ngulyabhule
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 226
- 377
Amiiin! Nakuomba PM mama samahani lakini nina jambo linanitatiza!In Shaa Allah utakuwa salama salmini. Usiwe na shaka kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amiiin! Nakuomba PM mama samahani lakini nina jambo linanitatiza!In Shaa Allah utakuwa salama salmini. Usiwe na shaka kabisa.
Usiogope, Mungu yu nawe,Habari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Watu wa vocha wakijifungia kwenye uzi wao hata kinachoendelea huku nje hawataki kujua😂Niwie radhi lakini muda ule bantu katupia vocha hukuwa online? Basi nilimaanisha hao jina lako na vice ni mepesi ndo maana nikawatag na kampuni yote
Lakini dada ni km mama wa kambo haya mje tumfariji mrembo wetu si unaona km anaogopa op hivi,
Na feel what you feel pole Sanaa mwenyezi Mungu akujalie kwa uwezo wa mwenyezi Mungu.Habari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Pole sana Ndugu Mungu akufanyie wepesi ktk ugonjwa huo.Habari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Pole sana tajiriHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Nilikuwa sipo online kaka ila mungu amfanyie wepesi dada Leejay49 atapata baraka na atatoka salama hospital Amin🤲🤲🤲🙏Vincenzo Jr hadi muda huu hujafika hapa kutoa pole
Mingu akusaidie operation iende salama na upone kwa haraka.Habari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo[emoji120][emoji120][emoji120]
Oparesheni ni sehemu ya tiba Sasa wewe unaogopa nini?Habari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Wana roho mbaya kunizidi hata mimiWatu wa vocha wakijifungia kwenye uzi wao hata kinachoendelea huku nje hawataki kujua😂