Wakuu huu usajili wa Wasafi Festival sijauelewa

Wakuu huu usajili wa Wasafi Festival sijauelewa

Mkuki wa nguruwe hahahahahaha, ndo nakatafakari kale ka kauli ka "BILA M 10 SIFANYI SHOO" haya thatha hao unaowafanyisha shoo unawapa hiyo m 10 ili scope ya burudani ibadilike..huhuhuhuhuhu
Eyes are mine...
 
Mkuki wa nguruwe hahahahahaha, ndo nakatafakari kale ka kauli ka "BILA M 10 SIFANYI SHOO" haya thatha hao unaowafanyisha shoo unawapa hiyo m 10 ili scope ya burudani ibadilike..huhuhuhuhuhu
Eyes are mine...
Teh teh ngoja lawama zianze kwenda upande wake...
 
Basi acha kulialia na bora ukae kimya
Sijalia mkuu..ni kwamba usajiri wao sijauelewa!! Ulitaka hili lisisemwe...mbona fiesta walileta wasanii wa ajabu show ya mwanzoni pale Moro na watu waliandika humu...
 
Wasani wa wasafi tu wanatosha kwa festival yote .. ao wengine ni waziada mwanzo huuu acheni paniki ...sasa sijajuwa festival ya kibakuli itaitwa kibamia festival ao hahahaha
unajitekenya unacheka mwenyewe.....hakuna bestmale duniani au unapumuliwa
 
Sio bure, vinginevyo hatumii kichwa chake kutafakari
 
Wasafi wangeweza kufanya show yao bila hata kuongeza wasanii wengine! Ila walichofanya ni kutambua kazi za wasanii wengine ambao kwa muda mrefu wameendelea kutopata heshima inayostahili kwa sbb CMG iliamua kuwagawa wasanii!! Hata Fid Q ni mmoja wa wasanii waliobaniwa sana na CMG hila alipigana vita vya pekee yake mpaka jamaa wanazuga kama hawakumbuki.!!
wacha nisikilize kwanza anti virus ya vinega
 
Mleta Uzi ana roho ya kishirikina...uchawi wake unaonekana waziwazi hapa
 
Hawa jamaa naona promo zao zimejaa vijembe vya kila aina huku wakiongozwa na boss wao, jambo ambalo sijaona umuhimu wake maana muziki ni burudani na sio vita...

Wanajitutumua kusema ni mapinduzi ya burudani mara sijui nini...hapo nikasema ngoja nifatilie list ya wasanii nje na wao..aisee nimekuta vituko huko!!

Humo kuna akina Dudubaya ambaye hajulikani hata anaimba nn zaidi ya kupayuka Konki konki....nao wameona akina Chiny beez, moko na stereo ndio wasanii wa kufanya mapinduzi wanayohubiri...

Nyie jamaa sajirini watu wa kueleweka tutawaunga mkono na sio kutuleta akina One Incredible na Khadija Kopa ambao munawalipa laki mbili mbili...
Yawezekana post yako ilikuwa sahihi sana lakini pale uliposema tu chid benz sio msanii wa kuelweka nikakupuuza moja kwa moja
 
Hawa jamaa naona promo zao zimejaa vijembe vya kila aina huku wakiongozwa na boss wao, jambo ambalo sijaona umuhimu wake maana muziki ni burudani na sio vita...

Wanajitutumua kusema ni mapinduzi ya burudani mara sijui nini...hapo nikasema ngoja nifatilie list ya wasanii nje na wao..aisee nimekuta vituko huko!!

Humo kuna akina Dudubaya ambaye hajulikani hata anaimba nn zaidi ya kupayuka Konki konki....nao wameona akina Chiny beez, moko na stereo ndio wasanii wa kufanya mapinduzi wanayohubiri...

Nyie jamaa sajirini watu wa kueleweka tutawaunga mkono na sio kutuleta akina One Incredible na Khadija Kopa ambao munawalipa laki mbili mbili...
Kwa akili yako wakueleweka ni kama akina nani vile!?
We nawe umejaa vijembe na majungu ya kike tu, empty kabisa!
 
Kwa bongo hakuna wasanii wanao trend kuzidi wa wcb, pia ongezea na Navy kenzo, ni hatar sn
 
Back
Top Bottom