Wakuu hivi rafiki akifa ndani kwako Sheria inasemaje kuhusu hilo?

Wakuu hivi rafiki akifa ndani kwako Sheria inasemaje kuhusu hilo?

Heshima kwenu wakuu.

Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?

Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Vipi mkuu,

Mmepanga na rafiki yako aje kufia ndani a ghetoni kwako?

Siku akifia kwako ndio utajua sheria inasemaje. Mwite tu aje afe.
 
Heshima kwenu wakuu.

Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?

Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Unakuwa mtuhumiwa, utakuwa na kazi sana ya kujieleza mpaka ueleweke
 
Andika taratibu punguza wenge jambo dogo tu hilo hapo ndani kwako si una safleti au busati? Si ndio?
Mnyongorote Kama mzgo kamtupe mtoni au baharini vaa gloves ili finga print zako zisijichore

Au Kama umemgusa eneo lioshe na sprit hata vidole vioshe na sprit hasa ile methyl ya kunyolea ndo nzuri

Ukifika huko mtoe kwenye mzgo mbebe mrushe kwenye maji ionekane alizama tu Kama pattern yake ya simu unaijua ingia kweny call history futa namb yako na mbili za nyuma tuu halafu jaribu kudial namb yeyote kweny phone book yake bila kusahau kutuma message ya salamu kwa ndugu

Halafu vaa gloves osha simu na sprit iweke kweny mfuko wake mtupe kweny maji tubwiii
 
Tunakuacha uteseke

Vyovyote itakavyokua, lazima uingie misukosuko. Vipimo vya kitaalam na ushahidi wa mazingira ya sababu za kifo ndio vitakunasua au kukupunguzia kadhia.

Ina maana hata kama hana jeraha na wala hakuna kinywaji aidha pombe au simu yoyote aliyokunywa mkuu...?

Na vipi kama ukawasiliana na ndugu zake kuwajulisha kwanza au ni lazma kwanza ukaripoti polisi...?
 
Huyo rafiki yako tayari kafia ghetto kwako au umeamua tu kuulizia

Mkuu kuna mambo mengine ni lazma ufanye jitihada ya kuyanasua kabla hayajakufika ili hata yakikukuta uwe unajua jinsi gani ya kukabiliana nayo kiongozi...!
 
Utatoa Ripoti kwa Viongozi wa Eneo Lako Then Wao Watakusaidia Kutoa Taarifa Polisi, watakuja kufanya upelelezi wao then Watampeleka Hospital Kufanyiwa Uchunguzi wa Kisayansi na Madaktari.

Ila Kumbuka Suspect wa Kwanza Ni Wewe
Hivyo Utasaidia Zoezi la Upelelezi Kukamilika.
Itakuwa Usumbufu Kidogo Itakubidi Kuvumilia.

Pia Tunakuaga na Tendency ya Kukaribisha Wageni Bila Kutoa Taarifa kwa Viongozi wa Mtaa, Au Kuhama Mtaa Flani Bila Kutoa Taarifa.
Umuhimu wa Kutoa Taarifa ndio Utauona Tukio Kama Hill Likitokea.

Wajuvi Zaidi Nawasubiri Nami Najifunza.

Aisee sasa kama ni mke au mume wa mtu ambaye ni wa hapo hapo mtaani inakuaje hapo kiongozi...?
 
Tukio kama hilo likikutokea kimbiza maiti hospitali wao ndo wakueleze kuwa amekufa maana wewe huna vipimo vya kuhitimisha umauti. Mengine yatafuata baada ya kuambiwa kuwa amekwishakufa na wewe ukalia kwa kujitupa tupa ardhini. Unaweza kuepuka usumbufu mwingi sana kwa hako kaigizo.
[emoji1][emoji1]
 
Mkuu hujaangalia misukosuko


Unachukua maiti hiyo usiku wa manane unaenda kuzika mwenyewe


Hakikisha hakuoni mtu


Vinginevyo hakuna atakaye kuamini hapa bongo zaidi ya kupigwa miaka 30 jela
 
Acha woga Mkuu!
Mtemi Chenge aligonga watu kwenye Bajaj anadunda mpaka leo! Tena alikuwa ana uhusiano nao, kama si demu wake kabisa!
 
Dadeki kafa nini jamaa ndani kwako! ... By the way uchunguzi wa dactari ndio utaonesha amekufa kwa sababu gani, Ikionesha kuna viashiria vya kuasababishiwa kifo au kuuawa lazima uwe na kesi ya kujibu kwa kosa la mauaji. Sasa hukumu itakuja kwamba ulimuuaje huyo mtu kwa kukusudia au bila kukusudia nyundo ya maisha au 30 jela inakuhusu.
Ila kama alikufa bahati mbaya huna kesi wala.

Daaaaah mbona unanitisha mkuu.
 
Hivi kwa mfano kama huyo mtu akawa njiani huko alikula kitu kisichofaa (poison) na safari yake ya mwisho ndio akaja "ghetto " na akarudisha namba. Uchunguzi ukionesha kuna viambata hatarishi mwilini mwake, je hali itakuwaje kwa mwenyeji?

NB: siku hizi watu wanabugia tu vitu hovyo hovyo barabarani, mara madawa ya asili, mara supu+juice na dawa nyinginezo na vinywaji nishati. Vitu hivi ni hatari sana kwa afya na vikimuondoa mtu lazima viache trace tatanishi.

Daaaaah kiongozi umeongea point haswa coz tatizo linaweza kuwa ametoka nalo huko alipotoka then kwako ikawa ndio point of no return hivi hapo inakuaje kwa kweli...?
 
Je ukikaa na kademu kakafia chumbani halafu nduguze hawakujui inakuwaje hapo?

Hapo inabidi tu ukimbie chumba na ukikimbia ndio utaonekana umemuua kweli na ukibaki bado tu utapata shida hata sjui lipi ni jema kwa kweli...!
 
Back
Top Bottom