Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UtaponaHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Pole sana mkuuHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Yani unaota 🤣Sawa atatoka salama kabisa ila unatakiwa tulubadirishe ww unatakiwa uje na challenge ya kununulia watu luku au kulipa bili za maji
Au tukutafutie kibenten ukilee iwe kama mazoeziYani unaota 🤣
huo moyo sina tena sijui kibenten yeleuwiiii ndo kabisaa, atakufa kabla wiki haijaishaAu tukutafutie kibenten ukilee iwe kama mazoezi
Utafanya kwa lazimahuo moyo sina tena sijui kibenten yeleuwiiii ndo kabisaa, atakufa kabla wiki haijaisha
Mapenzi yake yakapate kutimia juu yako mkuu.Habari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Labda mnifunge kamba😅Utafanya kwa lazima
Unabid umpe hadi kadi ya bank kama unayo kama huna kibubu unampa akutunzieLabda mnifunge kamba😅
Nikifikia hapo mniueeee😂😂Unabid umpe hadi kadi ya bank kama unayo kama huna kibubu unampa akutunzie
God bless you our dear friendHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Embu lala tumuombee nduguu yetu Yesu amtetee keshoNikifikia hapo mniueeee😂😂
Nalifanyia kaziHii ni fairwell thread. Kapeace na Mwachiluwi nendeni Chitchat tuna huzuni na Mpendwa wetu. Leejay49