Wakuu, mlishakutana na hii hali?

Jibu, wanaume halisi wenye sifa za kuoa ni wachache, na wengi waliopo tayari walishaoa; na hii imepelekea wanawake wengi kubaki bila kuwa na wenza wa kudumu, kwa sababu mwanaume mmoja anaweza kushea wanawake 6+ ila aliyemuoa ni mmoja tu.​
Sahihi Kabisa
 
We mpumbavu jana usiku umetupigia kelele na demu wako wakati mnanyanduana kumbe demu ndiyo alikutongoza
Pambana na hali yako chakubanga wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
We mpumbavu jana usiku umetupigia kelele na demu wako wakati mnanyanduana kumbe demu ndiyo alikutongoza
Pambana na hali yako chakubanga wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukitumia nguvu nyingi kusikiliza hayo makelele; mwili unanyong'onyea πŸ˜€ πŸ˜€
 
Mapua yao hua yananusa pesa za mavuno zikisha ingia mifukoni hua hawako mbali Sana hata kama wewe sio mtu wa bata kabisa
 
Huyo shoga! Siku hizi uwezi tofautisha demu na shoga! Wote wanafanana kwa kujidunga sindano za hormone! Ingia naye geto uone atakavyokugeuzia kibao!
 
Namba yake tafadhali ili timu kubali ndoa nijiridhishe na maelezo haya.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…