Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Pana shida gani mkuu?Hapo ulipo BOLD Sasa[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pana shida gani mkuu?Hapo ulipo BOLD Sasa[emoji1]
Haina namna mkuu,Wewe jamaa sio binadamu kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3]
Ukiwa muoga unaozea jela,Daaaaah aisee hii ni ngumu kumeza mkuu...!
Kusaidia uchunguzi kwa askali wetu wa bongo,Pana shida gani mkuu?
Unasubiri giza tororo unakaweka kwenye mfuko unaingiza kwenye gari unaenda kutupa polini, mtoni, baharini, au ziwani ila usimshirikishe mtu yeyote binadamu hawana siri ipo siku atasema tuJe ukikaa na kademu kakafia chumbani halafu nduguze hawakujui inakuwaje hapo?
Omba yasikupate! Ni janga, ukishindwa kujieleza wewe ni mhusika na kifo. Mf mke wa mtu, moja umeiba mke wa mtu, mbili umeua mke wa mtu, utachomoka!!!
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Zipo sumu ambazo unaenda fia mbele ya safari huko hata kesho kutwa kabisa. Na si kila mgeni anaweza kuja kwako kwa taarifa, mwingine anapafahamu unapoishi na amekutwa na dharura, simu imezima chaji akaona acha nikalale kwa rafiki yangu, nichaji simu yangu,kesho niendelee na safari. Usiku anakufia.siyo kila sumu inaweza kuwa sababu ya wew kufariki,kuna baadhi ya sumu ambazo hutokana na vyakula tunavyokula so endapo atakuwa amepewa mathalani sumu ya panya huwa ina react ndani ya nusu saa tu mzee hvyo ni ngumu kupewa sumu sehemu fulani then akaja kufia kwako,labda kama kuna lingne? na kmbuka kitu cha kwnza kabla ya marhemu kufa hufatiliwa series ya mawasiliano yake wapi alikuwepo nani aliongea nao na kipi waliongea
Wakicheki na service provider, watakuja kwangu, nitawaambia ndio alilala hapa, asubuhi aliniaga anaelekea sehemu X (kule nilikotupa simu), na wakifuatilia gps location ya simu yake watagundua nasema kweli alielekea huko, na ndio maana nikakwambia simu yake usiizime.Ushauri mzuri kiongozi ila hapo kwenye simu hata ukiitupa si wanaweza wakacheki na service provider wa mtandao wa simu anayotumia mgeni wako ikakuja kujulikana mara ya mwisho aliwasiliana na wewe mkuu...?
I know. Lakini kumbuka mada inasema amejifia mwenyewe, sio kwamba nimemuua. Usioongee kama vile aliyemtupa ndio aliyemuua, hapa tunaangalia namna ya kujinasua na lisilokuhusu. Kuonekana kama alikuwa kwangu sio ishu, asubuhi aliniaga anaenda chalinze, na kweli mkifuatilia mtaona simu yake ilisoma chalinze, ingawaje mwili umekutwa kisarawe. Kwahiyo yaliyomkuta baada ya hapo siyajui.Kwa hiyo ukishaitupa line chalinze, unadhani ndio mwisho wa wewe kuonekana kua mlikua na mawasiliano na marehemu? Marehemu hana simu wala line,
Watu walikuona amekuja nyumbani kwako, baadae ukasema ameshaondoka, kesho yake taarifa zinakuja ameuliwa katupwa mbali, msibani huendi unasingizia unaumwa,
Bro, damu ya mtu haipo rahisi kama ulivyoandika.
Yani wewe kama unampango wa kumuua rafiki yako alafu unatafuta jinsi ya kuzuga. Sasa ole wako afeHeshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Huna lolote, watu wanaigiza movie za magaidi na mbinu zao, majambazi na mbinu zao, drug dealer na mbinu zao, sembuse wewe kusimulia hizo tumbinu twako tutatu tayaru unajiona CIA. Acha mbwembwe wewe.mleta mada na wengine wengi mnataka kupewa mbinu za kudispose mwili na ushahidi na jibu ni yes zipo njia 3 za kukimbia kukimbia hilo tatizo na ushahid ukakosekana kabisa but sitaweza kuzitaja sababu sababu situmii id fake na sipendi zitumike
Wabongo bana, hiyo ni mada kama ambavyo ungeulizwa siku ukimkuta mkeo anagegedwa na babako utachukua uamuzi gani.Yani wewe kama unampango wa kumuua rafiki yako alafu unatafuta jinsi ya kuzuga. Sasa ole wako afe
Hiyo sulphuric inakula mapipa...kwahyo achukue pipa la polyethane maana sulphuric acid haiwezi kulila (niliona kwenye breaking bad jamani TISS mimi sio muuaji)3. Beba mwili, ukatekate vipande.
Kisha nunua chupa 10 za Sulphuric acid 99.9% ile ya maabara (120,000@chupa)
Tumbukiza mapande ya nyama,
Baadae ya masaa 6 utakuta uji uji TU.
Kamwage mtoni au baharini
Eti kumi, unaingia na 90 unatoka 35 kule. Achana na kitu stress weweShida no hapo mpaka uchunguzi ukamilike, utakuta umeshapungua kilo kumi aisee
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Tunampa tahadhari tuWabongo bana, hiyo ni mada kama ambavyo ungeulizwa siku ukimkuta mkeo anagegedwa na babako utachukua uamuzi gani.
So wewe jadili kama mada na sio kuelekeza shutuma kwa mtoa mada..
Ndio umaskini wa muafrika unapoanzia, tahadhari zisizo na tija.
Huna lolote, watu wanaigiza movie za magaidi na mbinu zao, majambazi na mbinu zao, drug dealer na mbinu zao, sembuse wewe kusimulia hizo tumbinu twako tutatu tayaru unajiona CIA. Acha mbwembwe wewe.
Umaskini unaanzia pale ambapo you take everything seriously, even those that dont matter.Ndio umaskini wa muafrika unapoanzia, tahadhari zisizo na tija.
I know. Lakini kumbuka mada inasema amejifia mwenyewe, sio kwamba nimemuua. Usioongee kama vile aliyemtupa ndio aliyemuua, hapa tunaangalia namna ya kujinasua na lisilokuhusu. Kuonekana kama alikuwa kwangu sio ishu, asubuhi aliniaga anaenda chalinze, na kweli mkifuatilia mtaona simu yake ilisoma chalinze, ingawaje mwili umekutwa kisarawe. Kwahiyo yaliyomkuta baada ya hapo siyajui.