweze kuiva kwa muda mfupi, hivyo kuokoa gharama ya umeme.
I was left stranded for awhile, infrared is something heat related radiation while induction is on electromagnetic field coupling means.Hapo kwenye bold ndipo ulipokosea, induction cooker zinatumia technology ya usumaku, na infrared cooker zinatumia hiyo mionzi ya infrared.
Nenda HomeCity wanazoJuzi juzi nimezunguka kko nzima hakuna induction cooker ya plate mbili wala moja, wao wananipa infrared/ceramic cooker wakidhani ni induction, mtoa mada ameweka picha ya silver crest, sidhani kama ni induction cooker hiyo.
Mashine ya kufulia usiihofie, ninayo ya mchina Elekta, mwaka wa5.Mkuu inategemeana na matumizi mimi sina Air condition wala machine ya kufulia sasa TV radio na kuchaji simu pekee na PC navyo tunatumia masaa machache tukitoka mihangaikoni, kwa mwezi hata elfu 5 haifiki.
So nkiongeza kupika pika ndo inaongeza bili zangu hadi hiyo hapo.
Gesi ni back up kwa sasa mgao wa umeme.
30,000 kwa mwezi umeme? Sijajua unatumiaje. Mi natumia 90,000 umeme kwa mwezi.Kuna kitu kimoja wanaume wenzangu huwa nawashauri, kazi za jikoni hazituhusu sawa lakini usipo invest kwenye tech jikon kwako ni ww mfuko utakutoboka, kwangu nina rice cooker, eletric pressure cooker, induction cooker, bread maker, blender kadhaa, juice maker, water boiler ya lita 10 nk vyote ni umeme, gas ya kilo 50 huu mtungi size ya kati huwa unatumika miez 3, mkaa ni kama situmii tena maana nlinunua kiroba kile cha 10,000 mwezi wa 4 huu kipo nusu, umeme nanunua 30,000 kwa mwez unatosha, so vitu vingi natumia umeme kuliko hizi energy source nyingine za gharama, sio kwamba sina watumiz mengine kama kufulia nk ila umeme wa 30k unatoboa safi kabisa, wekezeni jikon kwa technolojia muone ilivyo rahisi
Kabisa, lawama zote ni kwa CCM.Elimu haina mwisho.
Watanzania wengi bado wanaishi mazingira ya.kama ya Karne ya ujima ndio maana mpaka sasa CCM bado inaongoza nchi!