Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #61
Sifa ya mwanaume ni kutafuta, na si kujirembaAcha kujichumbua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa ya mwanaume ni kutafuta, na si kujirembaAcha kujichumbua tu
Ulishakutana na hiyo hali?
Sorry beki hazikabi ndo nini?Inakera sana nyakati una upwiru huna hata kumi account huwaoni ukianza kuonja pesa mbili tatu unashangaaa unakutana nao tu hata huelewi wametoka wapi na wengi beki hazikabi
Ni sawa na Ukiwa Singo hupati kabisaa.... Na ukipata ni wabovu wabovu, Uwe kwenye mahusiano sasa utashangaa wankuja wengi mpaka unasema kwani walikua wapi Kipindi Nikiwa singo na wanakuja wakali kumzidi uliyenae ilimradi u cheat ushikwe urudi kuwa singo.Inakera sana nyakati una upwiru huna hata kumi account huwaoni ukianza kuonja pesa mbili tatu unashangaaa unakutana nao tu hata huelewi wametoka wapi na wengi beki hazikabi
Naskia ukioa unaanza unaanza kukutana na wanawake uliokua unawish kua naeNi sawa na Ukiwa Singo hupati kabisaa.... Na ukipata ni wabovu wabovu, Uwe kwenye mahusiano sasa utashangaa wankuja wengi mpaka unasema kwani walikua wapi Kipindi Nikiwa singo na wanakuja wakali kumzidi uliyenae ilimradi u cheat ushikwe urudi kuwa singo.
Yaan hawakatai ni ww tu, unajipakulia minyama tuSorry beki hazikabi ndo nini?
Nilitaka tumuone kwanza kabla ya nambaChukua ya kwangu huyo hatoi namba
Ahaa sawa. Kuna mwingine unakuta ni mzuri, Mweupe, ana tako, ila ukimwimbisha anakubali siku hiyo hiyo.Yaan hawakatai ni ww tu, unajipakulia minyama tu
Stuka mazee ni mtego huoAhaa sawa. Kuna mwingine unakuta ni mzuri, Mweupe, ana tako, ila ukimwimbisha anakubali siku hiyo hiyo.
Kwanini tenaStuka mazee ni mtego huo
Hawezi kua na vigezo vyote afu ukamla kirahisKwanini tena