Wakuu natafuta dawa ya kung'arisha meno

Wakuu natafuta dawa ya kung'arisha meno

Pain killer

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
14,361
Reaction score
21,680
Habari wakuu.

Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine.

Kama kuna dawa nzuri.

Msaada tafadhali.

1632298225230.jpeg

 
Habari wakuu.

Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine.

Kama kuna dawa nzuri.

Msaada tafadhali
Nenda ukasafishwe meno huwaga ni shi elfu 50 kama huna bima ya afya.
Ukitoka hapo meno yako utayapenda sana

Na pia acha kutumia dawa za meno ambazo hazieleweki pigia mswaki dawa ya SENSODINE utaona matokeo yatakavokuwa mazuri[emoji41]
 
Nenda ukasafishwe meno huwaga ni shi elfu 50 kama huna bima ya afya.
Ukitoka hapo meno yako utayapenda sana
Na pia acha kutumia dawa za meno ambazo hazieleweki pigia mswaki dawa ya SENSODINE utaona matokeo yatakavokuwa mazuri[emoji41]

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mimi huwa napigia SENSODINE halafu naenda zangu live band!🙂🙂🙂
 
Inapatikana wapi hii huduma ya kusafishwa?
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
 
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]

Nimekupenda bure mwaya.
 
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
 

Attachments

  • 7D4AAFD1-AFCF-4AD6-9CAA-C9D37AEBA16C.jpeg
    7D4AAFD1-AFCF-4AD6-9CAA-C9D37AEBA16C.jpeg
    93.6 KB · Views: 74
Back
Top Bottom