Wakuu hivi rafiki akifa ndani kwako Sheria inasemaje kuhusu hilo?

Wakuu hivi rafiki akifa ndani kwako Sheria inasemaje kuhusu hilo?

Chukua hiyo maiti ukaitupe mtoni kabla haijaanza kutoa harufu. Utakuja kunishukuru

Chukulia kuwa mtu mwenyewe labda ni bonge, halafu hakuna gari na hakuna mto hapo karibu na unapoishi inakuaje hapo mkuu...?
 
Tukio kama hilo likikutokea kimbiza maiti hospitali wao ndo wakueleze kuwa amekufa maana wewe huna vipimo vya kuhitimisha umauti. Mengine yatafuata baada ya kuambiwa kuwa amekwishakufa na wewe ukalia kwa kujitupa tupa ardhini. Unaweza kuepuka usumbufu mwingi sana kwa hako kaigizo.
huu ndo bonge la ushauri nmejikuta nmecheka sana walah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haina tatizo lolote,wewe cha kufanya ni kuripoti polisi fasta na uhakikishe kuwa unatoa ushirikiano mkubwa kwa jeshi la polisi
 
Anza Mkuu unasubiri nini mpaka sasa,
Nikupe mfano kuna jirani mtu wa maji siku zote huchelewa kurudi kwake.

Alikuta mtu kaanguka mbele ya lango lake hakujua kama kafa ,na bila hivyo gari haiwezi pita ikabidi ashuke na mkwara mwingi ,akamvuta akamuweka pembeni.

Kesho yake kilichoendelea imekuwa ni hadithi mpaka leo, jamaa anasota mahabusu mwaka wa 2 sasa.

Mkuu ina maana jamaa kawekwa ndani kisa mtu kakutwa nje ya nyumba yake kafa...?
 
huenda mleta mda akawa ni askari au kuna information anataka kuipata kwa mtu fulani au sisi kama raia juu ya nadharia kama hii hongera kwa hilo kwani umejipatia information za kutosha but hainizuii na mimi kutoa wazo langu juu ya hil.

kwanza kwa yeyote huwezi kujinasua juu ya nadharia hii au tukio hili endapo litakutokea ukiwa nyumbani au hata gest.Matukio kama haya yalishatokea sana kwenye magest kiasi cha kufanya gesti nyingi kufungwa hidden camera. kwa maana ukisema uchukue mwili wake ukautupe mtoni au sehemu tofauti kumbuka hapo ndipo utakapo hesabiwa kama muuaji rasmi hata kama hukumuua

sababu mwili wa marehemu ni lazma utakuwa na prints zako za mkono(fingerprints) cha pili hakuna mtu anayeweza kuja kulala kwako bila mawasiliano ya simu au hata mesage hvyo upelelezi ukianzia huko jua umekwisha

Chakufanya
Baada ya marehemu kufariki hakikisha unawaamsha ndugu/majirani mnaoishi karibu na kuwaambia kuwa (mfano)fulani joto lake liko sana ningeomba mnisaidie tumpeleke hospital kama una gari au wakuitie usafiri mwende hospital,wakiwa wanambeba hakikisha ndo uko wa kwanza kumnyanyua wenyewe wape kipaumbele kwenye kufngua milango ya gar na nyumba hapo utapata faida ya mambo yafuatayo

1,hautokwenda jela sababu uchunguzi utapatkana moja kwa moja kutoka kwa daktari uliyempeleka marehemu siku hiyo

2,utapunguza bugudha za polisi sababu utakuwa na mashahid ambao watakusaidia kumpeleka mgonjwa ambae ni marehemu hospitalini

3, jibu lako ni kwamba marehemu alipata homa ya ghafla lakini alifia njiani nikiwa nampeleka hospitalin kwa msaada wa majirani/ndugu ....

NB: fanya yote haya kuanzia nusu saa au dakika kadhaa baada ya marehemu kufariki,au kama hukumdhuru/kusababisha kifo cha marehemu
 
Utakuwa saidia polisi kwa sababu:

1. Wewe ni mtu wa mwisho kuwa na marehemu kabla ya kifo chake.

2. Ni rafiki yako.

3. Amefia kwako

4. Yawezekana unajua chanzo cha kifo chake.

5. Yawezekana wewe ni muhusika wa kifo na au umeshiriki.

6. Kama chanzo cha kifo chake siyo ugonjwa, basi ni wewe, au unafahamu muhusika.

7. Wewe ndiye utatoa muelekeo wa mashahidi wengine mfano, majirani. Majirani wataulizwa kama walimuona mtu anaingia kwako, na je, walisikia sauti? Kishindo? Mabishano? Wataeleza pia tabia yako na Kama una urafiki kiasi gani na marehemu.

8. Utaulizwa nyendo za marehemu kabla ya kuja kwako, mlipitia wapi, alikueleza nini, nk.

9. Marehemu atafanyiwa vipimo ili kuoanisha maelezo na hali halisi ya mazingira ya kifo kama ni ugonjwa au kauawa. Kama kauawa, basi kazi inaendelea.

10. Kumbuka gheto/ nyumba yako itakuwa scene of crime kwa muda.

11. Upelelezi utaendelea na jalada likikamilika, litapelekwa kwa wanasheria wa Serikali huko litachambuliwa, Kama Kuna udhaifu wa ushahidi na au Kuna watu wanahitajika basi wanasheria watashauri.

12. Mpaka hapo, wanasheria watajua kati washukiwa ni nani anafaa kuwa mtuhumiwa yaani ambaye ushahidi unaelemea kwake. Hapo, kama ni wewe utashtakiwa.

13. Kumbuka, kwenye kuchambua ushahidi wanasheria hupima upepo, wanaangalia mfano, A akiwa mtuhumiwa na B akawa shahidi, hii kesi tutashinda?

Kwa mantiki hiyo, wewe unaweza ukawa shahidi namba moja au mtuhumiwa namba moja. Inategemea na legal opinion humo kwa DPP.

Cha msingi usiogope. Kuwa mtulivu usaidie polisi na Mahakama kutafuta haki jinai.

Chanzo cha kifo ni kuwa, tumelala wote kuamka kila nikimuamsha haamki nikagundua kuwa tayari ameshakufa.

Hakukuwa na mabishano, kishindo, sauti wala chochote ni kifo cha ghafla tu labda.

Alipokuja alitokea home kwao kachukua boda labda akaja moja kwa moja home.
 
Kama umekamatia Dem akafa lodge au hotel,we sepa tu,Tena potea kabisa,Kama Ana smatifone chukua katupe chooni.

Sasa hapo si ndio itakuwa kesi coz watacheck namba yako kupita service provider wako itaonekana namba yako na yake mmewasiliana na mlikubaliana kukutana sehemu, wataangalia namba za watu wako wa karibu unaowasiliana nao mara kwa mara watawapigia hao watu watawaweka kizuizini ili kukupata wewe au la sivyo wataendelea kushikiliwa, unadhani kuna mtu atakubali kushikiliwa au watatoa ushirikiano kuweza kukupata...?
 
Tukio kama hilo likikutokea kimbiza maiti hospitali wao ndo wakueleze kuwa amekufa maana wewe huna vipimo vya kuhitimisha umauti. Mengine yatafuata baada ya kuambiwa kuwa amekwishakufa na wewe ukalia kwa kujitupa tupa ardhini. Unaweza kuepuka usumbufu mwingi sana kwa hako kaigizo.

Aisee inahitaji moyo kiongozi ila sidhani bado kama wataweza kukuacha kirahisi mkuu.
 
Upelelezi utafanyika kujua uhusiano wako na marehemu Kama kulikuwa na ugomvi Kama ulikuwepo basi uwezekano wa kumpa sumu upo. Watakuhoji kwa kina. Yaani hapa kwenye mahojiano ndipo watakata mzizi wa fitina. Wale jamaa Wana ujuzi sana. Kama umehusika watajua tu kwenye majibu yako. Hata kama utakataa watajua unaficha ukweli.

Mbali na mbinu za mbinyo, mtu mwenye hatia akihojiwa huwa hawezi kuficha hisia za hatia. Hata iweje. Binadamu tumeumbwa kusema ukweli, ukisema uongo utajulikana tu.

No hakuna ugomvi wowote let's say kama ni wapenzi mkuu...!
 
Aisee inahitaji moyo kiongozi ila sidhani bado kama wataweza kukuacha kirahisi mkuu.
Ts the best option maana huwezi sema amekufa sababu kuna vigezo huangaliwa ili kusema mtu amekufa.

maelezo lazima utatoa ndio ila utakuwa kwenye nafasi nzuri ya utetezi kuliko wewe ukiwa umetoa taarifa kuwa amekufa maana swali la kwanza ni ulijuaje kuwa amekufa na hilo swali si jepesi hata kidogo.

Kumbuka watu kutoa maiti chumbani kwako kwenda mochwari ni hatari zaidi kuliko kuitoa hospitali kupelela mochwari.
 
Unaweza ukaplay as a good guy au a bad guy

Ukiamua kuplay good guy, umeamka asubuhi ukagundua mgeni wako kafa, anza kutoa taarifa kwa majirani zako kisha uongozi wa mtaa au kijiji chako. Polisi watataarifiwa, watauchukua mwili na wewe watakuchukua, utahojiwa, utalala selo kidogo wakati majibu ya postmortem yakisubiriwa, kisha mwili utakabidhiwa kwa familia yake kwa ajili ya maziko, majibu yakionesha kifo kilikuwa ni cha kawaida, utaachiwa huru, majibu yakionesha alikabwa, alipigwa na kitu kizito mwilini, au alilishwa sumu, bado utaendelea kushikiliwa na unaweza kufunguliwa mashitaka ya kuua kwa kukusudia, hutapata dhamana, utaendelea kusota mahabusu, mashahidi wa upande wa jamhuri watamiminika mahakamani kukukandamiza, hatimae utapewa nafasi ya kujitetea, kama utakuwa huna mwanasheria na haujajipanga vizuri katika utetezi wako, mahakama itakukuta na hatia na unaweza ukahukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Ukiamua kuplay bad guy, umeamka asubuhi ukagundua mgeni wako kafa, usiruhusu wenge likutawale, kuwa jasiri, vaa gloves, kama huna kanunue uvae, chukua simu yake usiizime, ya kwako acha nyumbani, nenda nayo mbali kabisa, kama upo dar nenda hata chalinze huko, itoe line, batterry, vitupe mtoni. Rudi dar, kanunue gunia, ushajua la kazi gani eee, ucjali, kila binadamu ana dirty mind, kama una usafiri safi, kama huna azima wa mtu, hakikisha hajui unamuazima kwa kazi gani, hili sio suala la kumshirikisha yoyote, pia hakikisha gunia unalifunga vizuri halitoi picha ya kilichomo ndani. Subiri usiku sana, nenda masafa ya mbali kabisa tofauti na yale uliyotupa simu, liache gunia mafichoni, rudi endelea na mishe zako, waliomuona mgeni nyumbani wakikuuliza unawajibu simple tu, ameshaondoka. Mwili ukipatikana na baadhi ya marafiki au ndugu zake wanaojua ukaribu wenu wakikutafuta kukupa taarifa, onyesha kusikitishwa lakini usiende msibani wala mazishini, jitie ugonjwa baki nyumbani.

Usiombe yakukute, muhimu kama umepanga, ukipata mgeni mtambulishe kwa mwenye nyumba au hata majirani zako, kama nyumba ni yako mtambulishe kwa balozi wa mtaa(ingawaje mazoea haya wengi wetu hatuna), kumtambulisha kunasaidia kuleta picha kuwa hukumuita kwako kwa nia ovu. Epuka kuongea kwa sauti kubwa na mgeni wako, majirani wakisikia wanaweza wakahisi mlikuwa na ugomvi, na hivyo kuhisi ndio sababu ya kifo chake.
 
Hizo zisikie tu, kuna kipindi nilikuwa nasikia "kusaidia polisi kufanya uchunguzi" nikawa najua na wewe unapewa vitendea kazi kama askari unaingia field kutafuta ushahidi, walivyonipiga pingu na makofi mawili matatu ndio akili ikaelewa maana yake halisi

Hahahahah pole sana mkuu.
 
Back
Top Bottom