Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Kisa elfu 3, Kweli zinaa na haramu na ni hatari kwa Afya zetu PIA
 
Wewe na yeye nyote mpo sawa tu.
Xa-sasa
Ahsuhui-asubuhi


Sijaiona sababu ya kuja kumfungulia huyo mwanamke uzi huku jf mbaya zaidi na kuiweka picha Yake.hufai kuwa mwanaume wewe jamaa kabisa..

Ulishindwa kumwambia sina au ukamkalia kimya?hujawai kumsaidia mtu njiani usiyemsaidia zaidi ya hiyo pesa uliyoombwa?
Unaroho mbaya sana mkuu.wewe fukara wapesa na roho pia.kwaufupi wewe ni mchoyo

Mpuuzi sana wewe mleta uzi
 
Duh buku 3 imekufanya uandike yote hayo na picha juu, Na jina la mhusika kabisa, Edda mkama
 
Ni kweli aisee,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ushaona kabisa anaandika xaxaxaxaxa achana nae
 
Mkuu fanya unirushie namba yake pm!

Nipo juu ya mawe lakini buku 3 ipo ndani uwezo wangu.
 
Nakazia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hebu toa hiyo picha sio vizuri kuweka picha yamtu bila ridhaa yake tafadhali mode hebu ondoeni hiyo km mtu anamjua rahisi kumtambua.

Ww unaombwa ela ndogo unamuanika mtu fala kweli ww demu km humtaki piga chini endelea naharakati zako.
 
Binafsi nikiwa na pesa kuna kiasi cha pesa natoa bila kunung'unika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…