Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
League zimeisha labda kindege.. AviatorOdd 3 za uwakika 1.5m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
League zimeisha labda kindege.. AviatorOdd 3 za uwakika 1.5m
Nipo naisikiliza kwenye bufaHii ni fixed...
Kinachoponya imani si dini...🙏🙏🙏👊👊👊👊👊👊👊👊
Umetisha sana mkuu yaani kama umeijua hii chap hivi
Tushakua mabraza..😂😂 nimejiona nishakua mkubwa mkuu na mm namuita alieko chuo dogo 😂😂
Hapo ndo atajiua kabisaLeague zimeisha labda kindege.. Aviator
Unataka achanganyikiweLeague zimeisha labda kindege.. Aviator
Mara ngapi?Unataka achanganyikiwe
acha tu juzi nmemaliza form 4 leo nmekua age go 😂Tushakua mabraza..
Mitaa gani hiyo? Ya chizi Maghayo nini? Video yake iko wapi?Mitaa tunayotokea migumu..
Ukipigiwa makofi tu unalogwa
Tunakua miili tuacha tu juzi nmemaliza form 4 leo nmekua age go 😂
Lala wewee.acha tu juzi nmemaliza form 4 leo nmekua age go 😂
Nipe punch line moja ambayo umeikubali mkuuNipo naisikiliza kwenye bufa
Usilipe kila unakodaiwa hela kamiliNadhani naingia kwenye msongo wa mawazo, nahitaji neno la faraja kwenu wa TANZANIA wenzangu, ndugu, kaka, dada, mama na baba zangu.
Wakuu juzi, niliwashirikisha juu ya dhiki ya njaa Inavyotaka kuniua (mwezi wa nne sasa na kula mlo mmoja tu tena wakati wa usiku).
Sasa hapa nimemaliza Kuweka hesabu na bajeti vizuri juu ya boom ambalo linaweza kutoka kesho, kwa Kwel wakuu naona na kwenda kuwa kichaa mwenye msongo mkali wa mawazo.
Nikilipa ada na michango nayo daiwa hapa chuo, na Kodi napo kaa, pamoja na boom advance nabakiwa na elfu hamsini mbili tu. Hapa bado chakula na mahitaji sijanunua.
Wakuu, kama Kweli ni mateso nayapitia, pesa hii hata chakula cha kunifikisha mwezi wa Saba haitoshi.....
Bado assignment, wakuu kama Kuna legal au illegal issues yoyote mtu yupo nayo naomba anipe japo ni toke kwenye Hali hii ya maisha.
Sina ndugu wa kumlilia Hali anipe pesa, wote Hali ngumu maskini najua hata Wao wanatamani kunishika lakin Mambo ni mabaya.
Hapa kichwa kinauma, Sana.
Japo nasoma kwa bidii sana, na Matokeo yangu na mshukuru Mungu si mabaya Lakini ndugu yangu muda mwingine nashidwa.
Mungu ni saidie sana
nilale kwa raha gani mkuu...? labda bundle likate tu hapa natembelea rimLala wewee.
Kammon!
ila mashine haikui 😂😂 (in chid benz voice)Tunakua miili tu
Mtu anapotoa wazo Jaribu kufikiria kwa mtazamo chanya acha mawazo hasi ...Acha kujidekeza sheikh, upo chuo atleast hata una Imani, Kuna watu wapo mtaani wanapambana, kwa waliofanya kazi mgodini pamoja na ugumu wa kazi za Kule mbona Kuna vilema kibao wanafanya kazi mgodini, tena hii midogo midogo!!!
Boom sa ivi mnakula 10k per day, semester Moja unavunja 1.2 meals na accomodations, kwa mwaka 2.4 weka stationary 200k kama sikosei, field 620k hizo ni za kipindi chetu ukute mshapandishowa, Hio ni around 300k+ kwa Kila mwezi, Kuna walimu Wana mikopo wanapata chini ya Hio na bado Wana familia wanahuste, man up panga budget zako vizuri