Daa umenikumbushaa mkuu daladala ya tabata to kawe natokea tabata cku ya jtatu mida ya saa sabaa mchana naelekea mwenge nimekaa cty ya nyuma kabisa pekee yangu gari inatembea km unavyojua mchana hkn abiria wengi ,mara Kuna dada alikuwa Kaa cyt ya mbelee akahamia cyt ya nyuma nilipo hapo abiria tupo km sita tu hv ,alipoka akanipa hi .nikaitikia kalikuwa kazuri tu alafu kamevaa kapendeza Kwa kujisitiri ..bac bhana kakaniambia samahan ,unaitwa nani ,nikamdanganya jina ,NAMI nikamuuliza jina lake akaniambia,bac bhana akaniambia km utojali (uku akitaja jina nililomdanganya )naomba namba yako ntakutafuta maana nashuka kituo kinachofata [emoji28][emoji28] nikajisemea huyu c malaya wa tabata kwel lkn nikampaa kilichofataa baada ya nambaaa..............!!!
Ni vilee n Mzee wa kataa NDOA tu ,lkn atakae kuja kuoaa aiseee aiseee atakuwa kapata mke haswaaaa..k yk na ipa alama A,Kwenye mapishi alama A,usafi wa jumla alama A ,upendo na ukarimu A , kumcha MUNGU alama C maana bd anazin ila akipata mume sahihi atapata alama A ..labda shetan ambadilisheee ..