Ungelikua unamtegemea Yesu huyu tunayemjua wala usingekuja hapa ungemwambia huko sirini. Hakika hutauza kwelikweli mpaka umtegemee ipasavyoKwa Sasa niliamua Kumtegemea Yesu, masuala ya waganga niliachana nayo Toka kile kipindi Cha Jaji na Kesi yetu ya Shamba.
Ila nahitaji Mbinu mnazotumiaga kuondoa mabalaa kama haya Kwenye Biashara zenu
Mpigie simu muelezee haya, mwambie akuombee na dua....mtumie na viefkadhaa vya soda afurahi.....hakuna uchawi unaofanya Kazi mbele ya dua ya mama.Hamna kama Mama, Mama yangu Nampenda.
maji na chumvi vina maajabu gani ?Nampotezea wapi
Mshauri basi mwanao ...Mama ni mama tu haichuji thamani yake, iwe wako au mwenzako.
Tuanzie hapo, hilo fungu la kumi ukitoa kanisani anayelichua na kunufaika nalo nani? Ukinijibu na mimi naanza kutoaKiukweli mkuu kama kweli umesema unamtegemea yesu embu soma hapa
Malaki 3:8_9
Malaki 3:10
Mimi nina ushuhuda wa mtu ninayemfahamu alikuwa ni boss wa duka la nguo za kiume kama biashara YAKO, akawa amesafiri kaachia mfanyakazi jamaa alikuwa ni lazima atoe fungu la kumi yule mfanyakazi akapewa maagizo mauzo yote kwanzia j3 mpaka jmosi piga hesabu ya faida nipe nitoe fungu la kumi baada ya kusafiri yule mfanyakazi akawa hafanyi hivyoo wee alikaa wiki 3 mfululizo ajauza na watu wanaingia KWA nadra sana dukani na boss hana habari yyte maana anajua fungu la kumi jumapili lazima ipelekwe na mfanyakazi kumbe hafanyi hivyo alirudi akamsimamisha KAZI alivyoanza tu kutoa fungu la kumi mambo yakawa safi, nimekujibu kutokana na umesema kwamba unamtegemea yesu japo kuna wengine hawaamini haya mambo jaribu kumtolea MUNGU
Si ndiyo nawashauri hivyo.Mshauri basi mwanao ...
Uweke basi huo ushauri hapa ili na sisi tujifunze.Si ndiyo nawashauri hivyo.
Mshika mawili moja humponyoka.Kwa Sasa niliamua Kumtegemea Yesu, masuala ya waganga niliachana nayo Toka kile kipindi Cha Jaji na Kesi yetu ya Shamba.
Ila nahitaji Mbinu mnazotumiaga kuondoa mabalaa kama haya Kwenye Biashara zenu
Kama wewe ni muislamu fungu la kumi utapelekea wapi na pia ni lazima iwe jumapili? Hilo fungu ni wakristo tuu au ni kwaajili ya wakristo vp kama huyu mtu muislamu utamsaidiaje? Utamshauri vp manake wafanyabishara wengi tunatokewa na hiki kitu.Kiukweli mkuu kama kweli umesema unamtegemea yesu embu soma hapa
Malaki 3:8_9
Malaki 3:10
Mimi nina ushuhuda wa mtu ninayemfahamu alikuwa ni boss wa duka la nguo za kiume kama biashara YAKO, akawa amesafiri kaachia mfanyakazi jamaa alikuwa ni lazima atoe fungu la kumi yule mfanyakazi akapewa maagizo mauzo yote kwanzia j3 mpaka jmosi piga hesabu ya faida nipe nitoe fungu la kumi baada ya kusafiri yule mfanyakazi akawa hafanyi hivyoo wee alikaa wiki 3 mfululizo ajauza na watu wanaingia KWA nadra sana dukani na boss hana habari yyte maana anajua fungu la kumi jumapili lazima ipelekwe na mfanyakazi kumbe hafanyi hivyo alirudi akamsimamisha KAZI alivyoanza tu kutoa fungu la kumi mambo yakawa safi, nimekujibu kutokana na umesema kwamba unamtegemea yesu japo kuna wengine hawaamini haya mambo jaribu kumtolea MUNGU
Sawa mkuu ILA nadhani kasema anamuamini yesu sishani kama msikitini anahubiriwa yesu kristo tuliza akili usome tenaKama wewe ni muislamu fungu la kumi utapelekea wapi na pia ni lazima iwe jumapili? Hilo fungu ni wakristo tuu au ni kwaajili ya wakristo vp kama huyu mtu muislamu utamsaidiaje? Utamshauri vp manake wafanyabishara wengi tunatokewa na hiki kitu.
Sidhani kama wewe ndo uliyetoa Huu uzi nimemwambia na kalipokea KWA sababu anaamini katika yesu kristo, siwezi kusema lolote sijui kama unaamini katika yesu kristo kama mtoa mada alivyosema, baki njia YAKO na mtoa mada alikuwa very precisely ndio maana nikampa huo ushauri, kunufaika hakuwezi kukuhusu wewe ambaye sijui hata unaamini nn.Tuanzie hapo, hilo fungu la kumi ukitoa kanisani anayelichua na kunufaika nalo nani? Ukinijibu na mimi naanza kutoa
FANYA hivyo mkuu.Shukrani Mkuu, Ahsante Kwa kunikumbusha hili, ninachompendea zaidi huyu Mwanamke ,ni mwenye huruma sana, anasaidia wahitaji, nahisi Kwa Hilo ndio linafanya anaumizwa.
Siunajua Binadam.
Humu sio mahali pakeNi Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K
Kijana ananiambia Alikuja Jiran ( Jiran naye ana frame pemben ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu Toka hapo Hajauza .
Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo Biashara imesimama.
Wakuuu ,hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.
Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!!
Au niamin tu ni hali,,,, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.
Naondoaje Hili Jinamizi ?? ... Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za Hela .
( Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi, ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema Biashara yenyewe itafungwa tuu, Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi Hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi. ).
Hapo ndipo tatizo linapoanzia, naomba kifungu kinachoonyesha inabidi kuwapa fungu la kumi viongozi wa dini?Sidhani kama wewe ndo uliyetoa Huu uzi nimemwambia na kalipokea KWA sababu anaamini katika yesu kristo, siwezi kusema lolote sijui kama unaamini katika yesu kristo kama mtoa mada alivyosema, baki njia YAKO na mtoa mada alikuwa very precisely ndio maana nikampa huo ushauri, kunufaika hakuwezi kukuhusu wewe ambaye sijui hata unaamini nn.
Sijamaliza kusoma. Ila wewe unajifunza biashara. Utahanvaika sana, nami nafanya biashara kama yako. Bodo una safari ndefu hadi uijui hii biasharaNi Duka langu la Nguo , Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya , katika hali isiokawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya , nikiwapigia wateja wangu, Huwa Ndani ya Siku Mauzo nikaribuu 150K
Kijana ananiambia Alikuja Jiran ( Jiran naye ana frame pemben ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu Toka hapo Hajauza .
Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo Biashara imesimama.
Wakuuu ,hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.
Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!!
Au niamin tu ni hali,,,, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.
Naondoaje Hili Jinamizi ?? ... Ni Duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke ( Singo mama, nilizaa naye ) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za Hela .
( Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi, ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema Biashara yenyewe itafungwa tuu, Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi Hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi. ).