Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Sasa hzo mbovu! Itafune kimya kimya watu wasijue unampanga hata tayar na mke wangu...siku ukipata kali unahamisha majeshi jumlaTatzo wankuja wabovu π
Ikijijua ni mbovu, itakung'ang'ania sana; kila wakati atakuwa anatuma ujumbe, vipi umekula π πSasa hzo mbovu! Itafune kimya kimya watu wasijue unampanga hata tayar na mke wangu...siku ukipata kali unahamisha majeshi jumla
Ila bado wanapiga mizinga, unaweza kusema umepata kumbe umepatikanaWasemee kwa mama yako.Wanakufundisha tabia mbaya.
Tatzo wankuja late...namaanish unapoingia kweny relationship ndo utaona pis Kali zinajsogezaNi swala la muda tu,wazuri nao watakuja
Mwanaume hatazamwi kwa picha, bali swaga ndio zinawachanganya waremboTukuone basi wenda na sie tukaomba namba πππ
Mwambie mkeo wangu yupo likizo ya uzazi anaweza akaja kama surprise apunguze ujinga....sema hawa wa kawaida wanajituma ππποΈποΈIkijijua ni mbovu, itakung'ang'ania sana; kila wakati atakuwa anatuma ujumbe, vipi umekula π π
Kila wakati anakuuliza kama umekula?Toroka.Kimbia huyo kiumbe.Ni kikosi maalumu katumwa kukufuatilia uleule,uvimbiwe hadi ufe.Mission accomplished!Ikijijua ni mbovu, itakung'ang'ania sana; kila wakati atakuwa anatuma ujumbe, vipi umekula π π
Wanakuwa wametathmini uwezo wako kupitia kwa uliyenaye; wengi wanaokuja kwa nyakati hizi ni wasaka fursaTatzo wankuja late...namaanish unapoingia kweny relationship ndo utaona pis Kali zinajsogeza
Wanaweza wakakuendea kwa babuMwambie mkeo wangu yupo likizo ya uzazi anaweza akaja kama surprise apunguze ujinga....sema hawa wa kawaida wanajituma ππποΈποΈ
Wengi hawana hzo mbishe, wachawi ni Hawa team shanga na makucha mareefuWanaweza wakakuendea kwa babu
Mi naona kama ni mbovu, bora usionje kabisaKila wakati anakuuliza kama umekula?Toroka.Kimbia huyo kiumbe.Ni kikosi maalumu katumwa kukufuatilia uleule,uvimbiwe hadi ufe.Mission accomplished!
Kumbe una dharau namna hiiMara kadhaa kwangu imenitokea, nikahisi labda kwa sababu ya wao kuwa wengi, na soko kuchuja.
Ulishawahi kujiuliza kwa nini nyakati hizi, unaweza kukuta mwanamke ana miaka zaidi ya 35 na hana ndoa?Kumbe una dharau namna hii
Sijui kwanini mkuu?Ulishawahi kujiuliza kwa nini nyakati hizi, unaweza kukuta mwanamke ana miaka zaidi ya 35 na hana ndoa?
Ww ujue utawaponza wenzio watukanwe pindi wakijirahisisha ili wapewe namba ooh ππππ π π siwapi namba
[emoji28][emoji28][emoji28]ndio maana wanakwambia pesa sabunii ya roho ,na pesa ukiipata hajifichi na una ng'aa km ua lilonawiri na nyuki lazima waje watue hapo kakaInakera sana nyakati una upwiru huna hata kumi account huwaoni ukianza kuonja pesa mbili tatu unashangaaa unakutana nao tu hata huelewi wametoka wapi na wengi beki hazikabi
Sijui kwanini mkuu?