Wakuu naombeni msaada, naona msongo wa mawazo una ninyemelea

Wakuu naombeni msaada, naona msongo wa mawazo una ninyemelea

Pole sana mkuu, kaza kiume huna washkaji/marafiki huko chuo? Au maisha yako ni mwenyewe mwenyewe tu na jf?

Kwa maisha ya chuo ni muhimu sana kuwa na wadau wako ambao ukikwama kabisa makulaji unawaibukia uwanja wa ugenini, lakini hakikisha nawewe usiwe mchungu ukiwa nacho. Hasa nyie wenye boom mnayo hiyo tabia sana ya kuona kama hiyo hela ndio kila kitu haiishagi kumbe sio.
 
Nyumban kwenu ww ndio mlezi na umekabidhiwa jezi na mchezo ujauelewa ..

Pole sana mkuu hakuna Hali inayodumu Kwenye maishà iwe nzuri au mbayà .naamin utavuka
Nyumbani kwenu we ndo mlezi,
Na ulipaswa kulelewa.
Ni ka umekabidhiwa jezi,
Na mchezo haujauelewa. Ulisahau second stanza.
 
Back
Top Bottom