Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Hazina twafautwi. Ni hela yako tu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo tunaishi nyumba za kupanga arafu umeme tunachanga siunajua so tuzidi ombeana tu tuvuke huu mtihani kuishi nyumba moja familia sitaKuna kitu kimoja wanaume wenzangu huwa nawashauri, kazi za jikoni hazituhusu sawa lakini usipo invest kwenye tech jikon kwako ni ww mfuko utakutoboka, kwangu nina rice cooker, eletric pressure cooker, induction cooker, bread maker, blender kadhaa, juice maker, water boiler ya lita 10 nk vyote ni umeme, gas ya kilo 50 huu mtungi size ya kati huwa unatumika miez 3, mkaa ni kama situmii tena maana nlinunua kiroba kile cha 10,000 mwezi wa 4 huu kipo nusu, umeme nanunua 30,000 kwa mwez unatosha, so vitu vingi natumia umeme kuliko hizi energy source nyingine za gharama, sio kwamba sina watumiz mengine kama kufulia nk ila umeme wa 30k unatoboa safi kabisa, wekezeni jikon kwa technolojia muone ilivyo rahisi
Tujifunze kuishiPole sana kiongozi, hata mimi nimeishia kusoma tu hayo mavitu ila sijui yanatumikaje.
Nishati yangu kuu ni gas na mkaa, kwa hiyo tuishi tunavyoweza siyo tunavyotamani au kusoma.
Unajua kupika basiiii😜Mimi nataka induction ila watu wananitisha linakula umeme sana hadi naogopa.
Hiyo tupa nunua pleasure cooker unapika mpaka ugali siku gesi imekata ndio utajua kumbe naweza pika ugali kwenye pleasure cooker na ukaivaRice cooker je?
Acc inatumia Hadi unit 1 Kwa saa Sawa na 24unit Kwa siku, yaani umeme WA 10k Kwa siku. Je hii ni cheap? Warrant huwa haikavi uzembe kama huo wa kudondosha majiko chiniInfrated cooker tena ya plate moja achana na iyo ya coil mbili unafamilia?Jiko zuti sana wasikutishe ulaji wa Umeme hapana kabisaa..Jiko lipo kwenye Technology ambayo ni power saver na Environmental Friently kabisaa unaweza kupika kwa Unit za Umeme ndogo kabisa kama kunyoosha nguo,Kuwasha AC/Feni etc.
Kwa hiyo Multicooker kama ni mapishi ya wali ni safi kabisa iko chap nayo haili umeme kabisaa ila inawahi kuharibika
Yote 9 la 10 majiko yote tajwa ni mazuri ila Changamoto pekee ni yakiharibika mfano iyo induction coil jiko likidondoka likapasuka unaweza kuliweka stoo kwasababu wauzaji wengi kwenye warranty wasumbufu
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Inategemea unataka kupika nini. Jiko langu liko kama kiwanda kidogo, kuna majiko ya aina tofauti tofauti yakiwemo umeme na ya gas kuweka kuhimili mapishi ya aina yoyote.Wakuu kama thread inavojieleza either kulingana na uzoefu wako au umeskia ndugu jamaa wanasema tupate, mkombozi wa mapishi kwa umeme.
Induction cooker
View attachment 2905663
Multi Cooker
View attachment 2905665
Sasa kama mimi bado sijamudu kuishi hayo maisha, unataka niseme ninaishi hivyo?.Tujifunze kuishi
1. Maharage hayapikwi masaa matatu, wala kuongeza maji mara nne
2. Mwanamke kukupeleka maji bafuni ya kuoga ni umaskini maji unatakiwa uyakute bafuni
Ngoja niishie hapa
Halafu hizo induction cooker MOSFET yaani kipuli kinachochakata umeme kwenye inductor kikiungua ni mtihani matengenezo ni bahati nasibuMimi natumia. Zote mbili, zote ni muhimu hiyo malt cooker/ pressure coocer ni nzuri na haitumii umeme mwingi, induction cooker ni nzuri kwa vitu vya chap chap na kukaanga. Changamoto ya wabongo ni kuuziwa infrared cooker na kuambiwa ni induction cooker, na wengi wahazijui zaidi na zinafafana kwa kiasi kikubwa. Kama hiyo uliyoweka hapo ni infrared cooker na sio induction
ni IGBTMOSFET
Hayo ni maishaa ya kawaida sana kiongozi unapashwa kuishi wala si utajiri huo zaidi ya kufanya kazi kwa bidding yenye kupatia kipato na kuamua unataka uishi vipiSasa kama mimi bado sijamudu kuishi hayo maisha, unataka niseme ninaishi hivyo?.
Shukrani sana mkuu kwa ushauri, nitajipanga nipate moja.Mashine ya kufulia usiihofie, ninayo ya mchina Elekta, mwaka wa5.
Navaa na kurundika nguo kwa mwezi mzima ndiyo nakuja kuburuza.
Mzigo mkubwa sana nafua kwa unit 0.5.
Mkurya katika ubora wake… Bila kaugali maisha hayajaendaMkuu nina wasiwasi mmoja hivi hizo induction cooker zinaweza himili mchakamchaka wa mgandamizo wa sufuria wakati wa kupika ugali, make naona nyingi juu ni vioo.
Hahaaaa! sunajua kwetu wali mpaka Siku kuu.Mkurya katika ubora wake… Bila kaugali maisha hayajaenda
Siyo sembe tu chief hadi chips zege na cake tunaivisha!.Hiyo tupa nunua pleasure cooker unapika mpaka ugali siku gesi imekata ndio utajua kumbe naweza pika ugali kwenye pleasure cooker na ukaiva
Procedure ni weka maji funga wacha maji yakichemka fungua weka unga anza kusonga ugali unaiva fresh tu toa kitu weka mezani anza kula hii ni moja ya addition ya pleasure cooker ambayo hata watengenezaji hawajaibainisha ila kutokana na changamoto mtumiaji kaivumbua
mkuu una OKA kwa kutumia multicooker....!?Siyo sembe tu chief hadi chips zege na cake tunaivisha!.
Mi nacheka tu ulivyoandika pleasureHiyo tupa nunua pleasure cooker unapika mpaka ugali siku gesi imekata ndio utajua kumbe naweza pika ugali kwenye pleasure cooker na ukaiva
Procedure ni weka maji funga wacha maji yakichemka fungua weka unga anza kusonga ugali unaiva fresh tu toa kitu weka mezani anza kula hii ni moja ya addition ya pleasure cooker ambayo hata watengenezaji hawajaibainisha ila kutokana na changamoto mtumiaji kaivumbua
Kuna warabu wanauza wanatembeza majumbani ni nzuri sijalikariri jina ila kama vile wameandika Germany technology. Ninayo Pressure cook na microwave kutoka kwao mwaka sasa zinapiga mzigo.Sasa wakubwa kwa uzoefu wako ipi ni brand bora ya Home appliances make sokoni kuna utitiri wa brand za mchina.
E.g Hisense, Evoli, West Point, Aborder, Sundar, Alitop, Itel n.k.
Samsung na LG sijazitaja make bei za vitu vyao na price to performance ratio ni mbingu na nchi.