Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyezi Mungu akujalie kupona kwa haraka na kukupa afya njemaHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Tatizo ishu n serious afu yeye anaanza kuleta lawama mapema, n bora angetag mara ya kwanza afu akiona kimya ndio aandike hvy alivyoandika.usilibebe moyon acha lipite siku yako isiharibike ndugu
Usijali mkuu walimwengu ndivyo tulivyo"lawama nyingi" me enyewe taarifa nimeona baada ya wewe kuposti kule ndio nikaja. Usijali wala..... puuzia tuTatizo ishu n serious afu yeye anaanza kuleta lawama mapema, n bora angetag mara ya kwanza afu akiona kimya ndio aandike hvy alivyoandika.
Sema ukweli kaniboa sana
Niwie radhi lakini muda ule bantu katupia vocha hukuwa online? Basi nilimaanisha hao jina lako na vice ni mepesi ndo maana nikawatag na kampuni yoteDada unakosea sana kusema tunatia aibu, ilipaswa ututag tuu inatosha mana mm ndo nmeona huu uzi muda huu ht ulivyonitag sikuona
Bora mie kuliko wewe mnafikindio walimwengu hao wazee wa kosa moja
Nikiwa kwenye ule uzi hua siangalii notification mana najua nyingi zinakuwa za Likes za ule uzi, na hata kama nngeona ulivyonitag muda huo huo ilikupasa uandike kistaarabu tuu, lkn ww tag hy hy ya kwanza lkn tayr unaongea mbovu.Niwie radhi lakini muda ule bantu katupia vocha hukuwa online? Basi nilimaanisha hao jina lako na vice ni mepesi ndo maana nikawatag na kampuni yote
Lakini dada ni km mama wa kambo haya mje tumfariji mrembo wetu si unaona km anaogopa op hivi,
Soma zaburi 46 yoteHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
OkNikiwa kwenye ule uzi hua siangalii notification mana najua nyingi zinakuwa za Likes za ule uzi, na hata kama nngeona ulivyonitag muda huo huo ilikupasa uandike kistaarabu tuu, lkn ww tag hy hy ya kwanza lkn tayr unaongea mbovu.
Usiwe hvy aisee, binafsi umeniboa sana.
hongeraBora mie kuliko wewe mnafiki
Asantehongera
Samehe MkuuTatizo ishu n serious afu yeye anaanza kuleta lawama mapema, n bora angetag mara ya kwanza afu akiona kimya ndio aandike hvy alivyoandika.
Sema ukweli kaniboa sana
Dah ht cjui kwann amenikaa moyoniSamehe Mkuu