"Damu ya mtu haipotei" hiyo kauli inamuhusu aliyeua tena kwa kukusudia. Linapokuja suala la mtu kufa mwenyewe kwasababu zingine na mimi kutokutaka kujihusisha na tukio hilo, hiyo kauli haihusiki hapo.Bro, kitendo cha kuibeba maiti na kwenda KUITUPA lazima wewe uhusishwe kwenye tukio hilo moja kwa moja,
Damu ya mtu haipoteagi hata baada ya miaka 10 utashangaa tu unakua linked na hilo tukio na hapo hakuna mtu atakuelewa.
Sielewi hata unataka kubisha nini,"Damu ya mtu haipotei" hiyo kauli inamuhusu aliyeua tena kwa kukusudia. Linapokuja suala la mtu kufa mwenyewe kwasababu zingine na mimi kutokutaka kujihusisha na tukio hilo, hiyo kauli haihusiki hapo.
Kwahiyo unafikiri ukiwaambia kuwa jamaa kaja mzima, asubuhi unamuamsha haamki, umempeleka hospitali daktari anasema kalishwa sumu. Halafu polisi wakwambie asante msema kweli , rudi nyumbani.Sielewi hata unataka kubisha nini,
Yaan uchukue maiti ukaitupe mtoni halafu unataka uonekane wewe huna hatia?
Wewe na aliyeua nyote ni wauaji,
Period.
Wewe umejuaje kama amefariki?Heshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Ushawahi kusikia kauli "upelelezi haujakamilika"? Haya kaa usubiri ushahidi uje uamue hatima yakoAfe ndani kwako, nje kwako....nchi za nje au popote pale, awe rafiki, ndugu, adui yako, au usiemfahamu....ushahidi ndio huamua
Sio lazima afie ndani kwako ndo ushikiliwe kusubir upelelezi. Hata angefia kwao, ukitiliwa mashaka unakamatwa as well kama vile kafia kwako. Na anaweza akifia kwako wakakamatwa majirani au watu wengine kabisa wewe ukaendelea kupeta mtaani....Ushawahi kusikia kauli "upelelezi haujakamilika"? Haya kaa usubiri ushahidi uje uamue hatima yako
SawaaaaaaaaSio lazima afie ndani kwako ndo ushikiliwe kusubir upelelezi. Hata angefia kwao, ukitiliwa mashaka unakamatwa as well kama vile kafia kwako. Na anaweza akifia kwako wakakamatea majirani
Unafungwa kwa kosa gani? Mleta mada wanaomba mtazamo wa sheria. Wewe unakuja na maoni yako tu.Unafungwa jela maisha hadi hapo itakapothibitika huna kosa.
Sheria haimtambui rafiki bali inamtambua marehemuHeshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Mshana Jr umerud Kaka?Habari ya siku nyingi Mkuu? Dunia kigeugeu hii!!Sheria haimtambui rafiki bali inamtambua marehemu
Nimerejea kaka hii dunia hii ningekuwa na mahali pa kuitupa ningeigawa buureeMshana Jr umerud Kaka?Habari ya siku nyingi Mkuu? Dunia kigeugeu hii!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kwa sasa teknolojia imekuwa, zaidi ya kuangalia mwili mpelelezi anaweza kuangalia mpaka mawasiliano ya mwisho ya huyo mtu. Kitengo cha cyber kinaweza, kutrace meseji au calls alizowasiliana na wewe au alizowasiliana na watu wengine pengine akisema yupo kwako. Umemtupa sijui wapi, anaokotwa mwili unafanyiwa uchunguzi DNA mtu aliyemshika marehemu hupatikana, wakilink kwenye mawasiliano unaingia nyavuni, tena wakifanya kazi kwa haraka vizur, hata DNA zake zitakutwa ndani mwakokwanin mkuu??mbna mim ndo nimeuchukua huo?
kwamfano nisipomtupa ila nikamzikaKwa sasa teknolojia imekuwa, zaidi ya kuangalia mwili mpelelezi anaweza kuangalia mpaka mawasiliano ya mwisho ya huyo mtu. Kitengo cha cyber kinaweza, kutrace meseji au calls alizowasiliana na wewe au alizowasiliana na watu wengine pengine akisema yupo kwako. Umemtupa sijui wapi, anaokotwa mwili unafanyiwa uchunguzi DNA mtu aliyemshika marehemu hupatikana, wakilink kwenye mawasiliano unaingia nyavuni, tena wakifanya kazi kwa haraka vizur, hata DNA zake zitakutwa ndani mwako
Wakicheki na service provider, watakuja kwangu, nitawaambia ndio alilala hapa, asubuhi aliniaga anaelekea sehemu X (kule nilikotupa simu), na wakifuatilia gps location ya simu yake watagundua nasema kweli alielekea huko, na ndio maana nikakwambia simu yake usiizime.