Wakuu natafuta dawa ya kung'arisha meno

Wakuu natafuta dawa ya kung'arisha meno

Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti tangazo la white dent ,
 
Nenda ukasafishwe meno huwaga ni shi elfu 50 kama huna bima ya afya.
Ukitoka hapo meno yako utayapenda sana
Na pia acha kutumia dawa za meno ambazo hazieleweki pigia mswaki dawa ya SENSODINE utaona matokeo yatakavokuwa mazuri[emoji41]

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mkuu hii niliwahi kuifanya pale Ekenywa, niliitumia Cash na kama unavyojua pale ni hospitali binafsi, kusafisha jino moja ni elfu 30, nilisafisha sita ya juu ambayo ndio yanaonekana nikicheka.... Efficiency yake sio kihivyo mkuu, huwa yanatakata kama tatizo ni plaque, ila kama yameathirika ya fluoride kama ya sisi watu wa Kilimanjaro na Arusha ni ngumu kuwa meupe, kwa sababu tatizo fluoride inaathiri kuanzia ndani mpaka juu, so ile rangi ya meno ni kutoka ndani, hata likwanguliwe vipi haiishi zaidi ya kuondoa enamel na kukuacha na tatizo lingine.

Labda achague ile ya kuvalisha meno cape flani hivi(madaktari wa kinywa wanajua kitaalamu inaitwaje) mimi nilishauriwa kufanya hivyo gharama zikanishinda. Ni ghali mnoo,ila kama mdau mfuko wake uko vizuri aende hospitali yeyote yenye huduma ya kinywa na meno watampa gharama na watamfanyia vizuri
 
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
Nitajaribu kumuona huyu anipe msaada.

Maana hata mimi nasmile kwa kuvizia
 
Mkuu hii niliwahi kuifanya pale Ekenywa, niliitumia Cash na kama unavyojua pale ni hospitali binafsi, kusafisha jino moja ni elfu 30, nilisafisha sita ya juu ambayo ndio yanaonekana nikicheka.... Efficiency yake sio kihivyo mkuu, huwa yanatakata kama tatizo ni plaque, ila kama yameathirika ya fluoride kama ya sisi watu wa Kilimanjaro na Arusha ni ngumu kuwa meupe, kwa sababu tatizo fluoride inaathiri kuanzia ndani mpaka juu, so ile rangi ya meno ni kutoka ndani, hata likwanguliwe vipi haiishi zaidi ya kuondoa enamel na kukuacha na tatizo lingine.

Labda achague ile ya kuvalisha meno cape flani hivi(madaktari wa kinywa wanajua kitaalamu inaitwaje) mimi nilishauriwa kufanya hivyo gharama zikanishinda. Ni ghali mnoo,ila kama mdau mfuko wake uko vizuri aende hospitali yeyote yenye huduma ya kinywa na meno watampa gharama na watamfanyia vizuri
Ekenywa hao ni wapiga pesa hawana lolote maboyaa haooo wanakurundikia midawa mingii ili wapige pesa hospitali ya hovyo iyo na usikubali kwenda tenaa hapo kama unapenda maisha yako....hapo ekenywa dada yangu walimuover dose dawa kidogo tumkose mpaka tukawafungulia kesi.... Hapo wanautopolo tu hakuna kitu hapo
Hosp za serikali ni the best inategemea tu unaenda hosp gan kama hapo magomen nilipomuelekeza ni hosp ya serikali na uyo dr kobelo ni the best dentist kwa pale ana utaalam wa hali ya juu , anakuangalia meno yako anakushauri kwa post aliopost mtoa post hajasema kwamba meno yake ni ya dizain ya kina dogo janja ndo mana nikamshauri akasafishwe kama nilivosafishwa mimi its been 2 years now meno yangu yanang'aa yapo vizuri...
 
Kwanza uislam umekataza kusugua meno kwa mkaa ,kama ww muislam ,usifanye hivyo,

Tunaomba picha ya meno yako kwa sasa,

Chukua jivu na dawa ya meno yeyote changanya pale unapotaka kupiga mswaki, utakuja kunishukuru japo inachukua muda

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Namjua huyu dokta ni msela flani yuko poa sana, alinisaidiaga kupata meno mazuri ya bandia nilipopata ajari, tokea 2014 hayajanisumbua hadi leo, nilikua na namba yake nimeipoteza
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
 
Nilitakaga fanya hii nikashauriwa na baadhi ya wataalamu kuwa sio kitu poa sana...hope itakuwa heri kwako
 
Baking soda inasafisha sana meno
Chukua teaspoon nusu yake na maji kidogo sana kwenye kikombe halafu tumia brush kwa kupigia
Acha kama dakika 2 halafu sukutua rudia tena kesho yako
Achana na hospital ambapo watasafisha na kula hela tu
 
Namjua huyu dokta ni msela flani yuko poa sana, alinisaidiaga kupata meno mazuri ya bandia nilipopata ajari, tokea 2014 hayajanisumbua hadi leo, nilikua na namba yake nimeipoteza
Yes ni YEYE huyu jamaaa ana wito na meno aisee alafu hanaga hata tamaa ya kuomba rushwa ndo mana watu wengi wenye shida ya meno wanampenda!!
 
Mkuu hii niliwahi kuifanya pale Ekenywa, niliitumia Cash na kama unavyojua pale ni hospitali binafsi, kusafisha jino moja ni elfu 30, nilisafisha sita ya juu ambayo ndio yanaonekana nikicheka.... Efficiency yake sio kihivyo mkuu, huwa yanatakata kama tatizo ni plaque, ila kama yameathirika ya fluoride kama ya sisi watu wa Kilimanjaro na Arusha ni ngumu kuwa meupe, kwa sababu tatizo fluoride inaathiri kuanzia ndani mpaka juu, so ile rangi ya meno ni kutoka ndani, hata likwanguliwe vipi haiishi zaidi ya kuondoa enamel na kukuacha na tatizo lingine.

Labda achague ile ya kuvalisha meno cape flani hivi(madaktari wa kinywa wanajua kitaalamu inaitwaje) mimi nilishauriwa kufanya hivyo gharama zikanishinda. Ni ghali mnoo,ila kama mdau mfuko wake uko vizuri aende hospitali yeyote yenye huduma ya kinywa na meno watampa gharama na watamfanyia vizuri
Uliibiwa, nenda kadai hela yako kusafisha jino moja ni elfu 30? Wezi hao wakubwa
 
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
Gharama zake
 
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]

mkuu kwani ww ni kaskazini au unakula migomba kama ng'ombe
 
Nenda ukasafishwe meno huwaga ni shi elfu 50 kama huna bima ya afya.
Ukitoka hapo meno yako utayapenda sana
Na pia acha kutumia dawa za meno ambazo hazieleweki pigia mswaki dawa ya SENSODINE utaona matokeo yatakavokuwa mazuri[emoji41]

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nipe majina Hospital zinazotoa Huduma ya kusafsha meno kwa Bima ya Afya
 
Back
Top Bottom