huenda mleta mda akawa ni askari au kuna information anataka kuipata kwa mtu fulani au sisi kama raia juu ya nadharia kama hii hongera kwa hilo kwani umejipatia information za kutosha but hainizuii na mimi kutoa wazo langu juu ya hil.
kwanza kwa yeyote huwezi kujinasua juu ya nadharia hii au tukio hili endapo litakutokea ukiwa nyumbani au hata gest.Matukio kama haya yalishatokea sana kwenye magest kiasi cha kufanya gesti nyingi kufungwa hidden camera. kwa maana ukisema uchukue mwili wake ukautupe mtoni au sehemu tofauti kumbuka hapo ndipo utakapo hesabiwa kama muuaji rasmi hata kama hukumuua
sababu mwili wa marehemu ni lazma utakuwa na prints zako za mkono(fingerprints) cha pili hakuna mtu anayeweza kuja kulala kwako bila mawasiliano ya simu au hata mesage hvyo upelelezi ukianzia huko jua umekwisha
Chakufanya
Baada ya marehemu kufariki hakikisha unawaamsha ndugu/majirani mnaoishi karibu na kuwaambia kuwa (mfano)fulani joto lake liko sana ningeomba mnisaidie tumpeleke hospital kama una gari au wakuitie usafiri mwende hospital,wakiwa wanambeba hakikisha ndo uko wa kwanza kumnyanyua wenyewe wape kipaumbele kwenye kufngua milango ya gar na nyumba hapo utapata faida ya mambo yafuatayo
1,hautokwenda jela sababu uchunguzi utapatkana moja kwa moja kutoka kwa daktari uliyempeleka marehemu siku hiyo
2,utapunguza bugudha za polisi sababu utakuwa na mashahid ambao watakusaidia kumpeleka mgonjwa ambae ni marehemu hospitalini
3, jibu lako ni kwamba marehemu alipata homa ya ghafla lakini alifia njiani nikiwa nampeleka hospitalin kwa msaada wa majirani/ndugu ....
NB: fanya yote haya kuanzia nusu saa au dakika kadhaa baada ya marehemu kufariki,au kama hukumdhuru/kusababisha kifo cha marehemu