Palmoni
JF-Expert Member
- Jun 13, 2024
- 1,968
- 3,760
Kumpenda nampenda,,,na kama Kumliza,,Amin!,nitamliza Kwa Furaha.Na umpende kweli usije kumuumiza Lee wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumpenda nampenda,,,na kama Kumliza,,Amin!,nitamliza Kwa Furaha.Na umpende kweli usije kumuumiza Lee wetu
Mtoe tu moyoni utaumiza kichwa bure. Be strong to handle this. Potezea mdogo wangu ni kweli maudhi ni lazima yatakuja tuDah ht cjui kwann amenikaa moyoni
Kunayo shida turekebisheNdogo sana
Pole sana , shida imeleta matatizo..🤔🤔...MMungu akusimamie na uwe na imani,utashinda!Amen 🙏 🙏🙏,.
Naomba niwajibu tu wote kwa pamoja maana nikisema zote mojamoja nitakesha,.
Niliweka uzi humu kua nimeumwa sana Malaria and for almost miezi inaenda minne sasa tangu dawa na sindano za malaria ziniaffect masikio pamoja na uono hafifu,.
Tulipambana sana walau jicho moja liko vizuri kabisa lakini moja ndio halioni pamoja na masikio hayasikii kabisa,.
Nimefanya vipimo vyote,. Baadhi ya mishipa ya fahamu ya macho na masikio imezibwa na ukungu,.. Inabidi izibuliwe
Kwa waliouliza Hospitali ni Hospitali ya private
Hebu niache kwanza tusubiri kesho panapo majaaliwa leejay atoke salama huko hospital,Kunayo shida turekebishe
Mbn unamkwepa mwamba 😂😂Hebu niache kwanza tusubiri kesho panapo majaaliwa leejay atoke salama huko hospital,
Hiyo post hujaielewa au? Huu uzi hauhitaji hicho unachokitakaMbn unamkwepa mwamba 😂😂
God take over 🙏
😂😂😂Mungu awe pamoja na wewe madam wangu ...
Yaani hii taarifa ndo napata mda huu daaaah am so sad..
Utafanikiwa tu dua zetu...
Daaah hayo mambo ya vocha nilikosa kabisaaa😂😂😂
Ulishiba vocha Kijana?
Kani bless 1GB kabisa halafu kesho anaingia theater 😔😔😔Daaah hayo mambo ya vocha nilikosa kabisaaa
Mungu atamsaidiaKani bless 1GB kabisa halafu kesho anaingia theater 😔😔😔
Sawa atatoka salama kabisa ila unatakiwa tulubadirishe ww unatakiwa uje na challenge ya kununulia watu luku au kulipa bili za majiHebu niache kwanza tusubiri kesho panapo majaaliwa leejay atoke salama huko hospital,
Amiiin🧎🏿♂️🙏Mungu atamsaidia