Wakuu Msaada: Biashara haiendi ghafla, nifanyeje?

Lazima kuna kitu kimabadilika ghafla ambacho mwanzo hakikuwako katika biashara na sasa kimekuwako.

Hizo superstitious beliefs zako weka kando kwanza anza kutafiti kisayansi ni mambo gani yamefanyika ndipo utapata jawabu.
 
Lazima kuna kitu kimabadilika ghafla ambacho mwanzo hakikuwako katika biashara na sasa kimekuwako.

Hizo superstitious beliefs zako weka kando kwanza anza kutafiti kisayansi ni mambo gani yamefanyika ndipo utapata jawabu.
Nimeuchukua ushauri wako ,Mimi Huwa naendapo Mara Moja Moja sana, na huyu Bidada ni mbishii mnoo.


Nitakwenda Mwenyewe Mkuu.
 
Acha mawazo yasokuwepo Mkuu.


Ni Duka nilolifungua mwenyewe Kwa Pesa yangu Kwa ajili ya Mwanamke niliyezaa naye mtoto kuepusha usumbufu wa Mizinga ya Mara Kwa mara Kwa kigezocha mtoto


Kwahivo Ni Duka langu,hapohapo ni Duka la Bidada wangu.
 
Kwa kifupi tumepigwa bakora , kamba na chai kwa wakati m'moja. Lo lo lo lo lo lo lo jamani.
 
Mkuuu umelogwa ww kaa chonjo aseeeeeeeeeee.

Hiyo ishawahi mtokea ndugu yangu hiyo elf 10 uliyotoa ni chuma ulete nakupa week 3 hesabu hiyo ni hasara tupu
Ndo namm nmehisi, Sasa Ananipigia analia kwelikweli, nmemuambia wachanitafute mbinu mitandaoni
 
Hivi kuna uhusiano gani ya chumvi ya mawe na mambo ya giza?!

Anayejua anijuze maana kuna shangazi yangu ukienda kuzoa chumvi aliyomwaga kwenye nyumba yake unaweza kupata gunia tatu za kilo 100.
Ina ondoa negative energy
 
Bidada wangu anawaamin hao akina Mwaposa, na kipindi kaja Mkoan kwetu, alinunua Katoni la maji na mafuta chupa Tano.


Kwamwaga wee wapi !!.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€kama ni mkatoliki kachukue yale ya kanisani
 
Shukrani Mkuu, Ahsante Kwa kunikumbusha hili, ninachompendea zaidi huyu Mwanamke ,ni mwenye huruma sana, anasaidia wahitaji, nahisi Kwa Hilo ndio linafanya anaumizwa.

Siunajua Binadam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…