Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
[emoji3][emoji3] ukweli na uwaziNimekupa like japo sikupendi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3] ukweli na uwaziNimekupa like japo sikupendi mkuu
Unafungwa jela maisha hadi hapo itakapothibitika huna kosa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chukua hiyo maiti ukaitupe mtoni kabla haijaanza kutoa harufu. Utakuja kunishukuru
Point.Kikubwa ni kumuomba MUNGU kila siku akuepusha na majaribu ya namna hiyo..
Chukua hiyo maiti ukaitupe mtoni kabla haijaanza kutoa harufu. Utakuja kunishukuru
Na ukifanya masikhara utasikia kafia mikononi mwa polisiUtashikiliwa huku ukihojiwa kwa upelelezi ili ijulikane sababu ya kifo chake.
Kama unavyojua unaelewa polisi wetu wakati wa kumhoji mtuhumiwa 😄
Kwanza umemuua lini huyo rafiki yako, na unaishi maeneo gani hapa mjini?Heshima kwenu wakuu.
Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?
Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
Hapo ndo litakamilika lile neno la siyo Kila alie jela ana hatia yani kwa kifupi unafungwaHivi kwa mfano kama huyo mtu akawa njiani huko alikula kitu kisichofaa (poison) na safari yake ya mwisho ndio akaja "ghetto " na akarudisha namba. Uchunguzi ukionesha kuna viambata hatarishi mwilini mwake, je hali itakuwaje kwa mwenyeji?
NB: siku hizi watu wanabugia tu vitu hovyo hovyo barabarani, mara madawa ya asili, mara supu+juice na dawa nyinginezo na vinywaji nishati. Vitu hivi ni hatari sana kwa afya na vikimuondoa mtu lazima viache trace tatanishi.
✔✔Tukio kama hilo likikutokea kimbiza maiti hospitali wao ndo wakueleze kuwa amekufa maana wewe huna vipimo vya kuhitimisha umauti. Mengine yatafuata baada ya kuambiwa kuwa amekwishakufa na wewe ukalia kwa kujitupa tupa ardhini. Unaweza kuepuka usumbufu mwingi sana kwa hako kaigizo.