TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Naomba jina lake vizuri.jaribu hiiView attachment 1654850
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba jina lake vizuri.jaribu hiiView attachment 1654850
Weka picha ya Meno yavyoonekana kwa sasaHabari wakuu.
Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine.
Kama kuna dawa nzuri.
Msaada tafadhali
Njia rahisi na asilia... tumia Ganda la ndizi!!Habari wakuu.
Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine.
Kama kuna dawa nzuri.
Msaada tafadhali
Elite Dental clinic ni laki tisa arobaini nikawaambia isiwe tabuUliibiwa, nenda kadai hela yako kusafisha jino moja ni elfu 30? Wezi hao wakubwa
Ndizi mbichi au iliyoiva,na je unasugu na ganda upande wa nje au wa ndani ya gandaNjia rahisi na asilia... tumia Ganda la ndizi!!
Sugua meno baada ya kuvua ndizi.
India Google!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mweeeh hatareeeh[emoji16][emoji16][emoji16]
Ndizi iliyoivaa..chuichui au hata iliyotayari Kuliwa.. inatumika kusuguwa upande wa ndani ya Ganda.. humo Kuna mada yenye kunga'arisha kama silver!!Ndizi mbichi au iliyoiva,na je unasugu na ganda upande wa nje au wa ndani ya ganda
[emoji23][emoji23][emoji23] nitakuita uje ushuhudie mng'ao matataNdizi iliyoivaa..chuichui au hata iliyotayari Kuliwa.. inatumika kusuguwa upande wa ndani ya Ganda.. humo Kuna mada yenye kunga'arisha kama silver!!
Ntafurahi meno yaking'aa.. tuombe Nije kuhakiki..hahaha.
Shukran
Hahaha... hutayafikia meno yangu yalivyo peeee[emoji23][emoji23][emoji23] nitakuita uje ushuhudie mng'ao matata
We tulia hvyo hvyoHahaha... hutayafikia meno yangu yalivyo peeee
Hivi uislam haujakataza nini?Kwanza uislam umekataza kusugua meno kwa mkaa ,kama ww muislam ,usifanye hivyo,
Tunaomba picha ya meno yako kwa sasa,
Chukua jivu na dawa ya meno yeyote changanya pale unapotaka kupiga mswaki, utakuja kunishukuru japo inachukua muda
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Dini hiziKwanza uislam umekataza kusugua meno kwa mkaa ,kama ww muislam ,usifanye hivyo,
Tunaomba picha ya meno yako kwa sasa,
Chukua jivu na dawa ya meno yeyote changanya pale unapotaka kupiga mswaki, utakuja kunishukuru japo inachukua muda
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Hahaha.... nashukuru sijasugua kwa pilipili kichaaWe tulia hvyo hvyo
Kafanye teeth whitening bwana mdogo ukija town darisalade mamanzi watakuwa wanakushangaa tu na hizo gold slugs zakoHiki kitu siwez Fanya asee,,Naacha meno yangu yabaki na Golden Slugs OG kabisa,,Janjaroo alizngua kinyax kutoa Golden slugs
Bugando hicho kitengo kipo?Nenda hospitali kubwa kitengo cha meno ni huduma unapatiwa na ipo hata kwenya bima